Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Kuwa Mtumishi WA Mungu hakukufanyi usiwekwe ndani ukivunja sheria
Sero au mahabusu ni sehemu za kila mmoja wetu apatapo shutuma ziwe halali au si halali

Manabii wengi walishakaa Sero Kwa kesi halali au zakubumba.

Atatoka tuu, hizo ni changamoto za Maisha.

Alafu mchungaji anaingaji tena wa Kisabato anaingiaje kwenye League na muumini?
Hapo kuna ukakasi mkubwa, ishu ni Wanawake?
 
Taarifa Iko wazi. Taarifa inahusu ofisa wa TAKUKURU na familia ya mchungaji wake. Ofisa huyo ni muumini kanisani hapo.

Hapa ni kuwa mchungaji kasukumwa ndani kutokana na yaliyotokea baina yake na muumini wake safari hii kwenye eneo la tukio lenye mashaka ya kubambikiziana kesi.

Mchungaji na muumini huyu pana ka sintofahamu ka kimaadili kutokea kanisani wanakoabudu.
Kwa nini unaamini kabambikiwa kesi? Ulikuwepo eneo la upekuzi?
 
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Kwann alikua anamuepusha asikamatwe na takukuru? Je huoni kama ni kinyume cha sheria za kuhujumu uchumi? Tuache na suala la uchungaji kwanza...Huoni kua alipaswa aache taratibu zifanyike kama alikua na doubt yoyote angeisema aidha kweny jopo la wahusika wa takukuru ama Mahakaman! Ni vzr ukatenganisha kwanza defensive mechanism ya uchungaji twende kisheria!!
 
Kwa anayelijua kanisa la wasabato ki muundo, utawala, utendaji na hata watenda kazi wake, habari hii ni ya kustusha, kutia simanzi, kuvunja moyo na kutetemesha mwili na roho.

Haikuyastahili haya familia hii.
Mama mchungaji kakutwa na dawa kwenye pochi yake
 
Kuna simulizi moja inasimulia kuhusu mchungaji na wezi watatu. Yaani ilitokea siku ambayo wezi hao walikuwa katika pilikapilika zao za kihalifu wakati wa usiku, wakakutana na mchungaji ambaye alitoka kumpa huduma ya kiroho mtu aliyekuwa hoi bin taabani karibu ya kufa, ambapo ndugu zake walimuomba mchungaji aende kumuhudumia kiroho usiku huo mnene.

Wale wezi walipomuona walimtambua, kwa kuwa alikuwa ni mtu maarufu, mwema, mwenye upendo sana kwa watu wote, hata wao binafsi kwa nyakati tofauti pia aliwahi kuwapa msaada pale walipomlilia shida zao. Kwa kutambua matendo yake ya huruma walipanga mpango, mmoja wao ajifanye kuwa amekufa ili wengine wawili waanze ulaghai wa kulia ili awaonee huruma na kuwapa msaada wa kifedha.

Basi bwana, mchungaji alipowafikia aliguswa sana na maswaiba yaliyowakuta usiku ule kwa kuwa alijua hawana msaada wowote ule kwa wakati huo. Akawaambia kuwa kwa muda huo hata yeye pia hakuwa na hela yoyote ile mfukoni mwake, ila akawashauri aongozane na mmoja wao ili eande kumpa fedha aliyokuwa nayo nyumbani kwake.

Lakini kabla ya kuondoka, aliwaomba wote kwa pamoja wasali sala fupi kwa ajili ya kumsindikiza marehemu katika safari ya milele. Akachukua maji ya baraka katika mkoba wake na kuunyunyizia mwili ule na kisha kusema, "Wewe u mavumbi, na mavumbini umerudi. Amina"

Akaondoka zake na yule mwizi mwingine akielekea nyumbani kwake ili akampe fedha ya msaada kwa ajili ya jeneza na usafiri. Alipofika nyumbani, mara akaona yule mwizi mwingine akija kwa mbio na kupiga kelele kwa nguvu huku akilia kwa uchungu mwingi sana.

