Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara...
Unesema kweli mtumishi. Mimi siko ndani ya kkkt lakini nilikuwa nafuatilia mahubiri ya rev Kimaro. Mwanzoni nikimwelewa lakini baadaye nikiacha kumfuatilia baada ya kugundua kaingiwa na kiburi na ushabiki hasa mafundisho yake ya ndoa.

Anezidisha mwembembwe na washabiji zake wengi ni wanawake. Pia hudharau wachungaji wenzake.
 
Kijitonyama tulishabarikiwa na Mungu tangu enzi za mch hiza alipoindoka waumini walilia sana akaja mwingine maisha yakaendelea

Kkkt kijitonyama bado ipo

Kimaro mwanzoni kabisa nilijuaga huyu hatadumu maana alilenga sana kupata umaarufu kuliko kanisa

Kwa sasa sisali hapo nipo mkoani
Uluyoyasema naamini kwa 100%
 
Hii ni kwa kujibu wa wa page ya Malisa kwenye mtandao wake wa Facebook taarifa hiyo inasomeka hivi "Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya Kanisa la KKKT (Dayosisi ya Mashariki na Pwani) kumsimamisha kazi Mchungaji Eliona Kimaro wa Usharika wa Kijitonyama, kwa kile "kilichoelezwa" kupisha uchunguzi dhidi yake kwa siku 60.

Namuombea aweze kuvuka salama katika kipindi hiki cha mpito, huduma yake iendelee kustawi na Kanisa la Kristo libaki imara. Sola Christus, Sola Gratia, Sola Fide (Kristo tu, Neema tu, Imani tu)!"
 
 
Baba yangu alikuwa mzee wa kanisa KKKT alijaribu kufikisha mbali usharika ila mwisho wa siku aliundiwa zengwe kupisha walaji wa wazee wengine usharika.

KKKT ni jipu na kuna ujinga wameendekeza michango tena wakikujua hupo vizuri basi alambee utakoma nazo
 
Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi
KKKT= Kanisa la Kukuru Kakara Tanzania.

Ila na nyinyi mnadhalilisha hali ya Ukristu Tanzania kwa migogoro ya fedha. Haya mambo yalipaswa yasikike Pentecostal Churches lakini siyo kwa kanisa la Lutheran lenye miaka zaidi ya 500 duniani
 
Kufuatia semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT KIJITONYAMA ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo...
Kanisa ni waumini au ni Jengo?

Kama ni waumini Kimaro anao mtaji mkubwa.

KKKT MSIKURUPUKE KWA HILINITAWAGHARIMU SANA
 
Akifa sawa tu ila kupitia mafundisho yake nimefaidika Sana Kuna wakt natak kutoka keko kuja Hadi kimara korogww kwa mastai ,mastai anajuwa na anaeeza kukushawishi ulipende neno la mungu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…