Mchungaji Anthony Lusekelo, aionya Serikali ya Rais Samia juu ya amani ya Tanzania

Mzee wa Libapa Likubwa ?.Enheee ! Libapa Likubwa,una maana gani.Au lile lichupa Likubwa la konyagi ! Ngoja Huyo Mzee wa U*p*ko, a.k.a.Likonyagi Likubwa aione hii clip yako,ndo utaipata Fresh
 
Baadhi ya watu wataweza kukubali hoja yako. Hata hivyo tuulize swali moja. Uchaguzi mkuu 2020 uliendeshwaji na matokeo gani. Kwa nini ilikuwa hivyo.
 
Samia, Majalwa na wenzake, wanaweza kuukosa ufahamu, wakiamini kuwa wanaweza kufuta Kanisa fulani lakini hawatambui kuwa wakristo ni wakristo, madhehebu siyo ukristo. Madhehebu ni njia tu kuufikia ukristo.

Dhuluma dhidi ya mkristo mmoja ni dhuluma dhidi ya wakristo wote.
 
Na mzee wa kutoa macho kama mjusi naye anashindwa kumshauri amebaki kurusha mate tu
 
Baadhi ya watu wataweza kukubali hoja yako. Hata hivyo tuulize swali moja. Uchaguzi mkuu 2020 uliendeshwaji na matokeo gani. Kwa nini ilikuwa hivyo.
Hapakuwa na uchaguzi bali uporaji
 
Mzee wa Libapa Likubwa ?.Enheee ! Libapa Likubwa,una maana gani.Au lile lichupa Likubwa la konyagi ! Ngoja Huyo Mzee wa U*p*ko, a.k.a.Likonyagi Likubwa aione hii clip yako,ndo utaipata Fresh
Fresh ipi na kwanini
 
Ni mnafiki kama wanafiki wengine tu huyu mzee. Mara ngp serikali imefanya mambo ndivyo sivyo kwa wananchi wake amekaa kimya? Yaani leo taasisi za kidini zimeguswa ndiyo anafungua hilo domo lake? Alikuwa wapi miaka na miaka wengine walipoonewa?
Hata wew huwezi kupigana iwapo hutaona sababu za kupigana mkuu
 
Duh huyu mwamba bado yupo? Aisee kuna kipindi ARV zilimkataa alipaukaaaaaaaaaaaaa nywele zilikua kama kalambwa na mbwa koko, yaani haeleweki kalikiti si kalikiti wave si wave yaani , na tumacho tuliingia ndaniiii alibakia kichwa tu, nadhani ameshauriwa vizuri asiache dawa zake maskiiiini.
 
Muulize kuwa nchi hii nani ni mtakatifu na mwenye haki ya kukemea?
Uchafu wake tumwachie yeye sisi tujali hoja muhimu aliyoitoa
 
Safi sana hiyo naungamkono
Nakuunga mkono
 
Utakuwa ni mpumbavu sana kama hujaona point za Lusekelo,!
 
Jaman jaman hii nchi haina watu wajinga kama serikal inavyodhani.Haina watu wajiga kabisaa.Uvumilivu hekima na matumain ya watu kuwa things will be better ahead visitafsiriwe kama upumbavu au watu hawaoni.MZEE LUSEKELO KAONGEA VITU VYA MSINGI SANA.sio lazima serikal isikie lakin haitakosa cha kujifunza kwa kusikia maoni kama haya toka kwa watanzania sisi tunaochukuliwa kama wajinga flan.
 
Ni kweli sio jambo jipya, pia amewakumbusha kuwa haya yalifanyika miaka ya 80 na serikali ilishindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…