Mchoro wa Jengo la Ikulu ya Kenya umevujishwa Huu hapa. Kueleka maandamano kwenda ikulu siku ya alhamis

Mchoro wa Jengo la Ikulu ya Kenya umevujishwa Huu hapa. Kueleka maandamano kwenda ikulu siku ya alhamis

Hivi kiswahili kinakushinda?
"...Upo sawa kwa muono wako.Lakini,si sahihi ukiichukulia ikulu si nyumba ya Ruto...ni nyumba ya aliye/atakayekuwa kiongozi mkuu/rais wa Kenya. Na,Ruto ni wa muda tu"...!
Ulishindwa kuandika hivyo?
Sipangiwi dogo

As long as umeelewa yatosha
 
Watanzania bado wana matongotongo. Siku wakijua kunawa uso na kutoa matongotongo machoni. Moto utawaka kuliko wa Kenya.

Huwezi kuwa na nchi ambayo haina kiwanda cha magari wala tractor lakini ukinunua gari au tractor $5000 serikali inakutoza kodi $4000-6000. Halafu wanaona sawa.
Mkuu wewe usiona sawa andaman acha sisi wenye matongo tonge tuenjoy life
 
Mkuu wewe usiona sawa andaman acha sisi wenye matongo tonge tuenjoy life
Andamana Hawa Jamaa wa CCP Chang'ombe wakakuvutie Bange wakukute ni za kichwa tu hawaulizi sana maswali mengi alafu ni za moto sio za utani kitu Chuma za ugoko Kifo hiki hapa
 
Back
Top Bottom