Hiyo ni nadharia tu. Kama ingekuwa hivyo hali za ufisadi zisingesikika. Sema unajitoa ufahamu kile unachokiongea sio unachokiishiCCM inatafuta Uongozi na kuwa madarakani kwa ajili ya kuwatumikia watu na kuwaletea maendeleo na siyo kujinufaisha au kushibisha matumbo ya viongozi wake.
Huo ni msukuleHiyo ni nadharia tu. Kama ingekuwa hivyo hali za ufisadi zisingesikika. Sema unajitoa ufahamu kile unachokiongea sio unachokiishi
Umeanza ujinga wako?Wewe ndiye chukizo mbele za Mungu .
Mko madarakani miaka 60 bado unakuja na ngonjera za enzi ya karl peter.Usifikiri watz waleo ni wajinga kiasi chakuwafanya hawajui kabisa uwezo wenu ukipoishia.CCM inatafuta Uongozi na kuwa madarakani kwa ajili ya kuwatumikia watu na kuwaletea maendeleo na siyo kujinufaisha au kushibisha matumbo ya viongozi wake.
Hii Ina faida Gani kwa nchiNdugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahi maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kukuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu kigazini. Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha huu hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hajawahi kuchoka.Huyu atapiga kelele mwisho wa siku atakuja kuchoka
Ova
Ni tatizo la afya ya akili tu la machawa wengi hapa nchiniThis country kupiga hatua mpka hiki kizaz cha dizain ya hawa watu wafe waje wengine wafe atleast.
Muda utaongea,kelele ndiyo zinamuweka huko ccm akinyamaza hana chakeHajawahi kuchoka.
kidumu mileleCCM itaongoza Taifa hili kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. Hakuna chama chenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM.
Kidumu chama cha mapinduzi
Pesa anayo maana ni mbunge mstaafu na pia ni Mkulima.Muda utaongea,kelele ndiyo zinamuweka huko ccm akinyamaza hana chake
Ache apige tu mipasho
Ova
Hyo ana njaaaPesa anayo maana ni mbunge mstaafu na pia ni Mkulima.
Ndo maana CCM itatawala mileleMbona alikaa miaka 20?!
Nyie subirieni zamu ya kwenda kupewa vichai ikulu mtulieKama unavyoota wewe kuwa Hilo genge la mafisadi halitatoka madarakani.
Hivi who cares about this nigga and this cartoon?Ndugu zangu Watanzania,
Mchungaji peter Msigwa anaendelea kufurahia maisha mapya ndani ya CCM,hali inayomfanya aendelee kujuta kwanini alipoteza muda kwenye chama cha CHADEMA kilichokosa muelekeo,Dira na hata sera zenye kugusa maisha ya watanzania.
Chama ambacho kimejaa udikiteta na kuendeshwa kama Sacco's au mradi wa mtu binafsi au kitega uchumi cha familia. Chama ambacho kinakwenda kwenda Utafikiri kipofu gizani ,Hakina sera wala ajenda zaidi ya kurukia rukia matukio.
Sasa mchungaji Msigwa akiwa anaendelea kuiumbua CHADEMA kwa Masuala mbalimbali mabaya ,ameposti picha hii hapa chini kama inavyoonekana.View attachment 3079997
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Njaa zipo nyingi. Inaweza kua njaa ya madarakaMchungaji hana njaa.
Amekwambia wapi kuwa ana njaa hiyo.Njaa zipo nyingi. Inaweza kua njaa ya madaraka
Nyie huko mnasaka nini?! Tena kwa buku 7 tu.CHADEMA ni genge la wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.
OuiHivi who cares about this nigga and this cartoon?