OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mandela alikuwa mbaguzi na katili kama Magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miradi gani bwashee?!Huyu Mastai keshaona utakatishaji wake fedha kupitia miradi ya kanisa lake aulinde kwa kumbeba magufuli . Hajui Mungu keshasema Magufuli ni mstaafu kuanzia hapo mwezi November 2020
Hujui miradi yake anayoifanya hapo kanisani kimara eeh?Miradi gani bwashee?
Mimi naijua miradi ya kuombea watu!Hujui miradi yake anayoifanya hapo kanisani kimara eeh??
Basi tulia tuMimi naijua miradi ya kuombea watu!
Kwahiyo huyu hachaganyi dini na siasa isipo kuwa Mwingira kwa kumsifia LissuHahahahaha daaaah naishiwa maneno kbs
Nelson Mandela hakuwahi kuwa FISADI
Kama wewe ni mkweli tuambie.Basi tulia tu
Muulize mastai kama anapelekaga michango dayosisiKama wewe ni mkweli tuambie.
Nijuavyo miradi ya KKKT iko chini ya Kanisa siyo mchungaji kama kwa akina Mwingira!
Wa kuulizwa ni wazee wa Kanisa siyo mchungaji.Muulize mastai kama anapelekaga michango dayosisi
Hujui msimamo wa mchungaji ndo wa kanisa?Wa kuulizwa ni wazee wa Kanisa siyo mchungaji.
Mchungaji anaulizwa mambo ya kiibada!
Ni mtanzania kutoka jimbo la Lema!Mchungaji Maksai ni Mtanzania mwenzetu hatuna shaka na uraia kuanzia wa baba yake, baba yake na wake mwenyewe.
Labda kwa Mwingira lakini siyo KKKT!Hujui msimamo wa mchungaji ndo wa kanisa?
Kafanye research kilaza weweLabda kwa Mwingira lakini siyo KKKT!