makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Rafiki bora ni yule anaekufundisha kuvua samaki(kujitafutia) na sio yule anaekupa samaki(msaada)
Mpaka sasa si china, marekani, ufaransa, urusi wala mwarabu ambae ni rafiki wa kweli kwa afrika kila mmoja anataka afanikiwe yeye.
Africa hatujitambui, viongozi wetu ni wasaliti kwa mataifa yao.
Mpaka sasa si china, marekani, ufaransa, urusi wala mwarabu ambae ni rafiki wa kweli kwa afrika kila mmoja anataka afanikiwe yeye.
Africa hatujitambui, viongozi wetu ni wasaliti kwa mataifa yao.