samweli wa pili
JF-Expert Member
- Mar 21, 2018
- 410
- 284
Unesema kweli mtumishi. Mimi siko ndani ya kkkt lakini nilikuwa nafuatilia mahubiri ya rev Kimaro. Mwanzoni nikimwelewa lakini baadaye nikiacha kumfuatilia baada ya kugundua kaingiwa na kiburi na ushabiki hasa mafundisho yake ya ndoa.Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara...
Acheni kumsingizia Shetani.. azingatie kiapo chake, nanyi waumin ndo mnampa jeuri Hizo.. anaweza sehemu zingne akafanya Kazi yake vizuri.. whatever the Case church politics zipo.. ukiona vipi heshimu uamuzi au fanya uamuz wako..Ukikua utajua ni wakati gani shetani yuko kazini
Uzuri wa hili kanisa ni demokrasia, sio upande ule mwingine kazi ni moja kuitikia amina
Hafuati miongozo kanisa Lina kalenda yake maalumu ya mwaka mzima kwa aina ya mafundisho Sasa wew unaitwa unaambiwa uifuate unasema wew unaongozwa na mungu is it right? Na mengine mengiKauli haiendani na dhima
Kuna sehemu amesema Kimaro siyo mtii?
Kijitonyama tulishabarikiwa na Mungu tangu enzi za mch hiza alipoindoka waumini walilia sana akaja mwingine maisha yakaendeleaKwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake
ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Wapo na kwa knyama alikuwepo horice mboweTokea lini wa KKT wakawa na wachungaji wanawake
Umesema kweli mtumishi. Mimi siko ndani ya kkkt lakini nilikuwa nafuatilia mahubiri ya rev. Kimaro. Mwanzoni nilimwelewa lakini baadaye nikiacha kumfuatilia baada ya kugundua kaingiwa na kiburi na ushabiki hasa mafundisho yake ya ndoa. Amezidisha mwembembwe na washabiki wake wengi ni wanawake. Pia hudharau wachungaji wenzake.
KKKT= Kanisa la Kukuru Kakara Tanzania.Kwenye hili nahisi pastor kimaro ataenda kujitafakari
Mimi ni muumini wa KKKT hapo kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji kimaro ni kwamba alikua anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alisha onywa zaidi
Jibu zuri sana, iwe kwa walokole, waislamu na wakatoliki ufiraji, kubaka na mengine yapo lakini hayaja halalishwa.this is at the individual level, not at kanisa level! kama wewe unavyoweza kuzini wakati uko kwenye ndoa. Siyo kosa la kanisa lako/msikiti wako,ni wwe na uzinzi wako
Kanisa ni waumini au ni Jengo?Kufuatia semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT KIJITONYAMA ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60 na kupelekea kushindwa kuendelea na semina hiyo...
RoKKKT ya sasa ni uhuni mtupu, kama kungekuwa na kipimo digital kinacho scan utashi wa viongozi 50%+ ni opportunists hawana hata element moja ya u Mungu
Individual level, si sera ya kanisa, kwani hujawahi kuskia askari kaiba? kwani ni sera ya polisi kuiba?Ro
Ma
Ushyoga sana
We jamaa mbona unaonekana kilaza sana?Tokea lini wa KKT wakawa na wachungaji wanawake
MALASUSA ndio kishakurupuka, mwendo wa YESU kujipatia wasafi wa roho.Kanisa ni waumini au ni Jengo?
Kama ni waumini Kimaro anao mtaji mkubwa.
KKKT MSIKURUPUKE KWA HILINITAWAGHARIMU SANA
Akifa sawa tu ila kupitia mafundisho yake nimefaidika Sana Kuna wakt natak kutoka keko kuja Hadi kimara korogww kwa mastai ,mastai anajuwa na anaeeza kukushawishi ulipende neno la munguNimezaliwa katika familia ya kiluteri na kupata hadi kipaimara ila mambo hata ya migogoro upande wa viongozi yalinikera ukifuatilia chanzo pesa afu michango karibia mitano lol niliamua niwe tu nasali kwa ukawaida kwa mashahidi wa yehova watu walio na upendo wa hali ya juu wakiyaishi maisha ya viwango ya kikristo kwa matendo.kwanza kkkt inashangaza eti mtu anaweza akaacha kanisa lake la kkkt mtaani ila akawa anaenda kusali usharika wa kimara eti kisa mchungaji wa kimara anamvutia swali je akifa huyo mchungaji utaendelea kwenda huo usharika????