wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sio kosa ila anaweza kuwa alikuwa nayo ndani sasa anaanza kutoa labda kashindwa kusafirishaNiliwaza hivi pia. Isipokua sikuwaza kua kushindwa kuyatoa nje ndiyo sababu ya kuuza kwa serikali.
Ila sidhani kama ni kosa kisheria.