Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi

Huko ni kuingiliana uhuru wa kuabudu.

Au mpaka kwenye misikiti nako wanafanya hivyo.

Sijui kwanini ndugu zetu waislamu wakiwa na kiongozi mkubwa serikalini ndio wanazidisha vituko vya kuchafua dini za wengine.
 
Usiseme watanzania sema hayo majinga ya Kigoma. Kwanza Kigoma wengi siyo raia. Hayo majitu yako nyuma kabla ya uhuru wa Tanganyika
 
Sometime wale jamaa zetu wa upande wa pili wanakuaga sahihi. Dharau zinazidi. Unahisi nini kingetoa kama wangelazimisha kuingia msikitini kama sio kupelekewa moto hadi akili ziwakae vizuri?
 
Wewe ndio ufunguke. Tofautisha Mungu na miungu. Ukijua tofauti ya hayo majina mawili hutahangaika .
 
Vyote viwili kuviamini ni uvivu wa kufikiri

Imani ya Uchawi imeletwa na dini

Dini na uchawi ni sawa na simba na yanga zinategemeana na zinaendana
Ila watu Kwa kuropoka eti dini na uchawi vinategemeana. Yani akina mwamposa wamewafanya muamini ujinga Sana.
 
hahaha nakuelewa kumaanisha nini 😁
 
Napiga simu Polisi waje, hawaji. Napiga simu Polisi waje, hawaji.

Mchungaji, nakushauri siku nyingine ukitaka Polisi waje kwa spidi ya ndege waambie Chadema wamekusanyika kanisani kufanya mkutano bila kibali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…