Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Akili huna wewe chamsingi akaanae chini waongee wataelewana ila unavyosema waachane huo sio ushaur na unaweza kupata mtukicheche wakati mtu sahihi anae
Kiukweli umemtukana bure jamaa Angalia kiasi cha Likes alizopata ndo unataelewa maana yake imegota wapi pole sana
 
Kabla haujafikiria kama huyu ni mume sahihi ilikuwa muhimu zaidi kujiuliza kama wewe NI mke sahihi???

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Hapa kuna mawili, huenda jamaa ndo lifestyle yake kwamba ameamua kufocus kwenye mambo ya msingi au labda ameamua kujificha kwenye hicho kivuli cha tunafanya maendeleo ili kuzuia mizinga.

Lakini na we binti kama jamaa haugusi mshahara wako kwanini usitumie hela yako kujitoa out mfurahie maisha?

We mwenyewe hela yako ni yako pekeako na unaionea uchungu halafu unaitaka hela ya jamaa na unajua anachoifanyia
 

Dada achana na huyo hajui nn mwanamke anataka.
kujenga ajenge ila mahitaji yako atimize.

Piga chini
 
Nasikitika bado hujitambui, mume anashughulikia kesho yenu wewe unawaza kula na kunya tu.
 
28yrs unajua hata kifua konasujudi lakini bafo anawaza ujinga ujinga tu
 
Hapo hakuna mwanamke vipo viatu tu na magauni
 
Halafu utakuta wanawake wenzie wanamjaza ujinga
Huyo rafiki yako ni bomu linalosubiri liingizwe kwenye ndoa likalipukie huko!

Sasa Kama ana kazi si atumie pesa zake kwa matumizi yake kwani lazima atumie hzo za jamaa zinazofanya Mambo ya kudumu...
Huyo binti anashida sehemu mtu anakushirikisha vitu vya maendeleo hupendi[emoji849][emoji849][emoji849]!!!!!!

Kuna viumbe sijui ua vinataka nn ili kuridhika....... AJABUUUU!
Mwanamke wa aina hii hata kumsalimia hafai
 
Ukiona unaanza kumwelewa mwanamke ujue siku zako za kufa zinakaribia
 
Ukiona umeanza kumuelewa mwanamke jua unakaribia kufa...

By JF Member.
 
Mimi ningekuwa na mawasiliano na huyo mchumba wako ningemshauri akupige chini kwani wewe ni bomu litakalompasukia huko mbele ya safari, wewe stahili yako ni kupigwa miti na kuachwa hadi utakapotia akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…