Mchungaji asimamishwa kazi tuhuma za kumtorosha mke wa muumini wake

Mchungaji asimamishwa kazi tuhuma za kumtorosha mke wa muumini wake

Kuna misa za jion huwa zinaendelea mtaani kila nikipita huwa namuona mchungaji tu na wamama wengi yani hakuna Mwanaume hata mmoja alafu sasa kaweka na ratiba ya kuwa anaenda kumsalimia muumini mmoja mmoja nyumban kwake unakuta anaenda mida ya saa 5 Mwanaume hayupo nyumban ye ndo anaenda kutembelea hiyo familia.

Juzi Kati kuna dada mmoja alikua ameacha kuhudhuria misa kadhaa akamtumia wamama waende kumuita bila kuwasiliana hata na mume wa huyo dada, tunaamini kwenye dini Kuna maarifa mengi ya kistaaarabu Hawa wachungaji wajaribu kutumia maarifa yanayofundishwa na hizo dini, hii tabia ya mwanaume kuwa na ukaribu na mke wa mtu kiasi cha kutomshirikisha mume wake chochote na muda mwingine mke anamsikiliza Zaid mchungaji kuliko mume wake iko siku wachungaji itawatokea puani
 
Ngalawa anadai baada ya kusikia tetesi hizo kutoka kwa waumini na ndugu zake, alibaini kuwa mkewe alianza kuwa na fedha wakati hana kazi wala biashara yoyote, na baada ya kupitia kipindi kigumu cha maisha kwa miaka mitatu ndipo alipoondoka nyumbani na kwenda kuishi Kiwalani ambako inadaiwa alipangishiwa nyumba na kufunguliwa duka na mchungaji huyo.
Sadaka zinachepushwa badala ya kwenda kwa Mungu zinakwenda kulipa pango la hawara "Kuna watumishi wahuni kama wahuni wengine tu... Bishop Mdegela"
 
unakuta anaenda mida ya saa 5 Mwanaume hayupo nyumban ye ndo anaenda kutembelea hiyo familia.
Mwanaume anakuwa bar na huenda anatumia sadaka ambazo mkewe kapewa na Mchg
 
MCHUNGAJI wa Kanisa la Anglikana Yombo Kiwalani jijini Dar es Salaam Edwin Taji, amesimamishwa kutoa huduma ya kichungaji baada ya kudaiwa kumtorosha mke wa muumini wake na kumpangishia nyumba maeneo ya Pugu Kajiungeni.

Madai hayo yametolewa na muumini wa kanisa hilo ambaye ni Mume wa mwanamke huyo Simon Ngalawa mkazi wa Yombo akilalamika kuwa mkewe Ester Makunya kujihusisha kimapenzi na mchungaji Taji.

Ngalawa anadai baada ya kusikia tetesi hizo kutoka kwa waumini na ndugu zake, alibaini kuwa mkewe alianza kuwa na fedha wakati hana kazi wala biashara yoyote, na baada ya kupitia kipindi kigumu cha maisha kwa miaka mitatu ndipo alipoondoka nyumbani na kwenda kuishi Kiwalani ambako inadaiwa alipangishiwa nyumba na kufunguliwa duka na mchungaji huyo.

Amesema licha ya kuitisha vikao vya familia, kwenda ustawi wa jamii na Dawati la jinsia lakini ilishindikana mkewe kurudi nyumbani ndipo alipoamua kukutana na viongozi wa juu wa kanisa hilo ili kumshtaki Mchungaji huyo.

Taarifa kutoka ndani ya kanisa hilo zinaeleza kuwa Mchungaji Taji amesimamishwa kuhudumu wiki mbili zilizopita huku shauri lake likiendelea kujadiliwa na wakuu wa kanisa hilo.

