Mchungaji asimamishwa kazi tuhuma za kumtorosha mke wa muumini wake

Mkuu ndo maana nakwambia rudi bongo uone sio kuandika vitu vya kusimuliwa na kukurupuka kujitetea umekulia huku. Nguo unazoziongelea zipo kwenye masherehe. Nenda Instagram angalia post za slayqueens wakitoka kanisani ni nguo ndefu za heshima.. Wewe ndie unayeleta mijadala ya ajabu ajabu ili mradi tu upate ligi ya udini
 
Hawa wachungaji sijui manabii na maprophets haaahaaaàaa nilishawanawa kitambo.....uhuni mtupu
 
Sawa mkuu yaishe
Sitaki ligi ya hii ila humu kila mmoja ana haki ya kutoa mawazo yake
Kuna watu wamo wanatetea majizi nao pia ni haki yao kutoa maoni

Wapo wanaopinga mabaya na wapo wanaotetea pia
Mimi nimeandika maoni yangu na wewe umetetea unayojua sawa
 
Wanawake Kwa wachungaji sijui wamewaroga na nini
Wala hawana uchawi wowote,
Zaidi ya kuchukua baadhi ya maandiko kwenye biblia na kugeuzageuza maana na kutumia mistari kama silaha ya kutongozea wanawake.

Wahuni sn hao,,
 
Angekuwa padri was kikatoliki napo ungesikia waruhusiwe KUOA.
 
Masanja kapata mtetezi wake kwenye tasnia yao.
 
Anataka jamii imsaidie goma lake lirudi
 
Ni wazi mke hataki ndoa hivyo ni vema Mume akaacha kulazimisha mahusiano.

Mume kwa mujibu wa Biblia anaruhusiwa kuoa mwanamke mwingine ( maadamu kosa la uzinzi wa mke limethibitika)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…