Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

Mchina akamatwa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nyerere akijaribu kutorosha meno ya ngiri

Watu wakipata elimu hata hao viongozi wabinafsi wanaofumbia macho hawatoweza kuendelea na upuuzi wao!!Elimu tu basi ndio dawa yao
Nikweli kabisa mkuu lkn ujue kuwa hakuna utawala wowote hasa ktk nchi za afrika ambao wapo tayari kwa dhati hasa kuwapa elimu bora wanachi wake maana wanaelewa kuwa wananchi wakielimika ndio watakuwa chachu ya kuhitaji haki na hivyo kuwaondosha kwenye utawala wao
 
Sasa kama ni hivyo ni tahadhari gani tanzania kama taifa tunachukua dhidi ya hawa wachina ili kulinusuru taifa kuingia kwenye janga kubwa la uhalifu wa rasilimali zetu?

Ili kuilinda rasilimali zetu na hifadhi zetu ibaki salama dawa si kumtokomeza "KUPE" bali anayempa kupe maisha. Bila kuifumua ccm ambaye ameshikamana na mchina bado safari yetu ni ndefu kudhani hifadhi zetu ni salama!!!!!!!
 
Yani wachina ndani ya miaka mitano hii wamekuwa wengi hapa tanzania wengine hapa mwanza wanajifanya kuwa wana nunua mabondo ya sangara kumbe ni weizi wakubwa.
 
Nilikwisha sema kila baya la ovyo ovyo nchini siku hizi ni wachina. Wazuri ni wale waliojenga TAZARA enzi zile, japo nao walituibia nyara na madini mengi. NAWACHUKIA sana hawa!
 
Ili kuilinda rasilimali zetu na hifadhi zetu ibaki salama dawa si kumtokomeza "KUPE" bali anayempa kupe maisha. Bila kuifumua ccm ambaye ameshikamana na mchina bado safari yetu ni ndefu kudhani hifadhi zetu ni salama!!!!!!!
Mkuu Gwallo kweli ni safari ndefu na mchina ametuzidi sana ujanja hasa kwa kutumia umasikini wetu
 
Haki za binadamu kwao ni issue, ukipinga chama kilichoshika hatamu unafungwa na huo ndio mwisho wako. Kuna soko kuu la human organs China, ukitaka figo, au ini unauziwa, inasadikika ni vya wafungwa. Sasa unategemea wataonea huruma wanyama?
 
Yani wachina ndani ya miaka mitano hii wamekuwa wengi hapa tanzania wengine hapa mwanza wanajifanya kuwa wana nunua mabondo ya sangara kumbe ni weizi wakubwa.
Hapo kuna hatari Wanajifanya kununua hayo mabondo kumbe wana import mzigo kutoka serengeti
 
Nilikwisha sema kila baya la ovyo ovyo nchini siku hizi ni wachina. Wazuri ni wale waliojenga TAZARA enzi zile, japo nao walituibia nyara na madini mengi. NAWACHUKIA sana hawa!
Tusubiri tushuhudie jinsi watakavyo ipukutisha nchi yetu baada ya kuanza kijenga reli ya kati
 
Haki za binadamu kwao ni issue, ukipinga chama kilichoshika hatamu unafungwa na huo ndio mwisho wako. Kuna soko kuu la human organs China, ukitaka figo, au ini unauziwa, inasadikika ni vya wafungwa. Sasa unategemea wataonea huruma wanyama?

" MTI WENYE MATUNDA NDIO UPIGWAO MAWE"
 
Wachina wanaojidai kuwa ndio wafadhili wetu wakubwa wa miradi mbali mbali hapa nchini baadhi yao wanatumia mwanya huo kutuhujumu hasa pale wanapoamua kuwa soko huru la kununua nyara za taifa letu hasa viungo vya wanyama wetu.

Jana uwanja wa ndege jijini DSM amekamatwa mchina akiwa na meno ya ngiri akijaribu kuyatorosha kwenda nayo kwao.
itafika mahali l tanzania itakuwa jangwa la kuchukua viungo vya wanyamvna sio albino
 
itafika mahali l tanzania itakuwa jangwa la kuchukua viungo vya wanyamvna sio albino
Mkuu ni kweli na ninafikiri huu ungekuwa ni wakati muafaka kwa watawala wetu kulitangaza taifala wachina na wachina waliopo nchini mwetu kuwa ni janga
 
Hivi meno kama hayo ya ngiri au pembe za tembo na faru haviwezi kukatwa tu na hao majangiri pasipo kuwaua hao wanyama? Mfano kwa kuwadunga tu sindano za ganzi au usingizi kisha kuzikata bila kuwaua japo watapungukiwa na hizo pembe lakini angalau wataendelea kuishi. Kuna usemi "heri nusu shari kuliko shari kamili".
 
Haki za binadamu kwao ni issue, ukipinga chama kilichoshika hatamu unafungwa na huo ndio mwisho wako. Kuna soko kuu la human organs China, ukitaka figo, au ini unauziwa, inasadikika ni vya wafungwa. Sasa unategemea wataonea huruma wanyama?

Sky Eclat Mkuu unataka kusema anayehitaji ini akifika bei elekezi ya serikali ya China anachukuliwa mfungwa aliyehukumiwa kunyongwa then wananyofoa ini inauzwa wanafanya replecement. Aise duuuu hii nalo ni jambo.
 
Back
Top Bottom