Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kataa ndoa point 3 hizi wazeeHuyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo wanaweza kufanya utatuzi?
Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa
Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana, anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga, maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake
Mahari simalizi tena kwasababu nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Kiasikari π€kisichokuua kitakukomaza
πPiga chini
Wewe ufanye kama nani? Nimekuambia ufanye? Mpumbavu wwesasa unaleta habari yako huku si tufanyeje ??
Weka Namba tukulipizie kisasiNapiga chini
Umesahau kuweka Namba mkuu weka Namba yake tujue tunadeal nae vipi ukiwa unaendelea kumpigachiniWewe ufanye kama nani? Nimekuambia ufanye? Mpumbavu wwe
Inanikumbusha long time tupo maskani ...alitokea mchizi mmoja wa kuja town kampenda pisi moja hivi malaya kweli kweli...tumekaa maskani jamaa anakuja na ndinga yake anamshusha demu anamfungulia mpaka mlango wa gari...anamkumbatia na kumbusu kisha anamuaga aelekee maskani kwake. Sisi tunavheka tu...baada ya muda kama nusu saa demu anaenda kuoga, anabadili nguo then anaingia viwanja kwenda kujiuza.Pole yako
Unahangaika kumtolea mahari malaya
Miaka hii sio ya kuoa
View attachment 2948939
View attachment 2948940
Baada ya miaka mingi ya kukaabika Mr Nice guy unakuja kumlipia mahari malaya kumfanya mke πππ
You will learn the hard way
Kweli ukishoboka ukaweka Mraa ndani , you will learn the hard way .... Absolutely truePole yako
Unahangaika kumtolea mahari malaya
Miaka hii sio ya kuoa
View attachment 2948939
View attachment 2948940
Baada ya miaka mingi ya kukaabika Mr Nice guy unakuja kumlipia mahari malaya kumfanya mke πππ
You will learn the hard way
Wasipofuata hii watapata tabu sanaOA mwanamke anaekutii
Mkuu dawa chungu kumeza lakini mpaka waeleweπππPole yako
Unahangaika kumtolea mahari malaya
Miaka hii sio ya kuoa
View attachment 2948939
View attachment 2948940
Baada ya miaka mingi ya kukaabika Mr Nice guy unakuja kumlipia mahari malaya kumfanya mke πππ
You will learn the hard way
Hivi kuna sehemu bado mahari inagharimu kiasi kikubwa mpaka inakuwa gumzo? Aisee kweli Tanzania ni kubwa. Nilikozaliwa mahari ni jambo lililojifia siku nyingine na hata ikitolewa na kiasi kidogo kama ishara tu.Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo wanaweza kufanya utatuzi?
Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa
Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana, anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga, maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake
Mahari simalizi tena kwasababu nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Umejuaje kama sina hela?Hakuna mwanamke mwenye kiburi, wewe tafuta hela utakuja kunishukuru. Hii ni siri tunaambiana wanaume kila siku.