Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuwalinganisha hao ni sawa na kusema kuwa Mwl Nyerere analingana na Livingstone LusindeMbona naona kama kuna utofauti mkubwa sana kati ya Magufuli na Mandela.
1. Mandela alipendwa na mabeberu na aliwakumbatia sana mabeberu
2. Magufuli hawapendi kabisaaaaa mabeberu ila anapenda misaada yao,