Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Mheshimiwa ana bahati sana, kwa madai yale ya fidia, ameokoka kufilisiwa. Wakili wa Kinana lazima awe amechukua chake.
 
Hii inashusha hadhi yenu kama wapinzani wa CCM. Too sad my dear friends. Kila siku nawaeleza strength ya upinzani katika nchi yeyote ni kutamka kitu ambacho kimefanyiwa utafiti ili watu wawaamini. Poleni sana
Wote wako hvivyo.. ona rais anavyodanganya kla siku as if wote tanzania ni majuha! Hivyo na Msigwa anapitisha mle mle! Ni kweli mpaka leo ni vifo 16 tu? mfano mdogo...
 
Msigwa amejiunga na.Zitto,hawezi kuaminika tena
Aliambiwa akanushe akakataa, kaona kesi imekua ngumu ndio anaomba radhi.

kama alijua ni uongo kwa.nini alikubali kupelekwa mahakamani Ili iwe fundisho alipe tu mamilioni ya fidia, kama alivyofanyiwa Mahanga mpaka kafa kwa kuwaza marejesho ya fidia.
 
Tatizo la CHADEMA ni kuamini wao ni trick stars. watoto wa mjini, sifa za watu wa hovyo waliofanikiwa awamu ya 4. Walipokijenga mwaka 2015 walisaidiwa na makundi ndani ya CCM wakibadili rais.

Kulikuwa na rushwa za wazi. Aliyejuana na watu mjini Dar ndo alikuwa mshindi wa kesi na tajili ktk nchi. Leo hii ukiwa hivyo tunakuona ni mhuni!

Ukiwaona wakizungumza utadhani ni super bright lakini ignorance waliyonayo inasikitisha.
 
Wote wako hvivyo.. ona rais anavyodanganya kla siku as if wote tanzania ni majuha! Hivyo na Msigwa anapitisha mle mle! Ni kweli mpaka leo ni vifo 16 tu? mfano mdogo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hako kakichaka unakotaka kujificha katafyekwa soon sijui mtajificha wapi.

Mpinzani alikuwa Dr. Slaa pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana Msigwa, ni kitendo cha kiungwana!
 
Wote wako hvivyo.. ona rais anavyodanganya kla siku as if wote tanzania ni majuha! Hivyo na Msigwa anapitisha mle mle! Ni kweli mpaka leo ni vifo 16 tu? mfano mdogo...
Sitegemei serikali iseme ukweli ila upinzani ukizusha ni dhambi kubwa. Nampenda Mbowe ila tatizo lake ni njaa na tumbo lake lisiloshiba.

Huu ndiyo mwisho wa Chadema ingawa naona kuna mpango wa Chadema kunyanyua NCCR mageuzi kwa kutumia ukanda ingawa ni zamu ya ACT, jiandae mapema nawe kubinuka
 
..mbona bwana mkubwa alisema UONGO kuwa vichwa vya treni alivyovikuta bandarini vilikuwa havina mwenyewe?...
Kwahiyo inafanya justification? Kweli ukiwa ndondocha wa siasa akili binafsi unaweka kwapani.

Lazima mtetee hata upumbavu tu ilimradi yuko upande wako!
 
Sasa mnato
Wote wako hvivyo.. ona rais anavyodanganya kla siku as if wote tanzania ni majuha! Hivyo na Msigwa anapitisha mle mle! Ni kweli mpaka leo ni vifo 16 tu? mfano mdogo...
mnatoanaga mapovu ya nini kama mnajuana waongo tu wote?
Hivi mnayo mbingu yenu tofauti na hizi yenye amri za usiseme uwongo?
 
Kwahiyo inafanya justification? Kweli ukiwa ndondocha wa siasa akili binafsi unaweka kwapani.

Lazima mtetee hata upumbavu tu ilimradi yuko upande wako!

Mimi naamini cdm ni bora kuliko ccm.

Lakini niliyekuwa namjibu ni kijana wa UVCCM ambaye bila kulazimishwa na mtu yoyote amedai kwamba CCM ni sawa na cdm.
 
Je ikiwa vice versa utasemaje Jo?

Jr[emoji769]
Kama alitudhihirishia uhusika wa comrade Kinana kujihusisha na poaching,na Sasa ameomba radhi kwa uzandiki na Nia ovu, atashindwa Nini kununuliwa kwa vipande 30. Masnitch tu. Wametupotezea damu jasho na roho zetu.
 
..mimi naamini cdm ni bora kuliko ccm.

..lakini niliyekuwa namjibu ni kijana wa uv-ccm ambaye bila kulazimishwa na mtu yoyote amedai kwamba ccm ni sawa na cdm.


Hakuna bora ni vile tu ukichoka kula ugali unahamia kula viazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…