Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Mchungaji wa kanisa la Wasabato Kahama na familia yake wasoteshwa rumande kwa kesi ya dawa za kulevya

Ungelijua usingeuleta uzi huu humu! Maana taarifa yako haina ukweli, mchungaji wa Nyasubi hajawahi kwenda polisi kwa lolote kwa hizo tarehe zako ulizoziweka kwenye huu Uzi wako wa uongo, sema una agenda yako na sababu zako.
Kama kweli unajua SDA ni taasisi kubwa na walengwa ni washiriki, usingekuja kulia huku duniani na badala yake ungewashauri wahusika kwenda kwenye taasisi wakasuluhishwa kwa maadili ya dini yao!
Pili, nilisema ufafanue hujafafanua chochote kuonyesha hujui unalo lisema na ulilo lisema. Itoshe kusema huna taarifa ya/za kutosha juu ya ulicho kiandika.

Uongo? Angalia kilichokuwa post namba 5. Haya yalikuwa pale:

"Wewe ni huyu TAKUKURU? Wewe ni hao TAKUKURU waliokuwa kwenye huo mchongo? Wewe ni muumini kwenye hili kanisa? Wewe ni mhusika hospitalini hapo? Au wewe ni polisi waliowahifadhi watumishi wa Mungu hawa selo walikosukumwa ndani?"

Ila labda nikuongezee na hili moja:

Au wewe ni mmoja wa wale weupe weupe ...?

Labda utafakari haya kwanza.
 
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Wamekamatwa watumishi 4 Tuache siasa na huruma..
 
Imekuwa dhuluma hadi kwa watumushi wa Mungu. Raia wema wakimbilie wapi?

Katika hali ya kushangaza Mchungaji mmoja wa kanisa la wasabato wilayani Kahama na familia yake wamejikuta wakinyanyasika pasipokuwa na uhalali wowote kufikia kuswekwa ndani na kulala rumande.

Kadhia hii imemkuta mchunga kondoo huyu wa bwana wakati akimgombelezea mkewe mwenye kitoto kichanga ambaye ni mganga (Daktari) katika hospitali ya manispaa ya Kahama akijaribu kuepusha asikamatwe na TAKUKURU kimchongo mchongo.

Mganga huyo alikuwa amekumbwa na kadhia inayosemekana kuwa ni ya kubambikiziwa na kukamatwa na madawa ya binadamu kwenye pochi yake akiwa kazini.

Kwamba 1 March 2023 TAKUKURU walimzukia mama huyo, walipokuwa wamelazimisha kuwapekua wafanyakazi hospitalini hapo. Kwamba kwenye pochi yake walikuta madawa hayo. Jambo ambalo ni utata mtupu kwa wanaomfahamu.

Familia hiyo ya mume, mke na kichanga chao imejikuta ikisukumwa ndani na kulala selo kwa kinachosemekana ni kukamilisha majigambo ya baharia mmoja mchakata mbususu za waumini kanisani kwa mchungaji huyo.

Baharia huyo ambaye pia ni muumini katika kanisa la mchungaji huyo pia ni afisa wa TAKUKURU wilayani humo. Kutokana na tabia zake zisizokidhi vigezo amekuwa kero kubwa kanisani hapo huku akijigamba kuwa atawafunza adabu wote wenye kujaribu kumletea gozigozi.

Mchungaji alipoitwa na mkewe kuwa amepata tatizo, alikwenda kuishia kupewa kesi kuwa amewatolea lugha chafu vigogo hao (wa TAKUKURU) naye kuishia kusukumwa ndani.

Kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Matukio ya waumini kanisani hapo kukumbwa na kadhia zenye kuishia watu kusukumwa ndani bila sababu za msingi yamekuwa mengi.

Kwa hakika afisa huyu mchakata mabinti weupe weupe kanisani hapo yaonekana amedhamiria kweli kweli.

Kauli yake mbiu ikiwa, hayupo wa kumfanya lolote.
Kama una nia ya kusafisha uovu huu hebu mtaje haraka tuanze kumshughulikia
 
Zingatia kuna historia yenye ukakasi kumhusisha muumini huyu ambaye ni ofisa wa TAKUKURU (kama anavyojitambulisha mwenyewe).

