Hahahaha mkuu amini hivyo atapata wapi hela za kumhonga wakati Nyoka ndio anakatwa kichwani???Hata j.mukya?
Kuhama chama isiwe dhambi,,attitude za cdm kuona wanaohama chama Ni wasaliti ndio inachochea zaidi watu watumie ngawira kuwanunua.CHADEMA kuweni makini na huyu mtu, kabakiza mwili tu roho tayari ipo CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atabaki hata kama ni kwa lazima...... CCM ni chama kikubwa bwashee!Endelea tu kumuhesabu kwenye orodha ya wanachama
Bwashee chakula kilichopo ni wali maharage tu!..tunaweza kubadili pia.
..hata chakula huwezi kula cha ina moja kila siku.
Duh ama kweli haki haipotei, kwenye hili nilizungumzia sana humu JF, nikapigwa vita sana na akina Marehemu Ben Saanane, Yericko Nyenyere na wengine wengi.Kabisa mkuu!
Huyo Mchungaji Msigwa katolewa jela na mwenyekiti wa CCM...... Usisahau hilo bwashee!
Ningelikuwa wewe ningenyamaza tu.Nchambi ni jangili mzowefu Maswa game kaimaliza yeye zamana ya nini sasa?
Shida yenu mnataka kunyamazisha pale yanapowachoma hahahaNingelikuwa wewe ningenyamaza tu.
πππππππππSiasa za Bongo ukiwa siliasi utakoma.
Hahaha haha hahahaaaa ππNgoja tuusubiri upepo maana unavyozidi kuvuma soon nyeti za kuku zitakua nje.