Mchina ni rafiki wa dhati kwetu Afrika? Mbona hatoi misaada ya afya kama Marekani na yupo wapi baada ya Marekani kusitisha misaada?

Rafiki bora ni yule anaekufundisha kuvua samaki(kujitafutia) na sio yule anaekupa samaki(msaada)

Mpaka sasa si china, marekani, ufaransa, urusi wala mwarabu ambae ni rafiki wa kweli kwa afrika kila mmoja anataka afanikiwe yeye.

Africa hatujitambui, viongozi wetu ni wasaliti kwa mataifa yao.
 
Bado na hasira na wewe kuniuzia Memory Card fake. Uliniambia ni OG 32GB nakuta ni fake.
Wewe na mchina wako ni wasengerema sana
 
Bado na hasira na wewe kuniuzia Memory Card fake. Uliniambia ni OG 32GB nakuta ni fake.
Wewe na mchina wako ni wasengerema sana
Hata China ukikamatwa unatengeneza bidhaa feki wanakufilisi. Tanzania kuna Viwanda vya bidhaa feki kuliko bidhaa fake tu nazo import.
 
Huwa nikisoma nyuzi kama hizi huwa namuelewa sana Mwl Nyerere kusema "ujinga" kama adui wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…