Mchungaji kawekwa ndani na muumini wake.

Muumini huyu anakashfa nyingi zisizopendeza kanisani hapo. Muumini huyu ana misuguano na Mchungaji wake kanisani.

Bado haitoshi kuona mizania inalalia upande gani?
Je ni kweli huyo mama alikutwa na dawa kwenye mkoba wake?
 
Uongo? Angalia kilichokuwa post namba 5. Haya yalikuwa pale:

"Wewe ni huyu TAKUKURU? Wewe ni hao TAKUKURU waliokuwa kwenye huo mchongo? Wewe ni muumini kwenye hili kanisa? Wewe ni mhusika hospitalini hapo? Au wewe ni polisi waliowahifadhi watumishi wa Mungu hawa selo walikosukumwa ndani?"

Ila labda nikuongezee na hili moja:

Au wewe ni mmoja wa wale weupe weupe ...?

Labda utafakari haya kwanza.
Baadaye utajua hujui!

Kwani umetumwa na nani?

Aliyekutuma ndio kakupa hiyo taarifa?

Unaandika bila kuchunguza mambo, na kuonyesha udhaifu na ufinyu wa upembuzi wa taarifa uliyopokea!

Acha kulichafua kanisa na waumini wake kwa sababu za kuhisi!
Halafu hilo jina mbona halifanani na wewe! WEWE ULIPASWA KUJIITA "MLAUDEKIA"

Mie ni binadamu so naweza kuwa yeyote na wala sio lazima niwe kwenye hiyo orodha yako!

Leta ushahidi wa hao weupe, weka na picha zao tuuone huo weupe walio nao, labda naweza pata jiko la pili hapo!

Vyeupe mwilini kwangu ni macho ukiondoa mboni za zake. Hata hivyo, weupe ni moja kati ya rangi zisizo na thamani kwani wanaozitaka huzinunua kwa mafuta ya kupaka na wengine kwa vidonge... weusi wangu ndio rangi halisi kwangu.

Akili nyingi haihitaji nguvu nyingi kuelewa.

Naona umekuja na kufungua akaunti mpya kwa ajili ya uzi huu sijui utaendelea 🙄?

FAFANUA VYEMA NA MIMI NIPATE TAARIFA KAMILI kulingana na nilichokuuliza hapo awali, ACHA KUFUNIKA MASHIMO KWENYE BARABARA YA LAMI KWA KUTUMIA MCHANGA!🚮🚮
 
Baadaye utajua hujui!

Kwani umetumwa na nani?

Aliyekutuma ndio kakupa hiyo taarifa?

Unaandika bila kuchunguza mambo, na kuonyesha udhaifu na ufinyu wa upembuzi wa taarifa uliyopokea!

Acha kulichafua kanisa na waumini wake kwa sababu za kuhisi!
Halafu hilo jina mbona halifanani na wewe! WEWE ULIPASWA KUJIITA "MLAUDEKIA"

Mie ni binadamu so naweza kuwa yeyote na wala sio lazima niwe kwenye hiyo orodha yako!

Leta ushahidi wa hao weupe, weka na picha zao tuuone huo weupe walio nao, labda naweza pata jiko la pili hapo!

Vyeupe mwilini kwangu ni macho ukiondoa mboni za zake. Hata hivyo, weupe ni moja kati ya rangi zisizo na thamani kwani wanaozitaka huzinunua kwa mafuta ya kupaka na wengine kwa vidonge... weusi wangu ndio rangi halisi kwangu.

Akili nyingi haihitaji nguvu nyingi kuelewa.

Naona umekuja na kufungua akaunti mpya kwa ajili ya uzi huu sijui utaendelea 🙄?

FAFANUA VYEMA NA MIMI NIPATE TAARIFA KAMILI kulingana na nilichokuuliza hapo awali, ACHA KUFUNIKA MASHIMO KWENYE BARABARA YA LAMI KWA KUTUMIA MCHANGA!🚮🚮

Post zako mbili namba 51 na namba 57 hazikanushi kuwapo kwa tatizo ambalo ndilo lililo la msingi.

