Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaj Anna ndi tatizo pale kanisan kwetu tangu aje yy wafanyakazi wengi wanaondolewa pale Anna ni mfitini sana.
 
Mnaongea upumbafu gani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapo hapamfai tena viwango vyake kihuduma vimeshavuka mipaka ya hapo ndio maana yanatokea hayo!
 
Inaonekana mkuu na wewe ni mmoja wa wanaomfanyia figisu huyo mchungaji, eti unamuombea arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu, kwahiyo ina maana yeye kazi anayoifanya ni kumtukuza shetani...!
 

Hivi KKKT KImara mwisho Iko sehemu gani?
 
Hawa wachungaji wa kkkt elimu za theoloji walizosomea zinawasaidia nini? Taabu ya nini kujikuta kwenye migogoro ya kioongozi badala ya kuanzisha kanisa au huduma ya kiroho?

Tatizo ni fedha na mali tu ndio cha migogoro mingi ya walutheri na ndugu zao wengine. Ni aibu sana kuendesha kanisa huku roho iko kwenye fedha na mali
 
Mimi pia ni msharika wa KKKT kijitonyama.

Yaliyo chini ya PAZIA ni Mengi mno...
Sina shida na mafundisho yake ila utii na kujikweza Ni mbaya Sana

Mara kadhaa namuona akaiwasifia RC Eti kkkt haiwezi kutoa kiti Cha urais wa nnchi hi yeye kimaro aliyasema mbele ya Dr mwigulu nchemba madelo

Sijapendezwa na kauli zake za kusema kuwa kkkt haitaweza kumtoa mtu kuwa rais

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Ugomvi wa Mastai korogwe ni zaidi ya Ibada
Ni mambo ya sadaka
 
Makanisa na migogoro ni sawa na samaki na maji.

Makanisa yote yemejaa changamoto, wakatoliki na ushoga na ulawiti watoto, waangillikano ushoga, walutheri sadaka na ukabila, wasabato ukabila, unafiki, walokole sadaka, ni balaa tupu...
Jiheshimu

Kwenye ukatoliki hakuna migogoro ya kisenge na kifala kama hiyo uliyotaja.

Wakatoliki migogoro yao ni kugombania umiliki wa ardhi na wananchi wa kawaida.
 
Usishauhuri aanzishe kanisa siyo sawa Ni Bora umshauri awwe na utii na kujishusha kdg

Makanisa yatapita tu Ila neno la mungu litabaki milele

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unajua mambo ya dini pia hutegemea kiongozi wa dini wa sehemu husika, kuna viongozi wa dini ni kama wamepewa karama kwa jinsi wanavyoelimisha waumini wao na kukubalika.

Ni kama shuleni kuna walimu, kwa kipaji chake na mbinu zake za kufundisha, huwavutia wanafunzi mpaka wale watoro...

Mimi mtaani kwangu kuna msikiti mkubwa tuu but Sala ya Ijumaa huwa naenda msikiti mwingine mbali kidogo kwa sababu ya namna nzuri ya kuongoza na mawaidha mazuri ya msikiti ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…