Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

China hawajawahi kutafuta amani kwa nchi inazodai inafadhili zaidi ya kupukutisha raslimali za nchi hizo, Ukiona China inakuunga mkono ujue raslimali zako zinapatikana kwa urahisi sana, hata hayo meno ya ngiri ni maigizo tu kama walivyo igiza kwenye meno ya tembo baadae Rais mwenyewe akaja kuzichukua bila shida.
 
Wachina wanao jidai kuwa ndio wafadhili wetu wakubwa wa miradi mbali mbali hapa nchini baadhi yao wanatumia mwanya huo kutuhujumu hasa pale wanapo amua kuwa soko huru la kununua nyara za taifa letu hasa viungo vya wanyama wetu,jana uwanja wa ndege jijini dsm amekamatwa mchina akiwa na meno ya ngiri akijaribu kuyatorosha kwendanayo kwao

Kuna uwezakano mkubwa kule China hata Dentist wamepewa tenda ya meno ya wanadamu, hawa jamaa na meno imeonekana ni hatari kubwa.
 
Kuna uwezakano mkubwa kule China hata Dentist wamepewa tenda ya meno ya wanadamu, hawa jamaa na meno imeonekana ni hatari kubwa.
Sasa kama ni hivyo ni tahadhari gani tanzania kama taifa tunachukua dhidi ya hawa wachina ili kulinusuru taifa kuingia kwenye janga kubwa la uhalifu wa rasilimali zetu?
 
China hawajawahi kutafuta amani kwa nchi inazodai inafadhili zaidi ya kupukutisha raslimali za nchi hizo, Ukiona China inakuunga mkono ujue raslimali zako zinapatikana kwa urahisi sana, hata hayo meno ya ngiri ni maigizo tu kama walivyo igiza kwenye meno ya tembo baadae Rais mwenyewe akaja kuzichukua bila shida.
Daaaaa hiii ni zaidi ya janga,na nchi bado haijafunguka macho tu
 
Hawa watu ni waharibifu sana, hakuna mahali watapita wasifanye destruction ya kutosha.
Wao wanaamini kuwa kila kitu hapa duniani kina faida "nifaae nikufaae" yaani Recylce~reproduce~rebirth nk nk.... Wee tupa huko yeye anaokota !!
 
Waafrika tutajikomboa wenyewe tusitegemee hata siku moja mhindi, mchina,mzungu,mwarabu atakusaidia bure lazima akunyonye tena kwa kiasi kikubwa kuliko kile alichotoa msaada yaani yeye ndio anafaidika at the same time unamshukuru kwa msaada wake huku anakucheka anakuona mjinga. NaJua waafrika sio wote watu weusi lakini watu weusi ndio waathirika wakubwa. pia waafrika tupendane na tuwe na umoja tatizo la waafrika wengi ubinafsi
 
Mkuu kuwasimamisha hao wachina haiwezekani kwani hao ni wafadhili wetu wakubwa
mikataba ilosainiwa bila kutafsiliwa yawezekana ndo inatuponza, ila mzee wetu anafanya kazi nafikiri tutakwamuka tu. MUNGU MBARIKI JPM
 
Tatizo la Wachina ni kutokufuata sheria. Kama wanahitaji meno ya ngiri, si waweke wazi ili watu waanze kufuga ngiri maana nadhani ngiri anafugika japo kufikia kiwango cha meno ya kuuza, ni miaka kadhaa. Lakini Wachina utapeli ni mwingi sana, si ajabu hayo meno ya ngiri wakitengenezea mapambo, wanapowauzia wateja wanasema mapambo hayo yametengenezwa kwa meno ya tembo. Na kwa utapeli huo, ustaadhi anaweza kujikuta anaishi na mapambo yaliyotengenezwa na mengi ya nguruwe pori.

Daaaa wewe jamaa umenichekesha sana asubuhi hii,cheki huyo ngiri masikini na urembo wake sasa ni dili nchini kwa wafadhiliView attachment 344904
 
Waafrika tutajikomboa wenyewe tusitegemee hata siku moja mhindi, mchina,mzungu,mwarabu atakusaidia bure lazima akunyonye tena kwa kiasi kikubwa kuliko kile alichotoa msaada yaani yeye ndio anafaidika at the same time unamshukuru kwa msaada wake huku anakucheka anakuona mjinga. NaJua waafrika sio wote watu weusi lakini watu weusi ndio waathirika wakubwa. pia waafrika tupendane na tuwe na umoja tatizo la waafrika wengi ubinafsi
Kikubwa hapa ni umasikini wetu na watawala wetu kuyafumbia mambo ambayo yanaonekana kuwa ni kero
 
mikataba ilosainiwa bila kutafsiliwa yawezekana ndo inatuponza, ila mzee wetu anafanya kazi nafikiri tutakwamuka tu. MUNGU MBARIKI JPM
Mikataba 17 kwa nusu saa na yote imeandikwa kichina!!!!!
 
Tatizo la Wachina ni kutokufuata sheria. Kama wanahitaji meno ya ngiri, si waweke wazi ili watu waanze kufuga ngiri maana nadhani ngiri anafugika japo kufikia kiwango cha meno ya kuuza, ni miaka kadhaa. Lakini Wachina utapeli ni mwingi sana, si ajabu hayo meno ya ngiri wakitengenezea mapambo, wanapowauzia wateja wanasema mapambo hayo yametengenezwa kwa meno ya tembo. Na kwa utapeli huo, ustaadhi anaweza kujikuta anaishi na mapambo yaliyotengenezwa na mengi ya nguruwe pori.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, ustadhi tena?subiri wenyewe kina Fayza Fox wakushukie
 
Kikubwa hapa ni umasikini wetu na watawala wetu kuyafumbia mambo ambayo yanaonekana kuwa ni kero
Watu wakipata elimu hata hao viongozi wabinafsi wanaofumbia macho hawatoweza kuendelea na upuuzi wao!!Elimu tu basi ndio dawa yao
 
Yaani baada ya meno ya tembo na pembe za faru sasa wamegukia akina chekanae? mwisho binadamu tutang'olewa meno!
Mbona binadamu deal!! Wanachukua matiti, sehem nyeti, macho, ngozi, na sasahv viungo vya albino...
 
Back
Top Bottom