Chanzo: IPP

ukishangaa ya ngoswe utaona ya mchungaji
 
Hawa si wanaruhusiwa kuoa si angetafuta mke badala ya kuvuruga ndoa ya muumini wake daah maisha haya.
Hivyo kuoa na kutokua hakuzui tamaa za mtu, hata kama unao wanne, bado unaweza kuvizia wa nje
 
Mke, mama, Dada, wote wanaenda kanisani wakiwa nusu uchi na mapaja na manyonyo yako nje mnategemea nini kama sio kutangaza ufuska?

Baba na watoto wamevaa suits (only Sunday) ndio wanauramba na viatu vina shine

Wao wanajistiri ila wenzao wanawaacha wakamuoneshe mapaja mchungaji what do you expect?

Wala sishangai unakuta mama siku zingine kavaa kwa heshima ila siku ya kwenda kumuomba Mungu sasa mpaka shetani anashangaa
 
Mkuu una ajenda zako. Njoo bongo uchunguze mavazi ya kanisani,sio hayo unayoyaongelea kwa chuki za kidini. Huku ukivaa ndivyo sivyo unavalishwa vitambaa vya kanisani na faini juu. Jumapili asilimia kubwa ya wanawake wanajisitiri vizuri sana
Mke, mama, Dada, wote wanaenda kanisani wakiwa nusu uchi na mapaja na manyonyo yako nje mnategemea nini kama sio kutangaza ufuska?

Baba na watoto wamevaa suits (only Sunday) ndio wanauramba na viatu vina shine

Wao wanajistiri ila wenzao wanawaacha wakamuoneshe mapaja mchungaji what do you expect?

Wala sishangai unakuta mama siku zingine kavaa kwa heshima ila siku ya kwenda kumuomba Mungu sasa mpaka shetani anashangaa
 
MCHUNGAJI wa Kanisa la Anglikana Yombo Kiwalani jijini Dar es Salaam Edwin Taji, amesimamishwa kutoa huduma ya kichungaji baada ya kudaiwa kumtorosha mke wa muumini wake na kumpangishia nyumba maeneo ya Pugu Kajiungeni.

Madai hayo yametolewa na muumini wa kanisa hilo ambaye ni Mume wa mwanamke huyo Simon Ngalawa mkazi wa Yombo akilalamika kuwa mkewe Ester Makunya kujihusisha kimapenzi na mchungaji Taji.
Matumizi mabaya ya sadaka
 
Kila sehemu kunakuwa na nyota wa mchezo.

Kanisani star ni MCHUNGAJI NA MPIGA KINANDA.



Hawa watu wanapiga sna MBUPU wake za watu.

99% proved.
 
Mkuu una ajenda zako. Njoo bongo uchunguze mavazi ya kanisani,sio hayo unayoyaongelea kwa chuki za kidini. Huku ukivaa ndivyo sivyo unavalishwa vitambaa vya kanisani na faini juu. Jumapili asilimia kubwa ya wanawake wanajisitiri vizuri sana
Unaona sasa mkiguswa mnakimbilia kwenye chuki za kidini
Hapo unazidi kuwasha moto tu na ndio mnapenda mijadala ya hivyo ya kuvutana na matusi juu

Nimekulia huko na nimeyaona sana kina mama nguo wanazovaa kumfurahisha mchungaji

Kweli yapo makanisa yaliyoamua kuwakataza waumini kuvaa vibaya na wajisitiri na matangazo nimeyaona nje

Lakini kubali kuwa yapo mengine mpaka leo bado wanaingia mapaja wazi sio uongo wala chuki niwe Muislam au mkiristo ukweli ni lazima usemwe wala sio chuki kama ulikolipeleka wewe
 
Namshauri bwana Simon Ngalawa aachane kabisa na mwanamke huyo for the sake of his mental health.

Mwanamke kakuacha, kaenda tembea na mchungaji, unamkomalia wa nini? Tafuta mwingine bwana Ngalawa wanawake wapo wengi.

Najua unampenda ila know your worth and be a man, achana nae utapata mwingine pia jitahidi sana upambane upate hela maana it seems mama amefata sadaka zetu waumini.

Case Closed.
 
ikibainika ni kweli mchungaji awajibike kwa hili

mume aachane na mke
 
Back
Top Bottom