Bila shaka nilichoandika namba 53 na namba 61 kinajieleza.

Nikukumbushe haikuwa rahisi kuufikisha ujumbe huu ndani ya vigezo vyote vilivyoelezwa.

Kwa kweli ukuu wa Mungu dhidi ya uovu umejidhihirisha.

Inafahamika tambo zote za aliyetaka kumtia adabu mchungaji zimeyeyuka na mlipo mnahaha kulizima soo hili kwa namna yoyote. Mwovu hakuwa ameyakadiria maji sawa sawa. Hakujua JF, ikibidi watu huongea kwa uwazi.

Inafahamika kuna mkutano wa usuluhishi umefanyika. Inafahamika kufuatia uzi huu kuna jitihada za yule mwovu nyuma ya pazia kutafuta kanusho la hadaa toka kwa wahusika kwa ahadi kadhaa wa kadhaa.

Mungu mkubwa ngoja tuone.

Nirudi kwenye post yako hii mpya:

Post hii inafanana na mbili zako za awali kwenye kuwa zimeandikwa zikibeba hasira kali na maneno matupu.

Post hii inatofautiana na mbili zile kwenye kuwa juu yake kuna vitisho, aya zake zimenyumbulishwa na haina makosa makosa ya kiuandishi.

Haimchukui mtu muda kufahamu mbili zile na moja hii zimeandikwa na watu wawili tofauti walioguswa kisawa sawa ...

Ashukuriwe kwa yote baba wa mbinguni bwana wa majeshi.
 
Hamia rwanda dada
AAXCDPjc.jpeg
 
Habari njema kwa wote wenye kudhulumiwa jina la serikali likihusishwa:

 
Baharia mtakukuru huyo mwenyeji wa Musoma, mhusudu mbususu nyeupe nyeupe, itaakisi kufanana naye kuliweka jina lake hadharani.

Ila alichomfanyia mchungaji huyu aliyefunzwa kusamehe x7x70 alikomfikisha sidhani kuwa atauhubiri tena ujumbe huo.
Nmeshamjua baharia huyu. Ni mwenyeji wa Bunda - Mara, ana kagari kake aina ya Suzuki.
 
Aache kiherehere.

Hapo kakamatwa kwa kosa la kuizuia taasisi kutimiza majukumu yake.

Kama angekuwa na nia njema, angesubiri aende kundhamini baada ya kesi yake kutajwa.
[emoji3581]
 
Hakuna mafumbo:

1. Mchungaji kawekwa selo Kahama polisi.
2. Mke wake na mtoto wao mchanga wameswekwa selo Kahama polisi.
3. Tukio ni la 1 March 2023.
4. Mchungaji ni wa kanisa la Wasabato.
5. M TAKUKURU ni muumini wa kanisa alikosuguana na Mchungaji huyo.
6. Kanisa ni Nyasubi Kahama.
7. Mke wa Mchungaji ni mganga hospitali ya manispaa Kahama.
8. Baharia ni mwenyeji wa Musoma.

Kapuni ni jina la mtakukuru tu - baharia mchakata mbususu.

Ninaamini pamoja na vyombo vya serikali, SDA church ni taasisi kubwa yenye connections za kutosha. Kwamba hawataacha kuchukua hatua stahiki kuona mtumishi wao huyu na familia yake hawadhalilishwi kireja reja hivi na mtu tu, kwa kutumia vyombo vya dola isivyo halali.

Tukio hili limeleta fedheha kubwa wilayani hapa. Mchungaji huyu ni mwuungwana mwenye maelfu ya kondoo chini yake.

Kama kwa watumishi wa Mungu hali ni hivi, nani yuko salama?
Wachungaji hao amabao jiwe alikua anakiuka katiba na kuua watu wao walikaaa kimya tu bila kukemea,tena walikua wanaunga juhudi ..acha nae ataabike 😂😂😂
 
Back
Top Bottom