Viongozi wengi wa CHADEMA ukiondoa Mbowe hawana emotional intelligence na CCM wamekuwa wakinufaika sana na hili.Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
Mkuu Kalamu Tanzania sasa hivi kuna ''jini'' limechoropoka kwenye chupa nasikia likitajwa kila kona ya nchi na wengine wanasema linavuka hata mipaka ya nchi. Kama ni kweli basi linaonekana kuwa lina randa randa kila kona na lina uwezo mkuu. Wanasema linaitwa ''Abdul'' japo sijajua kama ni kweli.Lakini mbona watendaji wa chama eneo hilo alikuwa nao hapo hapo, au ofisi nzima ya chama wanaondoka naye?
CHADEMA wachezewe akili na mahasmu wao na bado wasitambue, mbona hili litakuwa jambo la kushangaza sana!
Wewe umetumwa na Tulia. Kama unaona Sugu hafai kagombee wewe basi.Ni AIBU kubwa kwa CHADEMA kumchagua Sugu badala ya Peter Msigwa. Hata mukiniambia kuwa Sugu alikuwa na fedha chafu na kagawa kwa wajumbe, fedha unapokea lakini kura unapiga kwa kutumia akili yako.
Naiombea hiyo rufaa ipite ili IWASAFISHE CHADEMA.
Unamuachaje mtu kama Msigwa ana madini, amenyooka, hanunuliki na ana VISION na kwenda kumpa kura mvuta bangi, mtu wa matusi, mvaa mlegezo??
Mimi SIYO CHADEMA ila you people ARE NOT SERIOUS!!
Kwa taarifa yenu, mukirudia makosa haya kwenye Ubunge wa Mbeya Mjini mkamismamisha SUGU 2025, JIMBO MNALIPOTEZA.
TULIA hakubaliki Mbeya ukiacha maeneo ya Uyole, Itezi, Igawilo na Iduda anakogawa hela na T-shirt. Lakini zile kata asilia za Mbeya Mjini yaani kuanzia Mwakibete hadi Iyunga, Sisimba, Mwansekwa Tulia Ackson si lolote.
Tafuteni mtu anayeuzika ila siyo SUGU
Kama ''hayo yanayosemwa'' kwenye vijiwe yana ukweli wowote basi mimi nadhani yuko sahihi kufanya hivyo. Angeyafunika mpaka lini wakati nasikia kuna 'jini'' lenye uwezo mkuu limeshafanya yake?Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
Kwahiyo aonewe tu na hao Wala Rushwa?Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi
Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
Shaka ondoa mkuu, hili nalo litapita, kama Dr Slaa alishindwa Msigwa hatoweza kukitikisa chama,Unaweza ukawa na haki na kweli. Lakini kwa hali iliyopo ambapo CCM/serikali inatafuta upenyo wa kuiua chadema, usingelifanya hivyo. Umewapamaadui wa chadema mahali pa kuania. Unadhani covid 19 sasa hivi wana furaha kiasi gani?
MSIGWA Hapa umekosea.
WACHUNGAJI HAWAFANYI HIVI
Fedha ya waarabu inawapa kiburi sana hawa, na wala hawana aibu kabisa kuitumia, tena waziwazi. Mimi sijui nchi hii tumerudi kinyumenyume kabisa toka lini, kwa sababu mambo kama haya yasingewezekana kabisa kufanywa na kiongozi yeyote enzi za Mwalimu Nyerere.Mkuu Kalamu Tanzania sasa hivi kuna ''jini'' limechoropoka kwenye chupa nasikia likitajwa kila kona ya nchi na wengine wanasema linavuka hata mipaka ya nchi. Kama ni kweli basi linaonekana kuwa lina randa randa kila kona na lina uwezo mkuu. Wanasema linaitwa ''Abdul'' japo sijajua kama ni kweli.
Safari hii atakimaliza chama yeye mwenyewe. Hana mbinu za ziada tena kufanya hadaa kama anazofanya Samia.Jamaa anafikiri Mbowe amekuwa mwenyekiti miaka yote hiyo bila hila!!? Watu wenye nguvu za kutishia maslahi yake lazima awapoteze.
Mch. Msigwa kuja CCM ni suala la muda.Namuona Mchungaji Msigwa nje ya CHADEMA. Hizo rufaa ni mwanzo wa safari yake kutoka CHADEMA. Kote atasema hajatendewa haki. Usiku ule na hotuba ile aliyoitoa, alisifiwa kwa political maturity aliyoionyesha. Nini tena kimempata? Anatafuta sababu na cha kusema akijiondoa CHADEMA..
CCM ina dola, ina mahela ya kuhonga. Mtu haipendi lakini kwa vile kwenda chooni kwake kunategemea CCM, atakuwa mnafiki tu!Shaka ondoa mkuu, hili nalo litapita, kama Dr Slaa alishindwa Msigwa hatoweza kukitikisa chama,
Kama ambavyo Hayati Lowasa alivyoshindwa kuipasua CCM, pamoja na mafuriko yote Yale,
Mkuu unasema kweli ama unamsagia kunguni tu?Kumbe ulikuwa hujui ,ni shemeji yake Mzee mbowe ,mkee wa Mrema katoka kwa akina Mbowe
Yani hawa ndio wapewe nchi hawa !? ikiwa wanagombania utawala kwa ngazi ndogo kabisa kama hizi!? Kwakweli CCM iendelee tu kutawala tupambane humu humu ndani ya CCM hao wengine bado wana utoto
Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua)
Ametangaza kukata rufaa kwenye Kamati Kuu ya Chama chake kupinga ushindi huo wa Sugu, bado haijajulikana kama Kamati Kuu ikiridhishwa na Madai yake nini kitatokea, Sugu atanyang'anywa Ushindi na kupewa Msigwa au Uchaguzi utarudiwa
Binafsi nampongeza Mchungaji huyu kwa uamuzi wake huu, maana hii ndio njia Sahihi iliyowekwa na Chama chake ya kudai haki.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!
Kwanini unasema hivyo? Sasa hiyo Freedom of expression na democracy mnayohubiri ina maana gani kama unaniambia nisiiseme CHADEMA?Ya chadema waachie chadema mkuu
Kama unachagua mbunge ambaye hawezi kukupigania kwenye national cake then ukapimwe akili. Pengine kichwa kina kamasi badala ya akiliMbunge anayaleta maendeleo kutoka wapi? Mbunge alete maendeleo!!!? Hii ni fikra ya kijinga sana. Mbunge ni mwakilishi wa hoja na mawazo ya wananchi. Baaasi!!!
Mbunge hakusanyi kodi wala siyo mfadhili. Hakuna pahala mbunge anaweza kuyabeba maendeleo ili awaletee wananchi.
Soma na kuelewa wewe pimbi. Hujaona nilichoandika kuhusu Tulia kwenye hiyo post?Wewe umetumwa na Tulia. Kama unaona Sugu hafai kagombee wewe basi.