Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana wakimuua je vibaka wee hujui ni hatari kwa usalama wake?Akiamua kubaki nayo baada ya miaka mitano ni kosa kisheria??
Sijawaza huko ni nimewaza huenda anayo mengi alikuwa kafichawatanzania ni lini tutaacha kuombeana mabaya..!! hujisikii furaha kuwa kayapata yeye acha afurahie yeye na familia yake. Unataka selikali inyanganye ifaidike ndo furaha yako..? unajua ni nguvu kiasi gani kawekeza kwenye uchimbaji.? acha afurahie jasho lake
Kaficha kivipi?? Na ni mali yake.Kaficha mengi zaidi ya hayo
Ndo hapo sasawatanzania ni lini tutaacha kuombeana mabaya..!! hujisikii furaha kuwa kayapata yeye acha afurahie yeye na familia yake. Unataka selikali inyanganye ifaidike ndo furaha yako..? unajua ni nguvu kiasi gani kawekeza kwenye uchimbaji.? acha afurahie jasho lake
Mawazo mazur haya [emoji122]Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Basi sawa, Kila mtu na bahati yakeNilichimba miaka 3 niliambulia kupata smoke tuu nikaachana na ile biashara
Kwamba apate yeye tuu ndio mgodi mzima anachimba huko ndani ya shimo peke yakeMiamba ya madini yawezekana inasomeka vizuri .
Anatumika tu kupoozesha trending news za lissu na chadema, yawezekana ni yale yale ya mwanzo, pia serekali ina stock ya madini bot so wanachomoa moja anapigwa picha habar inatrend watu wanamsahau lissu kwa muda.Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
InawezekanaBasi sawa, Kila mtu na bahati yake
Kama ni hivyo sawa hii mbinu ya medani uwanjaAnatumika tu kupoozesha trending news za lissu na chadema, yawezekana ni yale yale ya mwanzo, pia serekali ina stock ya madini bot so wanachomoa moja anapigwa picha habar inatrend watu wanamsahau lissu kwa muda.
Kipindi serikali inawatafuta wanaoficha madini au kusafirisha kuuza nje ili kukwepa kodi wee ulikuwa huoni walivyokuwa wanatafutwa hawa wafanya biashara?Kaficha kivipi?? Na ni mali yake.
Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Tatito mnatetea ujinga.Mnapotoa mazao shambani huwa mnayapeleka sokoni moja kwa moja? Yale maghala ya kuifadhia mazao huwa ni ya nini? Ushawahi kufanya hata biashara ya nyanya? Market forces unaulewa nao?
Wewe ndio unajua usalama wake ila mwenye mali hajui sio?
Acheni kupangia watu waishi mtakavyo
wivu umeshaanza kuwaingia nyie mambumbumbu ya maisha! Na nyie nendeni mkaibue ya kwenu mliyoficha ndani!Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.
Jiongeze kidogo ...kwanini ni kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu? Je huu sio utakatishaji fedha ili chama fulani kipate pesa ya uchaguzi?Inaweza ikawa anayo mengi ndani hii ni baada ya milango ya kupeleka nje kufungwa sasa amekosa chansi ya kusafirisha nje na soko kufunguliwa hapa nchini kaamua kuanza kuyatoa ,serikali fuatilieni huyu mtu.
Haya ni mawazo yangu tuu niko tayari kukosolewa.