Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

Hana lolote huyo!

Ukimsoma vizuri kwa utulivu utagundua yeye Kuna mawili;
1. Ama ndiye Mchungaji Anna
Au
2. Ni wale wanafiki na mahasidi wa kanisa.

Wachawi nao wanasali makanisani!

Lakini Pastor Kimaro kama mmemuonea mjue Mungu anaenda kumuinua zaidi.

Roho wa Mungu ampe subira na hekima kuvuka jaribu hilo.

Ikimpendeza Roho namshauri afanye kama huduma ya Mwakasege.

Au aanzishe kanisa .
Unaijua kkkt kijitonyama? Au unamjua tu kamaro
 
this is at the individual level, not at kanisa level! kama wewe unavyoweza kuzini wakati uko kwenye ndoa. Siyo kosa la kanisa lako/msikiti wako,ni wwe na uzinzi wako
Ingekua ni mimi na uzinzi wangu basi kanisa lingenitenga na kunisimamisha huduma lakini cha ajabu kanisa ndio limekua likiwalimda na kuwatetea mapadri na maaskofu wanaolawiti watoto hivyo ni mkakati wa kanisa kuhakikisha wanalawiti watoto na kisha kulindana.

Papa mwenyewe amekiri kwamba aliwalinda na kuwatetea maaskofu waliokua wanatuhumiwa kulawiti watoto.
 
Huyu aliwahi kusifu Kanisa Katoliki. Pia hata video ya kuwaaga waamin kamaliza Tumsifu Yesu Kristo. Hili jambo maboss (askofu) wake wanachukia. Huyu Jamaa ni mkweli. Hakuna taasisi bora zaidi ya Kanisa Katoliki. Makanisa mengine ni migogoro ya (kifedha, kiuongozi) kila siku
Kila kanisa na utaratibu wake na ndio mana hata mapadree wanaokosea kanisa huwa mnaondoa

Amri za kanisa mliweka ili zifuatwe

Sasa hata kkkt nako kuna utaratibu wake ukiend kinyume lazma ukumbushwe
 
Huyu aliwahi kusifu Kanisa Katoliki. Pia hata video ya kuwaaga waamin kamaliza Tumsifu Yesu Kristo. Hili jambo maboss (askofu) wake wanachukia. Huyu Jamaa ni mkweli. Hakuna taasisi bora zaidi ya Kanisa Katoliki. Makanisa mengine ni migogoro ya (kifedha, kiuongozi) kila siku
Umeongea kama mtoto wa darasa la 2. Mbona wakatoliki wengi huwa wana akili na uelewa? Tumsifu Yesu Kristo ni salamu ambayo mkristo yeyote anaweza itumia.

Kuelezea mambo mazuri wanayofanya wengine ni akili ya ku appreciate. Migogoro ipo hata Roman Catholic sema tu wewe ni mtoto huelewi. Unamfaham Father Nkwera? Unawafaham Charismatic? Kila Taasisi ina taratibu zake. Ziheshimiwe.
 
Hawa wachungaji wa kkkt elimu za theoloji walizosomea zinawasaidia nini? Taabu ya nini kujikuta kwenye migogoro ya kioongozi badala ya kuanzisha kanisa au huduma ya kiroho?

Tatizo ni fedha na mali tu ndio cha migogoro mingi ya walutheri na ndugu zao wengine. Ni aibu sana kuendesha kanisa huku roho iko kwenye fedha na mali
Vifo wa mapree kukutwa kwenye matank ya maji chanzo ilikuwa nini?
 
Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.

