and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Paroko anajilia vyake Hana habariMkuu suala ni kuwa anatimiza ahadi ya kuwa na mke mmoja wa kufa na kuzikana. Akimuacha inatakiwa aishi bila mke maisha yake yote kwakuwa akioa atakuwa anazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paroko anajilia vyake Hana habariMkuu suala ni kuwa anatimiza ahadi ya kuwa na mke mmoja wa kufa na kuzikana. Akimuacha inatakiwa aishi bila mke maisha yake yote kwakuwa akioa atakuwa anazini.
Hivi Katibu alikua anamzidi hela Masanja?Namshauri bwana Simon Ngalawa aachane kabisa na mwanamke huyo for the sake of his mental health.
Mwanamke kakuacha, kaenda tembea na mchungaji, unamkomalia wa nini? Tafuta mwingine bwana Ngalawa wanawake wapo wengi.
Najua unampenda ila know your worth and be a man, achana nae utapata mwingine pia jitahidi sana upambane upate hela maana it seems mama amefata sadaka zetu waumini.
Absolutely mkuu.Kila siku tunawaambia; uzinzi ni tabia ya mtu - haijalishi ameoa au kuolewa.
Motivational speaker mmeshaanza tena.KUNA MAKUNDI MAWILI YA WANAUME:
WENYE TABIA ZA SIMBA
WENYE TABIA ZA FISI.
Nilizani tabia za yangaKUNA MAKUNDI MAWILI YA WANAUME:
WENYE TABIA ZA SIMBA
WENYE TABIA ZA FISI.
[emoji24][emoji24][emoji24]Watu kutaka gudlyf liwe km zawadi ndio Kuna wagharimu. Sadaka zetu wanahonga wadogo zetu wana-walawiti.
Wake zetu wanawatafuna.[emoji848]
#arudi kubambika
View attachment 2390673
Acha wivu DadaHivi Katibu alikua anamzidi hela Masanja?
Naona unawashwa kumwagiwa shahawa nzito za asubuhi mdomoni.Acha wivu Dada
Hapana, Katika Mathayo 5:32 imeandikwa; Lakini mimi(Yesu) nimewaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwasababu ya uzinzi, anamfanya azini, na mwanaume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka anazini. Mithali 6:32; Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.Mkuu suala ni kuwa anatimiza ahadi ya kuwa na mke mmoja wa kufa na kuzikana. Akimuacha inatakiwa aishi bila mke maisha yake yote kwakuwa akioa atakuwa anazini.
...Haina Haja. Aachane Nae kabisa. Akirudi Nyumbani anaweza kumdhuru siku Moja! Huyo Mwanamke hamfai Tena!!Mwamba anataka mkewe arudi nyumbani [emoji28][emoji28][emoji28]
inawezekana anachotaka ni ukiri wa mke mbele ya viongozi wa kanisa ili apate ushahidi wa wazi kwa ajili ya talaka. Unajua ndoa za kikristo mpaka uandikiwe talaka ni shida sana, wanataka hata ushahidi wa kanisa nyakati zingine unahitajika.Namshauri bwana Simon Ngalawa aachane kabisa na mwanamke huyo for the sake of his mental health...
Mke kashtuka akirudi atakatwakatwa vipande na mwamba.Mwamba anataka mkewe arudi nyumbani 😅😅😅
Amen and Amen!!Hapana, Katika Mathayo 5:32 imeandikwa; Lakini mimi(Yesu) nimewaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwasababu ya uzinzi...