Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajijua kabisaa wewe ni shoti kwa mfumo fulani kandamizi.But keep in mind that SEXIPIONAGE is real, sometimes these people are the victims of the targeted crimes. So, always be very careful and watchful, because most of these events are planned sexual entrapments through Sparrows (swallows ) or Ravens.
Binadamu wote ni dhaifu kweny mitego ya kishetani.It depends.
Rejea comment yangu hapo juu.
Kumbuka: Hata Watumishi wa Mungu nao Wana maadui.
Baadhi ya watu wengi ambao wamekuwa victims wa matukio kama haya huwa wanakuwa "wahanga wa mitego," watu wengi katika jamii bado hawajui wala kushitukia kuhusu suala hili. Watu wengi wanaweza "kunaswa kiurahisi sana" endapo kama watategwa na 'mitego' ya aina hiyo bila kujali cheo, hadhi au umri wa mtu aliyetegwa.
Na udhaifu huo huo ndio unaotumika sana na wapanga missions za maangamizi kwa maadui zao.Hii ndio njia inayopendwa zaidi kutumika karibu duniani kote tangu enzi na enzi, na hata watawala na watu mashuhuri kadhaa wameangushwa kwa kupitia njia hiyo.Binadamu wote ni dhaifu kweny mitego ya kishetani.
Suala la kuomba Mungu tu maana hamna anayejua kesho yake...Maadili yapo ila binadamu hawezi kuwa perfect angalau anafuata kwa asilimia kubwa.
Mkuu,Dini ziingine majanga tupu na uwendawazimu
Alikuwa anautendea haki mwili wakeKufia kwenye nyapu ni kifo cha heshima sana.
Mwanaume unatakiwa ufie vitani ama ufie kwenye utamu, hayo maeneo mawili tu ndio maeneo ya heshima mwanaume akifa.
Isomwe na GENTAMYCINE mtetezi wa dhambi za mapadreView attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake
Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32
watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...
haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"
halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada
The Citizen
Unakufaje kwenye huo mtego mkuu?It depends.
Rejea comment yangu hapo juu.
Kumbuka: Hata Watumishi wa Mungu nao Wana maadui.
Baadhi ya watu wengi ambao wamekuwa victims wa matukio kama haya huwa wanakuwa "wahanga wa mitego," watu wengi katika jamii bado hawajui wala kushitukia kuhusu suala hili. Watu wengi wanaweza "kunaswa kiurahisi sana" endapo kama watategwa na 'mitego' ya aina hiyo bila kujali cheo, hadhi au umri wa mtu aliyetegwa.
🤣🤣🤣
Lengo ni kuzua taharuki,ishu ni ya July,na imo humu,View attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake
Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32
watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...
haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"
halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada
The Citizen
Kafa kifo cha aibu sana mwamba.
Lete Maneno.......Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
😁😄😀😃Ndiyo Ukweli Hakuna NamnaLengo ni kuzua taharuki,ishu ni ya July,na imo humu,
Picha ya ji binti tafadhaliView attachment 2843627
Padre Joseph Kariuki siku za uhai wake
Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ruai, Nairobi, umri miaka 43, amefia kitandani akiwa na ji binti la miaka 32
watu huwa tunajidanganya mtu wa miaka 40, 45, 49, eti bado nae anaitwa kijana...
haya vijana .... tujihadhari na kupenda sifa za "kupeleka moto"
halafu sijawahi kusikia demu ndio kafa, siku zote ni sisi ndio tuna succumb, kwa hiyo unapokuwa unapeleka moto kumbumbuka inawezekana wewe ndio unapelekewa moto na jidada
The Citizen
Kwenye maelezo yako kuna katerero alafu unamlaumu mama wa kichaga! Badala umuombee mana aspokuwa makin kuna wanaopararaizi kabsa!Huyu akalale mahali anapostahili.
Dar Kuna Padre mmoja RC wa maeneo ya TEGETA, BOKO, BUNJU, au tuseme Kinondoni, Ni mhaya. Huyu Padre anamla mmama wa kichaga MTU mzima, amempigisha katerero kitu ambacho mama wa kichaga hajawahi kukutana nacho katika ujana wake. Mmama wa kichaga kwa Mara ya kwanza haijali ndoa yake Tena.
Nikiwaona together Tena ntaleta picha na majina. Mapadre kumbukeni wajibu wenu.
Ongeza nyama hapaBut keep in mind that SEXIPIONAGE is real, sometimes these people are the victims of the targeted crimes. So, always be very careful and watchful, because most of these events are planned sexual entrapments through Sparrows (swallows ) or Ravens.
Nimeucheki huo mkeka sportybet unaweza kutoa7AA717
SPORTYBET odds 56 timu 24
Kwenye Ile code ya kimkakati.... Ile ambayo ikiwekwaga hapa lazima ichane!.....
Nimepunguza timu toka 24 hadi 20... Na kuchange safe markets timu 4.... Hadi odds 16 tu!
Chekecha akili!!!