[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] af kweli yaan, kashapata kiki ya kutoa hit song, jux haach fursa kizembe.Kwanza utakuta mnyama Jux yupo studio kwa ajili ya Kichupa special cha Jack
Coz nyimbo zake zote huwa ni za matukio ya mademu zake
Kabisaa yaan aunt,Slay queen pekee aliyekuwa anavaa na akavalika.
Mwenye mashauzi yasiyochosha.
Wee mommy achana nae huyo, ana stress za maisha yake. Msamehe tyuuh.Pambana na hali yako, Acha mtu aishi maisha yake
Sio biriani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wali njegere.
Mabazazi wako hapo wanajua mashine ilivundikwa hiyo watamrukia sana tobo hilo.Return of the Jack soon utamuona ana drive gari kali, we ulikuwa mtaani miaka yote hata baisjkeli huna
Kwaiyo imekuwa sealed miaka 8? [emoji23] Mwamba atakayeizindua atafaudu kiaina. Ila siamini kule jela si kuna yale ma brashi ya chooni yenye mpini na fagio yenye mpini[emoji23][emoji23].Mabazazi wako hapo wanajua mashine ilivundikwa hiyo watamrukia sana tobo hilo.
Itakua alitoka ila Jacky bwana alikuaga slay queen haswaa...anavaa original sio fake,kuanzia kiatu mpk nywele plus pafyumu zake sasa daahh!!yaani amejua kutesa haswa na kama ngada alijua kuitendea haki bossbabes!Af sjajua km alitoka yule jamaa, mmmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alijua kuwatesa slays wenzie, ila namuona bado yuko mcharo kuliko hata wema jaman lolItakua alitoka ila Jacky bwana alikuaga slay queen haswaa...anavaa original sio fake,kuanzia kiatu mpk nywele plus pafyumu zake sasa daahh!!yaani amejua kutesa haswa na kama ngada alijua kuitendea haki bossbabes!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yaap!!she is cute!Jacky ana weupe wa asili,hawa wadada wa mjini mkorogo wa director kuzeeka mastii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alijua kuwatesa slays wenzie, ila namuona bado yuko mcharo kuliko hata wema jaman lol
Kesha nyauka huyu......Kweli maisha yanaenda kasi mazee, yule manzi alikuwa ndiyo mkali kuliko manzi wote macelebrity wa bongo Jackie Cliff ambaye alikuwa ni mpenzi wa msanii Juma Jux ambaye alikutwa na kesi ya madawa ya kulevya na kutumikia kifungo cha miaka jela yuko uraiani sasa hivi bongo.
Lazima atapewa compensation....Return of the Jack soon utamuona ana drive gari kali, we ulikuwa mtaani miaka yote hata baisjkeli huna
Ww huna akili kabisaYaani miaka 8 mtu katoka anaikumbuka username na password ya Insta.
Mi kila nikibadirisha simu password za JF nishasahau inabidi nireset. Huyu demu ni kichwa.
Yaan jacky kawa mzuri mnoo, sjui labda kuhusu jela za ulaya ziko vzuri ktk malezi na maisha kiujumla.Yaap!!she is cute!Jacky ana weupe wa asili,hawa wadada wa mjini mkorogo wa director kuzeeka mastii!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nimekaona kanooga mwenyewe kuzidi walokua uraini etii.Yaan jacky kawa mzuri mnoo, sjui labda kuhusu jela za ulaya ziko vzuri ktk malezi na maisha kiujumla.
Wengi hupeleka Macao na Hongkong, Mainland wengi huogopaAna bahati wenzake hunyongwa kabisa
Wana msemo wao wanasemaga wanaanzia walipoishia.Jasiri haachi asili
Duuh...hii ya kweli kweli?Maweeeeee....... Ana ngoma ndo mana ana V- mapajani.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app