Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Hio ni biashara sio kanisa
Ndo ujue kila kitu kinamsingi wake, usiksshifu tsratibu zilizowekwa mbya Zaid na weww umo ndani ukitumia facilities zetu kutoa shtuma Zako. Katika Maisha kila kitu Kina udhaifu wake..
 
Mnasema Kimaro amekula sana Kijitonyama hataki kuondoka? Mnajua historia yake? Hivi hamjui alikuwa mfanyabiashara hata ya kuingia kwenye uchungaji ?

Mnadhani anasikitika akitoka Kijitonyama?
Wewe hujiulizi ilikuwaje akaenda Marekani na akakaa huko kwenye likizo yake yote ya mwaka mwishoni mwaka jana kama hana "mashabiki" wa kumwaga?

Hivi hamjajua kwamba hao anaowahamasisha kujitoa kwa ujenzi na mipango mingine ya maendeleo hapo Kijitonyama wanatoa kwa heshima yake?

Hujajiuliza mbona sharika nyingine za KKKT hazina maendeleo makubwa kama ya Kimara Korogwe kwa Mastahi na Kijitonyama kwa Kimaro? Hamwoni kwamba Mungu kaweka kipawa fulani ndani ya hao wawili ili kuchochea maendeleo ya kanisa kiroho na kimwili?

Nyie bakini na maneno yenu meeengi ya kumtuhumu, na kumhukumu Kimaro, lakini hamwezi kumfikia kiroho wala kimwili hata iweje. Ni wivu tu umewajaa !!

Kwani mwenye makosa kwenye hiyo dayosisi ni yeye mwenyewe? Kwani hamjui wapo wakubwa wa skendo nzito lakini hakuna anayewahukumu maana tunajua Mungu atashughulika nao Yeye mwenyewe?
 
Mnasema Kimaro amekula sana Kijitonyama hataki kuondoka? Mnajua historia yake? Hivi hamjui alikuwa mfanyabiashara hata ya kuingia kwenye uchungaji ?

Mnadhani anasikitika akitoka Kijitonyama?
Wewe hujiulizi ilikuwaje akaenda Marekani na akakaa huko kwenye likizo yake yote ya mwaka mwishoni mwaka jana kama hana "mashabiki" wa kumwaga?

Hivi hamjajua kwamba hao anaowahamasisha kujitoa kwa ujenzi na mipango mingine ya maendeleo hapo Kijitonyama wanatoa kwa heshima yake?

Hujajiuliza mbona sharika nyingine za KKKT hazina maendeleo makubwa kama ya Kimara Korogwe kwa Mastahi na Kijitonyama kwa Kimaro? Hamwoni kwamba Mungu kaweka kipawa fulani ndani ya hao wawili ili kuchochea maendeleo ya kanisa kiroho na kimwili?

Nyie bakini na maneno yenu meeengi ya kumtuhumu, na kumhukumu Kimaro, lakini hamwezi kumfikia kiroho wala kimwili hata iweje. Ni wivu tu umewajaa !!

Kwani mwenye makosa kwenye hiyo dayosisi ni yeye mwenyewe? Kwani hamjui wapo wakubwa wa skendo nzito lakini hakuna anayewahukumu maana tunajua Mungu atashughulika nao Yeye mwenyewe?
Yeye kajibrand kwenye social media hivyo diaspora wengi walimuona, connection na ndo walimualika USA. Ila USA hata Mwakasege huwa anakwenda na hana majivuno.
 
View attachment 2486999
Picha: Mchungaji Eliona Kimaro

Semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT Kijitonyama ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo.

Mchungaji Kimaro amesema anatumia fursa hiyo kuwaaga Washarika wake na kuanzia Januari 17 Mchungaji Anna ataendelea kuwa kiongozi wa Kanisa hilo.

Kwa mujibu wa barua, Mchungaji Kimaro atamaliza likizo yake ya lazima 17/03/2023 na barua inamuelekeza kuripoti makao makuu na sio usharika wa KKKT Kijitonyama ambapo atapangiwa sehemu nyingine.

View attachment 2487019

Video: Mchungaji Kimaro akiwaaga waumini
Amesema:
"Mimi ni Mchungaji wa Lutheran ninayeheshimu kiapo changu cha kichungaji na kuishi katika kiapo changu cha kichungaji na maadili pia ya kichungaji kwa neema ya Mungu. Kwa sababu hiyo imenilazimu kutii amri na kwenda kwenye hiyo likizo ya siku 60 na baadae kuripoti kwenye ofisi ya Askofu kama nilivyoelekezwa" Asante.

View attachment 2487041
Video: Mchungaji Kimaro akiombea Waumini baada ya kuaga

UPDATES
Baadhi ya Waumini wa KKKT wajitokeza kupinga uamuzi wa Mchungaji Kimaro kupewa likizo
Waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama wamekubaliana kutoingia ndani ya Kanisa hilo hadi watakwporudishiwa Mchungaji wao Dk Eliona Kimaro aliyepewa likizo ya siku 60.

Uamuzi huo umefikiwa na waumini hao baada ya kukubaliana kufanya maandamano ya amani katika viwanja vya kanisa hilo hadi pale mchungaji wao atakaporudishwa au kupewa sababu za kupewa likizo hiyo.

Tazama baadhi ya video hapa chini:

View attachment 2487024

View attachment 2487032

View attachment 2487035

Video hizo hapo juu zinawaonesha Waumini wa KKKT Usharika wa Kijitonyama wakipinga mchungaji wa usharika huo Dk Eliona Kimaro kupewa likizo ya siku 60.


