Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
Serikali haifilisiki kimasihara-maaiharaLaizer no mtu mwenye Pesa zakew tayariii...!! Sasa anachofanya ni kutaka serikali ifilisikee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali haifilisiki kimasihara-maaiharaLaizer no mtu mwenye Pesa zakew tayariii...!! Sasa anachofanya ni kutaka serikali ifilisikee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni mchimbaji mdogo kwa maana ya leseni yake Primary Mining Licence(PML)Huyo ni mchimbaji wa kati
Wakina na nani walitaka kulitorosha kauli yako haiingi akiliniHilo alipata pamoja na yale mengine. Sema hili walificha naona walitaka kulitorosha sema serikali ina masikio marefu.
GGM na BARICK hao ndio wachimbaji wakubwa hawaachi kitu aridhiniKwa mawe anayoyaibua bado anaitwa mchimbaji mdogo. Sasa mchimbaji mkubwa ni yupi huyo?
Hovyo kabisa, kwa hiyo unataka kumthibitishia jamaa kwamba wewe unafahamika kwa Diwani sivyo? Pumbavu sana we kijana.Niwekee hapa ' Ushahidi ' wako wote ulionao au kutoka kwa Watu wengine kwamba Mimi GENTAMYCINE nimeshawahi ' Kujitanabaisha ' hapa Jamii Forums au hata kokote kule ni Mwana Usalama wa Taifa. Kama unao uweke hapa ili leo ' Niumbuke ' na ikiwezekana hata hao ' Watendaji ' wenyewe husika wa hiyo Taasisi ambao wapo wengi hapa na baadhi yao wananijua hadi ninapolala waje wanikamate na wakanishitaki kwa Kosa la ' Impersonation ' ili Mimi nitumike kama Mfano kwa wengine. Katika Maelezo yako mengi tu juu yangu kila mara huwa ' Unanidhihaki ' kuwa ni ' Mwendawazimu ' sasa hivi Idara yenye Heshima Kubwa na Ufanisi kama TISS inaweza ' Kuajiri ' Mtu kama Mimi. TISS ama kuwa nami au hata Kuniajiri itakuwa ni ' Tiketi ' ya Wao ' Kujidhalilisha ' na Kujishusha ' Thamani ' yao kwani sina hata 1% ya kuwa Miongoni mwao. Namalizia kwa Kusisitiza zaidi Kwako kuwa umesema Mimi huwa najitambulisha na nimewashawahi Kujitamulisha hapa kuwa ni Mtu wa Idara ( TISS ) hivyo nakuomba uweke hapa kila Kitu hadharani ili Vijana wa DG Afande Diwani Athuman Msuya waje ' wanidake ' hapa nilipo ambapo nakuthibitishia kuwa wanajua nilipo hadi ninapolala hivyo ' Kunikamata ' Mimi ni Kitu cha Sekunde tu kisha ' waniadabishe ' sawa? Pumbavu!
Hahahaha, aseeHovyo kabisa, kwa hiyo unataka kumthibitishia jamaa kwamba wewe unafahamika kwa Diwani sivyo? Pumbavu sana we kijana.
Kwani hata akiwa nayo ni lazima ayauze? Haya mawazo ya kimaskini yataisha lini?Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Hakuna ubaya hata mimi nimelima mahindi nina gunia 135 nasubiri njaa ije yapande bei niuze!!!Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Na wewe kachimbe ufiche mkuu, Yale Ni ya kwake anaamua mwenyeweInaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Vibaya nmo na mnunuaji mkubwa alikuwa ni mkenye sasa mipaka kudhibitiwa na soko la nje kufungwa na ukuta kujengwa sasa amekosa namna kaamua kutoaKweli wauzaji wa nje wamebanwa