Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,152
Priest.PNG

Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia gesti akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tunanyooka, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
 
View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
Sipati picha alivokufa yani,..
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.

Ndizi siyo kitu chs mchezo jamani!
 
View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
Dini ziingine majanga tupu na uwendawazimu
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
Na wewe unakuwa nao faragha?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
Kinachotuua wanaume ni viagra...

Wanawake hawatumii viagra bali sisi wanaume ndo tunasisimua misuli ya moyo. Lazima tufie kidondani
 
Kinachotuua wanaume ni viagra...

Wanawake hawatumii viagra bali sisi wanaume ndo tunasisimua misuli ya moyo. Lazima tufie kidondani
Kifo cha kishujaa kweli kweli....jamaa amefia alipotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app


But keep in mind that SEXIPIONAGE is real, sometimes these people are the victims of the targeted crimes. So, always be very careful and watchful, because most of these events are planned sexual entrapments through Sparrows (swallows ) or Ravens.
 
Huyu kafa kimpango wake ila kwa cheo chake inaleta picha mbaya.

Hakuna dini inakubali huu uchafu kwa muda hapo alimtumikia shetani na ndio mshahara wake ,ukipanga kuwa mtumishi wa Mungu basi kuwa mfano mzuri kuanzia roho mpaka matendo
It depends.
Rejea comment yangu hapo juu.
Kumbuka: Hata Watumishi wa Mungu nao Wana maadui.
Baadhi ya watu wengi ambao wamekuwa victims wa matukio kama haya huwa wanakuwa "wahanga wa mitego," watu wengi katika jamii bado hawajui wala kushitukia kuhusu suala hili. Watu wengi wanaweza "kunaswa kiurahisi sana" endapo kama watategwa na 'mitego' ya aina hiyo bila kujali cheo, hadhi au umri wa mtu aliyetegwa.
 
Die with dignity.

Kufia kwenye nyapu ni kifo cha heshima sana.

Mwanaume unatakiwa ufie vitani ama ufie kwenye utamu, hayo maeneo mawili tu ndio maeneo ya heshima mwanaume akifa.

Mwanaume majukumu yake makubwa ni 2 tu, kupigana kulinda familia na nchi yake na kuchakata hizo vitu za wanawake.

Pumzika kwa aman brother. Vita umevipigana n mwendo umeumalizia mahala pazuri.
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
Usikute huyu mama ana mtoto ake hapa jamii forum...uzi ukiletwa dogo atamjua baba ake.
 
Back
Top Bottom