PIA SOMA:
1. https://www.jamiiforums.com/threads...amlijui-viongozi-wake-hawajakurupuka.2057299/

2. https://www.jamiiforums.com/threads/projects-za-mchungaji-kimaro-akiwa-kkkt-kijitonyama.2057447/

3. https://www.jamiiforums.com/threads...ma-na-kiongozi-wangu-askofu-malasusa.2057711/
Hiyo video ya mwisho inaonyesha jinsi waumini wanaojiona ni wakristo wasivyo wa kristo.Muumini anasema ukristo unakufa haufi? Halafu wote wanajibu unakufaaaaaaa....... Kisha wanasema kimaro kasema hayo hivyo kasema ukweli.Huyu Kimaro inaonekana kutolewa ni sahivi maana hata ukristo bado hajaujua vizuri.

Anasema ukristo unakufa wakati kitabu cha mwisho cha Biblia kinasema Ukristo utafika mwisho kwa uimara zaidi hadi hapo tutakaponyakuliwa.Kimaro kasome Biblia vizuri , uwezi ukasifia uislamu Kanisani.Hapo unawafanya watu waone kuna nuru kwa uislamuni hivyo Yesu anaonekana sio njia pekee ya kwenda kwa baba hivyo ni kumfanya Yesu muongo aliposema " mtu akiwa kinyume chake hutapanya" Kina Paulo walihubiri hakuna wokovu nje ya Yesu
 
Unatuambia sisi mashahidi wa jehova?
Sisi hata hio kkkt hatujui ni mdudu gani
 
Hiyo video ya mwisho inaonyesha jinsi waumini wanaojiona ni wakristo wasivyo wa kristo.Muumini anasema ukristo unakufa haufi? Halafu wote wanajibu unakufaaaaaaa....... Kisha wanasema kimaro kasema hayo hivyo kasema ukweli.Huyu Kimaro inaonekana kutolewa ni sahivi maana hata ukristo bado hajaujua vizuri.

Anasema ukristo unakufa wakati kitabu cha mwisho cha Biblia kinasema Ukristo utafika mwisho kwa uimara zaidi hadi hapo tutakaponyakuliwa.Kimaro kasome Biblia vizuri , uwezi ukasifia uislamu Kanisani.Hapo unawafanya watu waone kuna nuru kwa uislamuni hivyo Yesu anaonekana sio njia pekee ya kwenda kwa baba hivyo ni kumfanya Yesu muongo aliposema " mtu akiwa kinyume chake hutapanya" Kina Paulo walihubiri hakuna wokovu nje ya Yesu
Sadaka zitawafanya muuane ninyi,serikali iweke jicho hapo msije leta madhara kwa jamii
 
Mnasema Kimaro amekula sana Kijitonyama hataki kuondoka? Mnajua historia yake? Hivi hamjui alikuwa mfanyabiashara hata ya kuingia kwenye uchungaji ?

Mnadhani anasikitika akitoka Kijitonyama?
Wewe hujiulizi ilikuwaje akaenda Marekani na akakaa huko kwenye likizo yake yote ya mwaka mwishoni mwaka jana kama hana "mashabiki" wa kumwaga?

Hivi hamjajua kwamba hao anaowahamasisha kujitoa kwa ujenzi na mipango mingine ya maendeleo hapo Kijitonyama wanatoa kwa heshima yake?

Hujajiuliza mbona sharika nyingine za KKKT hazina maendeleo makubwa kama ya Kimara Korogwe kwa Mastahi na Kijitonyama kwa Kimaro? Hamwoni kwamba Mungu kaweka kipawa fulani ndani ya hao wawili ili kuchochea maendeleo ya kanisa kiroho na kimwili?

Nyie bakini na maneno yenu meeengi ya kumtuhumu, na kumhukumu Kimaro, lakini hamwezi kumfikia kiroho wala kimwili hata iweje. Ni wivu tu umewajaa !!

Kwani mwenye makosa kwenye hiyo dayosisi ni yeye mwenyewe? Kwani hamjui wapo wakubwa wa skendo nzito lakini hakuna anayewahukumu maana tunajua Mungu atashughulika nao Yeye mwenyewe?
Awe nakarama,kipawa au vyovyote vile...ila ha wezi kuwa juu ya Taasisi!
 
Uzi huu kupunguzwa namba ya walio vyuu humu imenishangaza Sana. Hata kwa mtu wa dini!!!! Kwani yeye kujulikana na kusomwa humu kunawafanyaje mods hadi mpunguze, mnasikitisha Sana wakati nje ya humu mtandaoni ukweli unajulikana bila ubishi. Ya dini kuchezesha pia!!!
 
Nasikia anakaribia kuslim kuwa sheikh!ana Imani kubwa na upande wa Islam mpokeeni huko[emoji16]
Wala ht asiposilimu nitamsikiliza ,Mimi napenda hoja nzuri na mafunzo ht mwakasege namskiliza na nampenda pia
Uislam Sio uadui Wala chuki,yoyote anaehubiri Amani namheshimu na kumpenda Kuna vingi tunajifunza kutoka kwao yasionihusu nayaacha
 
Good!
Wala ht asiposilimu nitamsikiliza ,Mimi napenda hoja nzuri na mafunzo ht mwakasege namskiliza na nampenda pia
Uislam Sio uadui Wala chuki,yoyote anaehubiri Amani namheshimu na kumpenda Kuna vingi tunajifunza kutoka kwao yasionihusu nayaacha
 
Lutheran Church (ambayo KKKT ni branch) yenyewe ilianzishwa baada ya Martin Luther kufukuzwa.

Kwani Kimaro akifukuzwa akianzisha Kanisa la Kiinjili la Kimaro Tanzania (KKKT) ya kwake itakuwa ajabu?
 
Back
Top Bottom