Mchungaji alipata mshangao na kumuuliza, nini kingine ambacho kimejili tena! Yule mwizi alimwambia, baada ya sala ile hivi sasa amekufa kweli kabisa. Mchungaji alimuuliza kwani imekuaje, wale wezi wote wawili wakamueleza kwa uchungu ghiliba waliyoomfanyia, na pia ukweli wote kuhusu ulaghai kuhusu kifo kisichokuwa cha kweli .Mchungaji aliwaombea mbele za Mungu kisha aliwapa ule msaada ambao kwa wakati huo walikuwa kweli wakiuhitaji, kisha akawaamvia waende kwa amani.

Ama kwa hakika kila mchuma janga hula na wakwao. Ya Mungu mpe Mungu, bali ya Kaizari mpe yake.
 
Wakati utafika ndege wote watakimbilia kwenye kitundu chao cha kulala na hapo ndo utukufu wa Mungu unapoonekana, Ameen
 
Nchi inaendeshwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
AEb8rsjc.jpeg
 
Zingatia kuna historia yenye ukakasi kumhusisha muumini huyu ambaye ni ofisa wa TAKUKURU (kama anavyojitambulisha mwenyewe).

Mchungaji kawekwa ndani na muumini wake.

Muumini huyu anakashfa nyingi zisizopendeza kanisani hapo. Muumini huyu ana misuguano na Mchungaji wake kanisani.

Bado haitoshi kuona mizania inalalia upande gani?
Ingekuwa heri, kabla ya kuandika bandiko lako ukajiridhisha na mambo mengi kidogo ya hayo uliyoyaandika:
1. Ni kweli mchungaji alilala mahabusu? Kama ni kweli, basi uko sawa na kama ni uongo! Kwa nini unaleta taarifa kuihadaa umma.
2. Je ni kweli mchungaji na huyu unayemwita muumini wake wanamsuguano? Kama ndivyo msuguano semwa unahusi nini hata mke wake ahusike kwa namna yoyote?
3. Je huyo afisa semwa, alikwenda peke yake au walikutana tu mtaani na yeye kumchukua mke wa mtumishi wa Mungu huyo? Fafanua vyema tupate taarifa kamili.
3. Shida ya daktari ilikuwa nini hata kukamatwa?
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Zingatia kuna historia yenye ukakasi kumhusisha muumini huyu ambaye ni ofisa wa TAKUKURU (kama anavyojitambulisha mwenyewe).

Mchungaji kawekwa ndani na muumini wake.

Muumini huyu anakashfa nyingi zisizopendeza kanisani hapo. Muumini huyu ana misuguano na Mchungaji wake kanisani.

Bado haitoshi kuona mizania inalalia upande gani?
Ingekuwa heri, kabla ya kuandika bandiko lako ungali jiridhisha na mambo mengi kidogo ya hayo uliyoyaandika:
1. Ni kweli mchungaji alilala mahabusu? Ni uongo! Kwa nini unaleta taarifa kuuhadaa umma.
2. Je ni kweli mchungaji na huyu unayemwita muumini wake wanamsuguano? Kama ndivyo msuguano semwa unahusi nini hata mke wake ahusike kwa namna yoyote na watu hawa wawili?
3. Je huyo afisa semwa, alikwenda peke yake au walikutana tu mtaani na yeye kumchukua mke wa mtumishi wa Mungu huyo? Na au walikwenda kama jopo kufanya kazi waliyokuwa wameagizwa na mkuu wao? Fafanua vyema tupate taarifa kamili.
3. Shida ya daktari ilikuwa nini hata kukamatwa? Je alikamatwa peke yake au na wengine, kama walikamatwa zaidi ya mmoja kwa nini mke wa mchungaji ndiye unayemsema na sio wote au wengine haifai kuwasemea?Mkuu, hebu toa taarifa kamili juu ya hili.
 
Ingekuwa heri, kabla ya kuandika bandiko lako ukajiridhisha na mambo mengi kidogo ya hayo uliyoyaandika:
1. Ni kweli mchungaji alilala mahabusu? Kama ni kweli, basi uko sawa na kama ni uongo! Kwa nini unaleta taarifa kuihadaa umma.
2. Je ni kweli mchungaji na huyu unayemwita muumini wake wanamsuguano? Kama ndivyo msuguano semwa unahusi nini hata mke wake ahusike kwa namna yoyote?
3. Je huyo afisa semwa, alikwenda peke yake au walikutana tu mtaani na yeye kumchukua mke wa mtumishi wa Mungu huyo? Fafanua vyema tupate taarifa kamili.
3. Shida ya daktari ilikuwa nini hata kukamatwa?


