Mchungaji Mastai: Rais Magufuli amefanana na Nelson Mandela, Mungu ameweka kitu ndani yake

Mchungaji Mastai: Rais Magufuli amefanana na Nelson Mandela, Mungu ameweka kitu ndani yake

Huyu Mastai keshaona utakatishaji wake fedha kupitia miradi ya kanisa lake aulinde kwa kumbeba magufuli . Hajui Mungu keshasema Magufuli ni mstaafu kuanzia hapo mwezi November 2020
Miradi gani bwashee?!
 
JPM ni zaidi ya Mandela hasa katika 'kuthubutu " kufanya mambo yaliyowashinda wengine
 
Kama kawaida yako muda mwingine, hapa umeamua kutuletea utani na matusi ndani yake.
 
Mchungaji Maksai ni Mtanzania mwenzetu hatuna shaka na uraia kuanzia wa baba yake, baba yake na wake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom