ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kumbe unaongeaga points sometimes!Stupid kwa wale mnaokula majasho ya watu. Haiwezi kuwa stupid kwa mtu mwenye akili anaependa nchi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unaongeaga points sometimes!Stupid kwa wale mnaokula majasho ya watu. Haiwezi kuwa stupid kwa mtu mwenye akili anaependa nchi yake.
DahGeneration Z hiyo mzee mwenzangu. Sie acha tubakie na X wetu....
nani alikuambia nilikuwa sijui?Ujue.
Kwanin usifike bongo? Hujui ile methali ukiona mwenzako anayolewa na wewe anza kutia majiHawa watu wapo serious
Huu upepo tuombe usifike tu bongo
Duh, asee si vizuri kujisifu personally ila labda wanaonifahamu muda watasema. Sema tu siku hizi kuna mwehu flani huwa ananitoa kwenye mstari na pia inategemea na mada iliyopo mezani.Kumbe unaongeaga points sometimes!
Acha kujifanya mjuaji😎nani alikuambia nilikuwa sijui?
Anayejifanya mjuaji kati yangu na wewe nani?, mm nimetoa quote ya bob, we unakuja na kiherehere chako kuwa aliyesema hvo ni abrahan lincoln, ulikuwa umeulizwa? lumumba buku saba mbona mna kiherehere sana?Acha kujifanya mjuaji
Nimekufahamisha uliyokua huyajui. Mbona una hasira sasa?😉Anayejifanya mjuaji kati yangu na wewe nani?, mm nimetoa quote ya bob, we unakuja na kiherehere chako kuwa aliyesema hvo ni abrahan lincoln, ulikuwa umeulizwa? lumumba buku saba mbona mna kiherehere sana?
Muda utafika madame, hata kenya haikuwa rahisi, muda utafika nakuapia, hata kama ni miaka mingapi ijayo ila muda utafika.Tatizo sisi ni waoga!
Wewe unaweza kuandamana?
I bet inahusika maana Kenya wamekuwa na kiherehere sana kutoa matamko ya kulaani moves za Urusi, wakati Urusi yuko bize kuongeza ushawishi Africa.Aisee intelligency ya Mrusi haihusiki kweli?
Nimewaza sana hili mkuu, Ruto kaamua kutoa eneo Kwa ajili ya US Military Base, inawezekana Urusi ana mkono wake Ili kutibua au kuhakikisha Ruto ananyofoka Ili aweke mtu wakeAisee intelligency ya Mrusi haihusiki kweli?
Marekan tena,.? Kenya si marafiki zake NATO? Maana kwenye hayo maandamano kuna raia wamebeba bendera za russuaNaona marekani kaamua kuja kuivuruga afrika masharik
Tusipangiane maombi, mm naomba ufikeHawa watu wapo serious
Huu upepo tuombe usifike tu bongo
Utawasomba wangapi?Tzn haiwezi kulea kima yeyote,yaani kabla ya kuanza kuandamana utakuwa ulishasombwa kitambo sana.
Utajua hujui muda si mrefu Uganda wataliwashaMarekan tena,.? Kenya si marafiki zake NATO? Maana kwenye hayo maandamano kuna raia wamebeba bendera za russua
Actually I prospect there will be a mass killing because what they doing is a treason.This is very stupid
Inasikitisha sanaActually I prospect there will be a mass killing because what they doing is a treason.