Mchungaji Mastai: Rais Magufuli amefanana na Nelson Mandela, Mungu ameweka kitu ndani yake

Mchungaji Mastai: Rais Magufuli amefanana na Nelson Mandela, Mungu ameweka kitu ndani yake

Daah! Kweli ukifa huthaminiwi; utaanza kufananishwa na vitu vya ajabu-ajabu!

NB: Nelson Mandela aliwasamehe watesi wake.
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

Acha uzushi wewe!
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kamati ya Umimi ya Shehe Ubwabwa hapa itapita kama haioni!! Kuna hela za nchi zinaliwa na wahuni Fulani wakijiita kamati ya amani sijui amani ya familia zao?
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

Askofu Augustine Mpemba awapa angalizo viongozi wenzake wa kidini kuwa Haki huleta Amani, hivyo kuombea Amani bila kwanza kukazania Haki ni kazi bure : Hivyo viongozi wajifunze kukemea uovu ili amani na utulivu utokee ndani ya jamii
Mashehe Na Maaskofu Tujifunze Hili Ili Tuheshimike
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Tafadhali johnthebaptist naomba uweke video akiyasema hayo.
 
Wewe Johnthebabtist uwe na adabu na majina ya watu , Mandela aliteka ?, aliua ?, aliiba 1.5 tilioni , alikula rambirambi za tetemeko la Kagera ? Alibomolea watu nyumba ? Alivunja sheria na katiba ? Alibambikia watu kesi ? Alipora bureau de change ? Mandela hakuongeza mishahara na kupandisha madaraja kwa miaka mitano ? Unalinganisha mbingu na ardhi ?
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mchungaji hauko sawa. Nelson Mandela (RIP). Huyu baba alipitia mateso makali sana kuikomboa south.
Alifungwa gerezani pamoja na madudu mengine...

Still akatoka akiwa in peace. Hakutaka kulipa visasi.

Usimfananishe mandela na vitu vingine.
 
Karibu Sana kwa Ibada moja katika kanisa la KKKT mh. Rais , waumini wanakupenda Sana na wanakusubiri kwa hamu usali pamoja nao.
 
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.

Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mandela naye alijenga uwanja wa ndege kijijini kwao Kunu?
 
Back
Top Bottom