MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Wanawake wenyewe sio wa kuwatetea, wengi wanafanya kwa hiyari yao ndo hivyo jumba bovu limemwangukia tu

Mapaa yangefunuka mbona wengi wangeumbuka!
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Tunasema wazungu wanaleta ushoga, kumbe mashoga waliokubuhu tunao humu humu nchini, tena mpaka kwenye ngazi za juu za uongozi ndani ya Serikali. Huyu ni mmoja arobaini zake zimefika, je, ni wangapi hatuwafahamu?
 

swali; mahakama inajiridhisha vipi kama muathirika mwenyewe alifanya kama sehemu ya makubaliano au kumtrap mhusika ili kumuingiza kwenye shida, maana wakati WA tukio walikuwa wawili, mshakiwa na mshitaki.

Mahakama inajiridhisha vipi kama mhusika alishawahi kuingiliwa na watu wengine nyakati nyingine huko nyuma na hata mtuhumiwa hakuwahi kuingiza kichwa ila, kuna utalaam wowote wa kupima vinasaba kwenye mwili/mkundu wa mshitaki vinavyoweza kuonyesha kweli ameingiliwa na mtuhumiwa?

Mahakama inajiridhisha vipi technically na bila kurely kwenye tuhuma za mdomo?
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Anatuchafulia image sisi wana Mtwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…