makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Si kweli.....SHETANI HAFULIIMwache ainde zake, tatizo wanaume wanapenda wakiachana mke afulie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli.....SHETANI HAFULIIMwache ainde zake, tatizo wanaume wanapenda wakiachana mke afulie.
Mke mzinzi hatakiwi kusamehewa?Siyo kweli..
Inaruhusiwa kuacha mke mzinzi
Lete ushahidi wa kukataa niliyoandika kisha nikuletee aya za kuwasamehe wadhambi.Hiyo kwa mujibu wa kitabu kipi na aya ipi?
Mchungaji kanogewa na Ester, wanasema kila shetani na mbutu wake. Inawezekana pia mke anaye lakini Ester kamdatishq zaidiHawa si wanaruhusiwa kuoa si angetafuta mke badala ya kuvuruga ndoa ya muumini wake daah maisha haya.
Sasa huyo huyo mke wa mtu ye ndo kapendezwa nae, kipenda roho hula nyama mbichi.Hawa si wanaruhusiwa kuoa si angetafuta mke badala ya kuvuruga ndoa ya muumini wake daah maisha haya.
Mkuu, makosa mengine yote yanasameheka kasoro uzinzi...Mke mzinzi hatakiwi kusamehewa?
Kusamehe saba mara sabini kwa siku hakuhusiani na kumsamehe mke mzinzi?
Ikiwa Kristo aliwasamehe waliomsulubu, Je dhambi ya uzinzi ni kubwa kuliko kuua?
Umemtajia nini shetani wa watu mkuu, miye sitaki unichonganishe nae.Si kweli.....SHETANI HAFULII
mwanake mwenyewe anaitwa MAKUNYA!!!!......achana nae,kwani lazima AKUNYEE!!Hivi Katibu alikua anamzidi hela Masanja?
Sasa hiyo neema yaweza geuka shubiri kwa huyo mchungaji.Mke kafata penye Neema. Hataki mambo ya kujitesa sijui kusikilizia mchongo