Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Aliyewaambia kuwa Kila anayeitwa Padre sharti asioe ndo anaharibu,

Watumishi wa Mungu iwe hiari Kuoa au Kutooa.
 
View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani gesti akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
Kariuki?! Pande za Bukoba hizo au sio?
 
halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada
Hii sentensi noma🤣🤣
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
May be story yako ni kweli, ila ulijuaje 🤔
 
Amekufa kizembe sana.
Na ameonesha rangi yake halisi ya umalaya.
Si bora angekuwa mlei angeoa kabisa.
 
Ila mbususu haijawa muacha mwanaume bila kutanga, ndiyo maana kuna andiko linasema ombeni msiingie majaribuni [emoji1787][emoji1787]
 
Die with dignity.

Kufia kwenye nyapu ni kifo cha heshima sana.

Mwanaume unatakiwa ufie vitani ama ufie kwenye utamu, hayo maeneo mawili tu ndio maeneo ya heshima mwanaume akifa.

Mwanaume majukumu yake makubwa ni 2 tu, kupigana kulinda familia na nchi yake na kuchakata hizo vitu za wanawake.

Pumzika kwa aman brother. Vita umevipigana n mwendo umeumalizia mahala pazuri.

The evil genius Katika harakati zako za kusambaza evil stuff [emoji3166]
 
Back
Top Bottom