Ingekuwa heri, kabla ya kuandika bandiko lako ungali jiridhisha na mambo mengi kidogo ya hayo uliyoyaandika:
1. Ni kweli mchungaji alilala mahabusu? Ni uongo! Kwa nini unaleta taarifa kuuhadaa umma.
2. Je ni kweli mchungaji na huyu unayemwita muumini wake wanamsuguano? Kama ndivyo msuguano semwa unahusi nini hata mke wake ahusike kwa namna yoyote na watu hawa wawili?
3. Je huyo afisa semwa, alikwenda peke yake au walikutana tu mtaani na yeye kumchukua mke wa mtumishi wa Mungu huyo? Na au walikwenda kama jopo kufanya kazi waliyokuwa wameagizwa na mkuu wao? Fafanua vyema tupate taarifa kamili.
3. Shida ya daktari ilikuwa nini hata kukamatwa? Je alikamatwa peke yake au na wengine, kama walikamatwa zaidi ya mmoja kwa nini mke wa mchungaji ndiye unayemsema na sio wote au wengine haifai kuwasemea?Mkuu, hebu toa taarifa kamili juu ya hili.

Angalia japo posts namba 24, 35 na 37 kuipata picha.

Lugha na utambulisho wa watu wakiwemo wadada weupe weupe kwa majina yao yamehifadhiwa.

Itoshe kusema SDA church ni taasisi kubwa yenye namna zake za kuyaweka mambo sawa ndani kwa ndani.
 
Kuwa Mtumishi WA Mungu hakukufanyi usiwekwe ndani ukivunja sheria
Sero au mahabusu ni sehemu za kila mmoja wetu apatapo shutuma ziwe halali au si halali

Manabii wengi walishakaa Sero Kwa kesi halali au zakubumba.

Atatoka tuu, hizo ni changamoto za Maisha.

Alafu mchungaji anaingaji tena wa Kisabato anaingiaje kwenye League na muumini?
Hapo kuna ukakasi mkubwa, ishu ni Wanawake?

Itoshe kusema inasikitisha na haipendezi
 
Kwann alikua anamuepusha asikamatwe na takukuru? Je huoni kama ni kinyume cha sheria za kuhujumu uchumi? Tuache na suala la uchungaji kwanza...Huoni kua alipaswa aache taratibu zifanyike kama alikua na doubt yoyote angeisema aidha kweny jopo la wahusika wa takukuru ama Mahakaman! Ni vzr ukatenganisha kwanza defensive mechanism ya uchungaji twende kisheria!!

Hata kwenye kesi za kubambikiziana kiufundi huwa ni sahihi
 
Angalia japo posts namba 24, 35 na 37 kuipata picha.

Lugha na utambulisho wa watu wakiwemo wadada weupe weupe kwa majina yao yamehifadhiwa.

Itoshe kusema SDA church ni taasisi kubwa yenye namna zake za kuyaweka mambo sawa ndani kwa ndani.
Ungelijua usingeuleta uzi huu humu! Maana taarifa yako haina ukweli, mchungaji wa Nyasubi hajawahi kwenda polisi kwa lolote kwa hizo tarehe zako ulizoziweka kwenye huu Uzi wako wa uongo, sema una agenda yako na sababu zako.
Kama kweli unajua SDA ni taasisi kubwa na walengwa ni washiriki, usingekuja kulia huku duniani na badala yake ungewashauri wahusika kwenda kwenye taasisi wakasuluhishwa kwa maadili ya dini yao!
Pili, nilisema ufafanue hujafafanua chochote kuonyesha hujui unalo lisema na ulilo lisema. Itoshe kusema huna taarifa ya/za kutosha juu ya ulicho kiandika.
 
Nanyi ni wajinga, mnashindwa kumuua hata kwa kutumia waganga wa kienyeji? kama dictator pamoja na ulinzi wote alikubali kufa kuna mtu itashindikana?
 
Back
Top Bottom