Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyerere-Hayati
Mkapa-marehemu
Magufuli-mwenda zake
Wewe hilo neno shujaa unalitoa wapi?
 
LUCKY DUBE
"Political Games"

How do you feel when you lie?
Straight faced while people cry
How do you feel when you promise something
That you know you'll never do
Giving false hope to the people
Giving false hope to the underpriviledged
Do you really sleep at night?
When you know you're living a lie
To you it is just a job
To the people it hurts to the bone

[Chorus:]
Ooh political games that they play [x4]

What do you say to the orphans?
Of the women and men you sent to war
What do you say to the widows?
Of the men you sent to war
Telling them it is good for the country
When you know it's good for your ego
What a shame.
Do you really sleep at night?
When you know you're living a lie
You talking tough, you talking sincerely
Giving false hope to the infected
Giving false hope to the affected.
To you it is just a job
To the people it hurts to the bone.

[Chorus:]
Ooh political games that
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
---

"Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za kushirikiana kukijenga chama (CCM), nitashirikiana na wengine kuzunguka Tanzania nzima kuwaambia wananchi usanii wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao viongozi wa juu wanawaaminisha wananchi vile ambavyo hawako, na ni kitu kibaya sana.

Tunaongea mambo ambayo hatuyaishi, tunaongea kuhusu demokrasia; ndani ya chama (CHADEMA) hakuna demokrasia, tunaongea kuhusu ufisadi; ndani ya chama kuna ufisadi, tunaongea kuhusu haki; ndani ya chama hakuna haki. Tusimame tukiwa wasafi, na mimi nafsi imenisuta kuwadanganya wananchi kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni mbaya wakati sisi ni wabaya, ni wabaya wabaya zaidi"- Mch. Peter Msigwa.

Nukuu ya aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa baada ya kujiondoa CHADEMA na kujiunga na CCM.

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Kwa kuwa yapo makusanyo mapya wala hakuna tatizo najua inawezekana ila useme uongo wa ndugu zako wapya wazamani achana nao kwa kua umeshaamua kujitenga nao.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadem...


Mh. Msigwa karibu sanaaaa CCM tunakupokea kwa mikono yote miwili, Mchungaji Msigwa ni mtu mkweli daima, na umeongea ukweli mtupu, CHADEMA ni genge la wahuni watupu..!!
 
Unaponda sehemu kuwa haifai halafu baada ya muda unaenda kule ulikoponda.
Watu wengine wakipimwa akili kabisa.
 
Hili ni jipu lilikuwa limeiva tangia zamani sema lilikuwa linatafuta makupasukia, alafu wenye akili wameshabaini mahesabu yake huyu mchumia tumbo, uchaguzi wa serikali za mitaa umekaribia kwa hiyo atatumika na ccm kwenye kampeni kudestabilise upizani alafu mwakani 2025 ccm wata mtunuku ubunge
 
Hii ndio Taarifa ya kada mpya wa CCM komredi mchungaji Msigwa

Kwamba baada ya Kupokea mialiko lukuki ya Vyombo vya habari sasa atamwaga mboga tarehe 10/06/2024 mwembetogwa Iringa mjini

Makamanda Wote mnakaribishwa

Msigwa ametoa Taarifa ukurasani X

Mlale Unono 😀😀🔥
Tarehe 10/6/2024 ? Hivi bado viroba bado vinapatikana huko?
 
Siku zote usifanye maamuzi makubwa ya maisha ukiwa bado na hasira.

Hii ya Msigwa ni sawa na ‘John Shibuda’ baada ya kuchezewa foul 2010 kura za maoni CCM na kwenda CDM, aikuwa kutoka moyoni bali hasira tu.

Ndio Msigwa ata uso wake mbele ya CCM ni kama vile mtu ambae aamini anachokifanya mule ndani, damu yake ni CDM.

Ni muda wa kuondoa genge la wahuni CDM wanaozuia chama kukua.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
---

"Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za kushirikiana kukijenga chama (CCM), nitashirikiana na wengine kuzunguka Tanzania nzima kuwaambia wananchi usanii wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao viongozi wa juu wanawaaminisha wananchi vile ambavyo hawako, na ni kitu kibaya sana.

Tunaongea mambo ambayo hatuyaishi, tunaongea kuhusu demokrasia; ndani ya chama (CHADEMA) hakuna demokrasia, tunaongea kuhusu ufisadi; ndani ya chama kuna ufisadi, tunaongea kuhusu haki; ndani ya chama hakuna haki. Tusimame tukiwa wasafi, na mimi nafsi imenisuta kuwadanganya wananchi kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni mbaya wakati sisi ni wabaya, ni wabaya wabaya zaidi"- Mch. Peter Msigwa.

Nukuu ya aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa baada ya kujiondoa CHADEMA na kujiunga na CCM.

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Awezeshwe maana yake anaomba fungu kwani hizo bilioni alizolipwa kama signing fee zimekwisha mara moja hii? Huyu andunje atachezeshwa mayenu na Makalla kama kile kikaragosi cha Joyce Wowowo.
 
Siku zote usifanye maamuzi makubwa ya maisha ukiwa bado na hasira.

Hii ya Msigwa ni sawa na ‘John Shibuda’ baada ya kuchezewa foul 2010 kura za maoni CCM na kwenda CDM, aikuwa kutoka moyoni bali hasira tu.

Ndio Msigwa ata uso wake mbele ya CCM ni kama vile mtu ambae aamini anachokifanya mule ndani, damu yake ni CDM.

Ni muda wa kuondoa genge la wahuni CDM wanaozuia chama kukua.

..kuna video clip inamuonyesha Msigwa akisoma nini cha kusema toka ktk makaratasi yaliyoandaliwa na Amos Makala.

..yaani Msigwa amekuwa zuzu wa kupangiwa nini cha kusema na Mwenezi Makala that is very sad to see.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema

Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
---

"Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za kushirikiana kukijenga chama (CCM), nitashirikiana na wengine kuzunguka Tanzania nzima kuwaambia wananchi usanii wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao viongozi wa juu wanawaaminisha wananchi vile ambavyo hawako, na ni kitu kibaya sana.

Tunaongea mambo ambayo hatuyaishi, tunaongea kuhusu demokrasia; ndani ya chama (CHADEMA) hakuna demokrasia, tunaongea kuhusu ufisadi; ndani ya chama kuna ufisadi, tunaongea kuhusu haki; ndani ya chama hakuna haki. Tusimame tukiwa wasafi, na mimi nafsi imenisuta kuwadanganya wananchi kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni mbaya wakati sisi ni wabaya, ni wabaya wabaya zaidi"- Mch. Peter Msigwa.

Nukuu ya aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa baada ya kujiondoa CHADEMA na kujiunga na CCM.

Credit Jambo TV

My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
kwaiyo uko alikoenda nduo kusafi amna ufisad kuna democrasia? yn mwanasias akikwambia saiz usiku toka nje ukataxame usimwamn bnafs siamn km mwanasiasa anaez kukultea mwananch maendeleo instead of tumbo lake na familia yke ajenge mansion kwanza aibe ad zimtoshe ndio anafkilia maendeleo ya wananch walomchagua
 
Back
Top Bottom