Mchungaji asimamishwa kazi tuhuma za kumtorosha mke wa muumini wake

Mchungaji asimamishwa kazi tuhuma za kumtorosha mke wa muumini wake

Siyo kweli..
Inaruhusiwa kuacha mke mzinzi
Mke mzinzi hatakiwi kusamehewa?
Kusamehe saba mara sabini kwa siku hakuhusiani na kumsamehe mke mzinzi?
Ikiwa Kristo aliwasamehe waliomsulubu, Je dhambi ya uzinzi ni kubwa kuliko kuua?
 
Hiyo kwa mujibu wa kitabu kipi na aya ipi?
Lete ushahidi wa kukataa niliyoandika kisha nikuletee aya za kuwasamehe wadhambi.
Ikiwa ni Mkristo kasome Sala kuu waliyofundishwa Wakristo inayoanza na
Baba yetu uliye Mbinguni, jina lako litukuzwe............
 
Hawa si wanaruhusiwa kuoa si angetafuta mke badala ya kuvuruga ndoa ya muumini wake daah maisha haya.
Mchungaji kanogewa na Ester, wanasema kila shetani na mbutu wake. Inawezekana pia mke anaye lakini Ester kamdatishq zaidi
 
Hawa si wanaruhusiwa kuoa si angetafuta mke badala ya kuvuruga ndoa ya muumini wake daah maisha haya.
Sasa huyo huyo mke wa mtu ye ndo kapendezwa nae, kipenda roho hula nyama mbichi.
 
maamae inawezekana alipewa muda wa maongezi maana hawa kinamama hasa wa tanga wanatoaga 071 hawana maana kabisa hawa legend mchungaji asilaumiwe haya yote maisha tu ndugu zangu
 
Msitoe sadaka, msitoe plz, ndio wanapata fedha kufanya uchafu wote huo
 
Mke mzinzi hatakiwi kusamehewa?
Kusamehe saba mara sabini kwa siku hakuhusiani na kumsamehe mke mzinzi?
Ikiwa Kristo aliwasamehe waliomsulubu, Je dhambi ya uzinzi ni kubwa kuliko kuua?
Mkuu, makosa mengine yote yanasameheka kasoro uzinzi...
 
wajinga wanachangishwa fungulakumi mhunianali chukua anaendakuhudumia michepuko
 
Back
Top Bottom