Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Anhaa na ile ni yako kumbeAlafu Jana hukunijibu PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa na ile ni yako kumbeAlafu Jana hukunijibu PM
Unavunjika moyo kuambiwa ukweli ?Maneno ya mchungaji yamenivunja sana moyo wa kutoa sadaka
wanatuambia Toa fungu la kumi , utabarikiwa!!!!, usipotoa umemuibia Mungu. halafu baadae wanasema Mungu hana account ya kupokelea pesa
View attachment 2928065
Labda msikitini/misikitini huku upande wa Pili peleka asiejiweza utaambiwa mpeleke Polisinilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza
Khaaaa?Sasa siku zote ulikuwa unafikiria kitu gani?Maneno ya mchungaji yamenivunja sana moyo wa kutoa sadaka
wanatuambia Toa fungu la kumi , utabarikiwa!!!!, usipotoa umemuibia Mungu. halafu baadae wanasema Mungu hana account ya kupokelea pesa
View attachment 2928065
Eeeh kwa hio nijeAnhaa na ile ni yako kumbe
Sasa si ndio kuliwa kwenyewe huko? Kwani yatima , wajane wanapiga nazo picha hizo sadaka?nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya
Njoo na hiiEeeh kwa hio nije
Acha uongo.Na wanavyotunza yatima?Wanavyosomesha wahitaji?Wanavyowapa huduma za afya na ujasiriamali?Usipotoshe.Labda msikitini/misikitini huku upande wa Pili peleka asiejiweza utaambiwa mpeleke Polisi
Basi Sawa nakujaNjoo na hii
Mimi nimeshawahi peleka mtu asiejiweza niliishia kuzuiwa na mlinzi kwenye kujieleza akaambiwa aende kituo cha Polisi akajieleze, wengine wakamshauri aende kwenye kituo cha redio akaombe MSAADA Ila kanisani walimfurusha mlinzi alimtimuaAcha uongo.Na wanavyotunza yatima?Wanavyosomesha wahitaji?Wanavyowapa huduma za afya na ujasiriamali?Usipotoshe.
Wewe ulitegemea wachungaji wanaishi kwa mshahara gani?Maneno ya mchungaji yamenivunja sana moyo wa kutoa sadaka.
Nimeacha kutoa sadaka kanisani, maneno ya huyu mchungaji yameniumiza sana. Kwamba sadaka ni chakula cha wachungaji. Mungu hana Account ya kuwekewa pesa.
wanatuambia Toa fungu la kumi , utabarikiwa!!!!, usipotoa umemuibia Mungu. halafu baadae wanasema Mungu hana account ya kupokelea pesa
View attachment 2928065
Punguza uongoMimi nimeshawahi peleka mtu asiejiweza niliishia kuzuiwa na mlinzi kwenye kujieleza akaambiwa aende kituo cha Polisi akajieleze, wengine wakamshauri aende kwenye kituo cha redio akaombe MSAADA Ila kanisani walimfurusha mlinzi alimtimua
huhuhuhu!! Uji wa motoWe ulifikiri zinaenda wapi?
Tunajua etiManeno ya mchungaji yamenivunja sana moyo wa kutoa sadaka.
Nimeacha kutoa sadaka kanisani, maneno ya huyu mchungaji yameniumiza sana. Kwamba sadaka ni chakula cha wachungaji. Mungu hana Account ya kuwekewa pesa.
wanatuambia Toa fungu la kumi , utabarikiwa!!!!, usipotoa umemuibia Mungu. halafu baadae wanasema Mungu hana account ya kupokelea pesa
View attachment 2928065