Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Usijidanganye wewe, hakuna kitu rahisi kuanzisha kama kanisa, tena kwa mtu kama Mch Kimaro akiamua akakohoa tu kho, Kanisa tiyar.
Huo ugumu unaosema sijui unamaanisha ni ugumu wa kuliandikisha au wa waumini??!!!
Yeye akaanzishe Madrasa tu,keshasema anawaamini vijana wa kiislam hao Ndio wawe waumini wake
 
What is seminar... Zipo kwenye calendar za kanisa.
Kwani semina mpk ziwekewe kalenda?Semina inakua jinsi mtumishi anavyoongozwa na roho wa Mungu kuhusu uhitaji wa watu kwa wakati husika,sio mpk muweke kalenda zenu za kutumia akili.

Haya makanisa ndio mpk mtumishi anapangiwa leo hubiri hiki na sio hiki

Ukihubiri hiki utafukuzwa kanisani,upuuzi mtupu na utapeli
 
Hajalazimishwa. Walifanya kikao kwanza kwenye ofisi ya Msaidizi wa Askofu DMP. Wakakubaliana. Yeye ndio kajiona yupo juu kuja kuwalilia washirika na kuchochea wafausi. Yule afukuzwe moja kwa moja miasi.
😂😂😂Haya makanisa haya,watu wanajiundia vijitaasisi vya kuchota pesa za raia ni kama siasa tu yani,watu wanajiundia vi vyama wapige ruzuku,waishi
 
Ndo 4 4 2 yetu.. Kama unataka 4 3 3 NeNda kaanze ya kwako.
 



Sio Kweli.

Acha kuwachukia wachaga.

Makanisa karibia yote ya kilokole yale ya mwendokasi na haya kongwe ya kawaida ya CCT na Roma yote siku hizi ni upigaji mtupu wa sadaka na michango chungu nzima [emoji108]

Kwa Hilo huko kote ni wachaga wanapiga?

Sio vizuri kuleta chuki za wazi za kikabila. Maana hazijengi zinabomoa upendo na mshikamano.

Kwa unataka kusema Kimaro anasakamwa sababu ya kuwa Mchaga?

Wekeni wazi tuhuma zake tuzijue na sio kumhukumu kwa jumla jumla Eti sio mtiii ! Kipimo cha utii ni kipi?
 
Achaneni na makanisa ya kitapeli haya, viongozi wanawaza fitina na kulogana tu,kukamua sadaka za waumini
Haya madhehebu ni ushenzi tu

Watu wamekaa wakajianzishia vijitaasisi vya kupiga hela
[emoji23][emoji23]
We nae mbona unakomaa na makanisa yakitapeli..kwanini usiendelee na kanisa lako kimyakimya Bila kutukana wenzako..au huyo mungu wenu anapenda Sana matusi..Mimi Sina dini kabisa..yaani naona mambo ya dini ni ujinga/upumbavu.. lakini siwezi kulazimisha mtu kama unavyofanya hapa
 
Kanisa ni kama taasisi nyingine yeyote ina misingi na kanuni na taratibu na mara nyingi wanao jiona wamekuwa wazuri ki huduma husahau kama ile ni taasisi yenye taratibu zake ,

katiba ya KKKT iko vizuri sana hayupo ambaye anaweza kuwa zaidi ya kanisa na ukitaka kuwa basi unakatwa mapembe hata uwe askofu nani, ndio uzuri wa KKKT
 
swali la kujiuliza, yeye alihamia pale akitokea Kariakoo Lutheran (KKKT), kama aliyemuachia kijiti naye angefanya anayofanya yeye angekuwa mchungaji wa kijitonyama? Kanisa alilikuta, wachungaji wengi wamehama miaka nenda rudi, na kama kila mchungaji atakuwa hataki kuondoa sehemu uliyomhamishia, patatosha? kwani hakuna uongozi? hakuna viongozi? hakuna wakubwa? yeye au wao na maaskofu na viongozi wengine wote wapo sawa au mmoja ni kiongozi wa mwenzake.

pale alichofanya, kwanza ameanzisha uasi kwenye kanisa, pili, amecreate kazi kubwa sana kwa mchungaji atakayempokea kijiti, waumini hawatamkubali, itakuwa shida. tunawaachia wao wenyewe walutheran tuone watafanyajea.
 
Mbwa mwitu walilivamia kanisa na wakaanza kutengeneza ufalme wao na kuacha ule wa Mungu.

Mbwa mwitu wana kiburi na wanaamini hawapaswi kuguswa na yeyote.
 
Namkubali

Siku hizi kuna makanisa ya maji, mafuta na chumvi hayana tofauti na uganga wa jadi
kwahiyo na kanisa lake yeye mwenyewe ni madalali, pamoja na boss wake Shoo ambaye anatoka naye Machame. unafikiru huu uamuzi wa kumng'oa, Dr. Shoo mchaga mwenzie wa machame ambaye ndiye mkuu wa kanisa hilo atakuwa amerukwa? lazime yeye ametoa go ahead. sidhani kama kkkt wamekurupuka.
 
Hakuna vitu vya kijinga duniani kama dini
 
Imeandikwa; “Mungu ni Roho nasi tumwabudo inatupasa kumwabudu katika Roho na Kweli.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…