Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Mchungaji "kijana" afia gesti akila kondoo wake

Die with dignity.

Kufia kwenye nyapu ni kifo cha heshima sana.

Mwanaume unatakiwa ufie vitani ama ufie kwenye utamu, hayo maeneo mawili tu ndio maeneo ya heshima mwanaume akifa.

Mwanaume majukumu yake makubwa ni 2 tu, kupigana kulinda familia na nchi yake na kuchakata hizo vitu za wanawake.

Pumzika kwa aman brother. Vita umevipigana n mwendo umeumalizia mahala pazuri.
🤣🤣🤣
 
View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake

Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32

watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...

haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"

halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada

The Citizen
Ya siku nyingi sana hii habari. Acha uchochezi
 
But keep in mind that SEXIPIONAGE is real, sometimes these people are the victims of the targeted crimes. So, always be very careful and watchful, because most of these events are planned sexual entrapments through Sparrows (swallows ) or Ravens.
Wrong conception,100% of men reported died in guest houses after having sexual intercourse,heart attack has been reported as a main cause to their death,and Viagra pills has always being attributed to their fate.
 
Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na udhaifu huo huo ndio unaotumika sana na wapanga missions za maangamizi kwa maadui zao.Hii ndio njia inayopendwa zaidi kutumika karibu duniani kote tangu enzi na enzi, na hata watawala na watu mashuhuri kadhaa wameangushwa kwa kupitia njia hiyo.
Sometym sio missions wala nini...wamezidi kuna watumishi wa Mungu ni wazinzi mmno mnoo tena wanapenda wake za watu..
 
Lengo ni kuzua taharuki,ishu ni ya July,na imo humu,
Anhaa, kumbe habari ni ya kweli, tatizo ni ya July....lakini bado tuna ya kujifunza ndani yake, sio ? Physics uliyojifunza shule unadhani ni habari ya jana ?

UKweli unabaki kuwa

1/ ngono ni kazi hatari, sijasikia mtu kafa akibeba zege, ambalo hupondwa siku nzima

2 / "kijana" wa miaka 43 kumbe nae pia mwili ushachoka! Ndio maana unauliwa na zoezi la dakika 10.

3/ anaekuwa consumed kwenye zoezi lile ni wewe mwanamme. Jidada anavyozidi kuguna ndio anavyozidi kukupelekea moto wewe! Twende taratibu. Kwa saab hata kama huja drop dead pale pale gesti inawezekana hizo raised blood pressure zinatuua taratibu.
 
Sometym sio missions wala nini...wamezidi kuna watumishi wa Mungu ni wazinzi mmno mnoo tena wanapenda wake za watu..
Ndio maana ktk reply yangu ya hapo mwanzo kwenye uzi huu nilisema kwamba "hata Watumishi wa Mungu nao Wana maadui."
Hao wanaume ambao wamekuwa wakiporwa ama kuchukuliwa wake zao ndio ambao wamekuwa wakiwategea 'mitego ya kifo' hao watumishi wa Mungu. Kama tujuavyo "mke wa mtu sumu."
 
Back
Top Bottom