Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

Sky Eclat Mkuu unataka kusema anayehitaji ini akifika bei elekezi ya serikali ya China anachukuliwa mfungwa aliyehukumiwa kunyongwa then wananyofoa ini inauzwa wanafanya replecement. Aise duuuu hii nalo ni jambo.

Haiko exposed the way think, it's an hidden agenda, niliona documentary BBC, inasikitisha sana.
 
Wao wanaamini kuwa kila kitu hapa duniani kina faida "nifaae nikufaae" yaani Recylce~reproduce~rebirth nk nk.... Wee tupa huko yeye anaokota !!
Wangekuwa wanarecycle ambavyo wengine wamemaliza kazi navyo ningewaona wa maana sana. Matumizi na uvunaji wao sio endelevu rebirth kwao ni msamiati wasioujua na hawaheshimu tamaduni na mifumo ya watu wengine ya maisha.
 
Nakumbuka Rais Magufuli kwenye kampeni alisema, "Nitagawa kombania, platuni na section ya Tembo, ili kila Tembo atakaetolewa ndovu, viongozi wa section husika wote, mtajibu shutuma!!! Kwa wanajeshi wanaelewa nasema nini" mwisho wa kumbukumbu..
 
Nakumbuka Rais Magufuli kwenye kampeni alisema, "Nitagawa kombania, platuni na section ya Tembo, ili kila Tembo atakaetolewa ndovu, viongozi wa section husika wote, mtajibu shutuma!!! Kwa wanajeshi wanaelewa nasema nini" mwisho wa kumbukumbu..
Hadi sasa watanzania bado tunajiuliza kuhusu ile meli ya kinana iliyokamatwa ughaibuni na mzigo mkuubwa iliishia wapi
 
Nakumbuka Rais Magufuli kwenye kampeni alisema, "Nitagawa kombania, platuni na section ya Tembo, ili kila Tembo atakaetolewa ndovu, viongozi wa section husika wote, mtajibu shutuma!!! Kwa wanajeshi wanaelewa nasema nini" mwisho wa kumbukumbu..
Ili kila tembo atakaetolewa ndovu?!
 
Wangekuwa wanarecycle ambavyo wengine wamemaliza kazi navyo ningewaona wa maana sana. Matumizi na uvunaji wao sio endelevu rebirth kwao ni msamiati wasioujua na hawaheshimu tamaduni na mifumo ya watu wengine ya maisha.
Hivi kama taifa tunashindwa nini kusema sasa china basi nchini mwetu?
 
Wachina wanaojidai kuwa ndio wafadhili wetu wakubwa wa miradi mbali mbali hapa nchini baadhi yao wanatumia mwanya huo kutuhujumu hasa pale wanapoamua kuwa soko huru la kununua nyara za taifa letu hasa viungo vya wanyama wetu.

Jana uwanja wa ndege jijini DSM amekamatwa mchina akiwa na meno ya ngiri akijaribu kuyatorosha kwenda nayo kwao.
Hawa wachina wa sasa sio wale wa Mao tse tung.
 
Sky Eclat Mkuu unataka kusema anayehitaji ini akifika bei elekezi ya serikali ya China anachukuliwa mfungwa aliyehukumiwa kunyongwa then wananyofoa ini inauzwa wanafanya replecement. Aise duuuu hii nalo ni jambo.
Tunawalaumu bure north korea kwa uvunjifu na ukandamizaji wa demokrasia kwa kuwaonea,nadani wachina nao ni hatari kwa demokrasia na haki za bnadamu
 
Wachina wanaojidai kuwa ndio wafadhili wetu wakubwa wa miradi mbali mbali hapa nchini baadhi yao wanatumia mwanya huo kutuhujumu hasa pale wanapoamua kuwa soko huru la kununua nyara za taifa letu hasa viungo vya wanyama wetu.

Jana uwanja wa ndege jijini DSM amekamatwa mchina akiwa na meno ya ngiri akijaribu kuyatorosha kwenda nayo kwao.
hawa wachin ifike mahali waondolewe wengi wao ni wezi na majangili

siku hizi wanauza hadi simu kwenye ma bar ,visu ,na wanaimba taarabu pia wawekezaji wa icecream ,
 
hawa wachin ifike mahali waondolewe wengi wao ni wezi na majangili

siku hizi wanauza hadi simu kwenye ma bar ,visu ,na wanaimba taarabu pia wawekezaji wa icecream ,
Daaaaaa,hiyo ni zaidi ya vituko yaani mchina anaimba taarabu?
 
Wachina wanaojidai kuwa ndio wafadhili wetu wakubwa wa miradi mbali mbali hapa nchini baadhi yao wanatumia mwanya huo kutuhujumu hasa pale wanapoamua kuwa soko huru la kununua nyara za taifa letu hasa viungo vya wanyama wetu.

Jana uwanja wa ndege jijini DSM amekamatwa mchina akiwa na meno ya ngiri akijaribu kuyatorosha kwenda nayo kwao.
wamemaliza tembo sasa wamevamia ngiri hatari sana hawa ndugu zake JK
 
wamemaliza tembo sasa wamevamia ngiri hatari sana hawa ndugu zake JK
Mkuu kweli hawa jamaa wamelifikisha hii nchi hadi kuitwa shamba la bibi
 
Hawa msipowaangalia watawapa dawa ya vichaa wanyama wetu halafu itatulazimu tuwauwe tu nao wapate meno.

Yaani hawa jamaa ni mafia dunia inawaangalia kwa jicho la tatu. Money laundering, prostitution, drug trafficking, you name it
 
Haki za binadamu kwao ni issue, ukipinga chama kilichoshika hatamu unafungwa na huo ndio mwisho wako. Kuna soko kuu la human organs China, ukitaka figo, au ini unauziwa, inasadikika ni vya wafungwa. Sasa unategemea wataonea huruma wanyama?
Mkuu nishawahi kusikia hii ya uuzaji wa human organs, familia za mashambani nyingi zinakiuka one child policy ya China ili kupata wafanyakazi wa mashambani. Watoto wa pili na kuendelea hawana documents za utambulisho wanapokamatwa na authorities wanachukuliwa wanatolewa organs apparently without anesthesia. A lot of journalists have tried to find proof lakini hawajaweza.

Ni wazi hawa watu hawathamini maisha ya binadamu sembuse ya wanyama na miti.
 
Daaaaaa,hiyo ni zaidi ya vituko yaani mchina anaimba taarabu?
ndio hapa kuna uzi juzi kati kuna mchina kaimba taarabu haya majamaa hi janga yanajifanya ni mawekezaji kumbe wauwaji wakuu wa pembe za ndovu ni wao
 
Back
Top Bottom