Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

Pole yako

Unahangaika kumtolea mahari malaya

Miaka hii sio ya kuoa

20240330_105828.jpg


20240330_110107.png


Baada ya miaka mingi ya kukaabika Mr Nice guy unakuja kumlipia mahari malaya kumfanya mke 😆😆😆

You will learn the hard way
 
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo wanaweza kufanya utatuzi?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana, anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga, maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake

Mahari simalizi tena kwasababu nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Kataa ndoa point 3 hizi wazee
 
Mkuu naomba namba yake tumpe onyo la mwisho. Hii haikubaliki kabisa
 
Kama kawaida yenu, mnaoa pisi kali ili muwaringishie washkaji kumbe uwezo na akili za kuishi nao hamna.

Mnawaruhusu mpaka wajione wako juu yenu.
Pole sana.
 
Pole yako

Unahangaika kumtolea mahari malaya

Miaka hii sio ya kuoa

View attachment 2948939

View attachment 2948940

Baada ya miaka mingi ya kukaabika Mr Nice guy unakuja kumlipia mahari malaya kumfanya mke 😆😆😆

You will learn the hard way
Inanikumbusha long time tupo maskani ...alitokea mchizi mmoja wa kuja town kampenda pisi moja hivi malaya kweli kweli...tumekaa maskani jamaa anakuja na ndinga yake anamshusha demu anamfungulia mpaka mlango wa gari...anamkumbatia na kumbusu kisha anamuaga aelekee maskani kwake. Sisi tunavheka tu...baada ya muda kama nusu saa demu anaenda kuoga, anabadili nguo then anaingia viwanja kwenda kujiuza.

Tulimuonea huruma sana yule mchizi kwa kujifanya Mr. nice guy kwa malaya
 
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo wanaweza kufanya utatuzi?

Kwanza mjeuri na anadharau kupita kiasi sasa sijaona utafauti wowote nilihisi I kwasababu wazazi na ndugu zake wametaja mahari nyingi labda atakuwa ni malaika na sio shetani kumbe wapi hovyo kabisa

Just imagine mwanamke unamtolea mahari kubwa ila lina hasira za hovyo sana, anarusha mpaka mangumi kutaka kunipiga, maneno ya kejeri na anawasikiliza ndugu zake kuliko mimi sasa hapa mimi nimeoa au nimeolewa? Na akipata shida kutwa kunipigia mimi sio ndugu zake

Mahari simalizi tena kwasababu nitamaliza mahari kiaje wakati mwanamke mwenyewe ndiyo huyu? Hata wewe unawezaje kumaliza mahari kwa aina hii ya mwanamke na pia tumekaa muda mchache ameanza kuonesha makucha yake aisee! Napiga chini
Hivi kuna sehemu bado mahari inagharimu kiasi kikubwa mpaka inakuwa gumzo? Aisee kweli Tanzania ni kubwa. Nilikozaliwa mahari ni jambo lililojifia siku nyingine na hata ikitolewa na kiasi kidogo kama ishara tu.
 
Hakuna mwanamke mwenye kiburi, wewe tafuta hela utakuja kunishukuru. Hii ni siri tunaambiana wanaume kila siku.
 
Kabla sijaachana na mwanamke wa aina hiyo, hospital nilikuwa nashauriwa nijitahidi kula ili walau niongezeke uzito.
Sasa tangu nimepiga chini yule mwanamke ni mwaka sasa aisee ni hatarii,nashauriwa kupinguza mwili haraka iwezekanavyo hasa kitambi.
 
Back
Top Bottom