Ukisoma uliyoandika hakika wewe unaweza ukawa ni sehemu ya hayo majungu

Ungeainisha ni sheria na taratibu zipi za kanisa jamaa kakiuka, naona hapa upo mgogoro mnaupika

Muda ni mwalimu mzuri kabisa,kama wewe uliona Mchungaji anakosea ulichukua jitihada gani, kanisani si kuna wazee, mlijaribu hata kumuita mkamuonya,,naamini angewasikiliza

Inaelekea na wewe ni miongoni mwa wale mliokuwa mnampigia makofi na kumshangilia akijeuka nyuma mnaanza kumnanga..

maisha ya bidadamu ni mafupi, tupendane, tusahihishane,tukosoane kwa staha,,badala ya kujenga jamii ya wanafiki.. kwani KKT DSm makanisa yapo mangapi kwanini waumini wengi wanene mara nyingi kuhusu KIJITONYAMA na KIMARA TU

Wakati mnamnanga tambueni YEYE NI MUANzILISHI WA IBADA zA ASUBUHI NA MASIFU YA JIONI KWA KKKT PIA NI MTU WA KWANzA KUANzISHA TV KABLA HATA YA UPENDO RADIO NA TV...
 
Acha kudhalilisha Kanisa dhidi ya madhehebu.Kanisa Katoliki halijawahi kuwa na migogoro, unachokizungumza wewe ni tuhuma kutoka nje ya kanisa si ndani ya kanisa, Na hayo ni majaribu ambayo hata Yesu alipolianzisha alishatabiri kwamba litajaribiwa lakini halitashindwa! Kanisa ni Moja, Katoliki, Mengine ni madhehebu tu.
Imekuwepo ya Ulawiti, Ubakaji, ndoa za jinsia moja n.k
 
Umeongea kama mtoto wa darasa la 2. Mbona wakatoliki wengi huwa wana akili na uelewa? Tumsifu Yesu Kristo ni salamu ambayo mkristo yeyote anaweza itumia. Kuelezea mambo mazuri wanayofanya wengine ni akili ya ku appreciate. Migogoro ipo hata Roman Catholic sema tu wewe ni mtoto huelewi. Unamfaham Father Nkwera? Unawafaham Charismatic? Kila Taasisi ina taratibu zake. Ziheshimiwe.

MKUU HAKUNA MGOGORO WOWOTE KUHUSU CHARISMATIC KATOLIKI TANzANIA, IPO KILA MAHALI NA KILA JIMBO KATOLIKI INA WARATIBU WAKE, WAPO MAASKOFU MAPADRI NI WANAcharistmatic kindakindaki mfano Askoofu mstaafu Lebuli na wengine....Padre Nkwera alikataa kufuata maagizo wa wakubwa zake kajiwekea utaratibu wake ulitaka aachwe
 
Yule wa Kebbyz hotel mwenge ?

[emoji3][emoji28]

Umenichekesha Eti yule mwingine alikuwa akifundisha mambo ya wanawake na mapenzi tu basi [emoji108][emoji23]
Yule hakuwa mchungaji, zilikuwa zimefyatuka na hutakiwi kumlinganisha na wachungaji. Namfahamu alitokea TAG Mwenge
 
Kwenye hili nahisi pastor Kimaro ataenda kujitafakari.

Mimi ni muumini wa KKKT hapo Kijitonyama, shida iliyokuwepo kwa mchungaji Kimaro ni kwamba alikuwa anaenda kinyume na utaratibu wa kanisa na kibaya zaidi alishaonywa zaidi ya mara 3 ila shida yake akiitwa akaonywa anakuja kanisani anaanza kuongea kwa waamini na kurusha vijembe kwa viongozi wake.

Tarehe 8 ukiweza fatilia alichokifanya kwa pastor mwenzake ANNA maneno aliyoongea kumuhusu huyo mchungaji kuna jambo utaelewa.

Kimaro ana kiburi cha umaarufu
Mchungaji hafati kalenda ya kanisa, yeye anafanya mambo yake, aliitwa akaonywa ila akaja kanisani hadharani na kusema hawezi kupangiwa cha kufanya ila Mungu tu, sasa hapo kweli kuna utii?

