Mchoro wa Jengo la Ikulu ya Kenya umevujishwa Huu hapa. Kueleka maandamano kwenda ikulu siku ya alhamis

hawana dogo hawa watu
Watanzania bado wana matongotongo. Siku wakijua kunawa uso na kutoa matongotongo machoni. Moto utawaka kuliko wa Kenya.

Huwezi kuwa na nchi ambayo haina kiwanda cha magari wala tractor lakini ukinunua gari au tractor $5000 serikali inakutoza kodi $4000-6000. Halafu wanaona sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…