Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe endelea na ibada hapo Mvumi!Acha uzushi wewe!
Kamati ya Umimi ya Shehe Ubwabwa hapa itapita kama haioni!! Kuna hela za nchi zinaliwa na wahuni Fulani wakijiita kamati ya amani sijui amani ya familia zao?Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Tafadhali johnthebaptist naomba uweke video akiyasema hayo.Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Iko youtube nitaiweka bwashee!Tafadhali johnthebaptist naomba uweke video akiyasema hayo.
Mchungaji hauko sawa. Nelson Mandela (RIP). Huyu baba alipitia mateso makali sana kuikomboa south.Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mandela naye alijenga uwanja wa ndege kijijini kwao Kunu?Mchungaji Maksai wa KKKT Kimara amesema siyo kila anayetaka kuwa kiongozi ana kipawa bali Mungu ameweka vipawa vya uongozi kwa wateule wachache.
Kwa mfano, Nelson Mandela (R.I.P) wa Afrika ya Kusini Mungu aliweka kipawa cha uongozi ndani yake na hapa Tanzania Mungu ameweka kipawa cha uongozi kwa Yohana ( John) Magufuli, amesisitiza mchungaji Mastai.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani kujenga uwanja ni dhambi?Mandela naye alijenga uwanja wa ndege kijijini kwao Kunu?