Kimaro toka amekuja usharikani anazo nyimbo 6 tu anazoimba kutoka kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, aliitwa akaambiwa hiki kitu ila akawa mkaidi, ni mchungaji anayependa yeye aongee zaidi, hapendi kuwapa wachungaji wengine nafasi ya kuhubiri, ikitokea mchungaji mwingine akahubiri basi na yeye baada ya mahubiri atasimama na kuanza kujazilishia kuonekana kwamba mwenzake hajafanya kama inavyopaswa.

Ni kimaro na masai wa kimara ambao ukifatilia utaratibu wanao ufanya kanisani siyo wa KKKT ila najua wachache sana wataelewa hili.

Kama mtaweza kumbuka pia aliondolewa kwenye vipindi vya upendo Tv kisa mambo yake hayo ya kufanya kinyume na utaratibu wa kanisa ikabidi wamuonye ila akakaidi, baada ya kuondolewa alikuja kanisani hadharani na kuanza kusimanga na kuongea mbovu na tokea hapo hajawahi kutangaza kitu chochote kinacho husu upendo kama magazeti.

Alitamba sana kwamba kwa jinsi alivyo barikiwa na Mungu hakuna mwanadamu wa kumshusha hapo alipo, na haya alikua anaongea kanisani mbele ya waamini na kujitapa kabisa.

Kwa sisi waamini wachache ambao tulikua tunamuona kanisani na kutambua madhaifu yake tulijua hana mda mrefu atapigwa chini na kweli leo kaondoka.

Wengi mnaongea hamjui kilicho nyuma ya huyu kimaro ila nakuhakikishia KKKT KIJITONYAMA haiwezi kutetereka kisa kimaro kuondolewa na alishasema akitolewa Kjitonyama basi ataanzisha kanisa lake, ngoja nione atakachofanya baada ya hili.

Namuombea hekima na maarifa atambue kosa lake arudi kundini na awe mnyenyekevu kwa Mungu na Viongozi na Kanisa kwa ujumla.

ANAYEFATA NI MASAI WA KIMARA MWISHO.
Wachungaji wa kkkt hawafuati calendar ya kanisa hata tumwimbie bwana hawaimbi Tena wanaimba mapambio
 
Ingekua ni mimi na uzinzi wangu basi kanisa lingenitenga na kunisimamisha huduma lakini cha ajabu kanisa ndio limekua likiwalimda na kuwatetea mapadri na maaskofu wanaolawiti watoto hivyo ni mkakati wa kanisa kuhakikisha wanalawiti watoto na kisha kulindana.

Papa mwenyewe amekiri kwamba aliwalinda na kuwatetea maaskofu waliokua wanatuhumiwa kulawiti watoto.
Sijui naongea na nani ndilo tatizo.
 
Demokrasia kanisani? Basi Mungu angesema tupige kura wanaosema Uzinzi ni dhambi au si dhambi kura zihesabiwe😀
Umenielewa nilichomaanisha, lakini umetolea mfano tofauti ili kujifanya hujaelewa
 
Mzee ukisema uweke Demokrasia Kanisani utajikuta hamna Kanisa.

Ndio mwanzo wa migogoro Kama tunayoiona.

Huku kwetu kwa Salam Maria ni mwendo wa Amina kwenda mbele na Kanisa linaenda.
Nimecheka... umenikumbusha sister wetu in my o level alikua ana msemo

Roma locuta, causa finita​

 
MKUU HAKUNA MGOGORO WOWOTE KUHUSU CHARISMATIC KATOLIKI TANzANIA, IPO KILA MAHALI NA KILA JIMBO KATOLIKI INA WARATIBU WAKE, WAPO MAASKOFU MAPADRI NI WANAcharistmatic kindakindaki mfano Askoofu mstaafu Lebuli na wengine....Padre Nkwera alikataa kufuata maagizo wa wakubwa zake kajiwekea utaratibu wake ulitaka aachwe
UMEZUNGUMZIA UTARATIBU WA WAKUBWA. HAPO HAPO TU ULISHAMALIZA KILA KITU. KILA TAASISI INA UTARATIBU WAKE. USIPOFUATA UTAONA UNAONEWA.
 
Back
Top Bottom