MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Ameandika barua kwa polisi kuondoa madai gmyake kadai ahatakj kutumika kisiasa soma acc ya Facebook ya maulid wa kitenge...mshenziyule

Nakadai hajashurutishwa na mtuyoyote na hana mpango wa kuendelea na shauri
 
Hii kashfa imegubikwa na utata mkubwa sana.
Uamuzi wa Rais wetu kumtengua uko sahihi (ni mwafaka kabisa)kwani hilo kosa ni Public Scandal na kwa wadhifa wake huyo mtuhumiwa ni kwamba ameichafua au kuifedhehesha Serikali iliyomweka hapo kwenye nafasi hiyo ya Uongozi/madarakani.
 
Wewe acha kutetea firauni mwenzio
 
Ameandika barua kwa polisi kuondoa madai gmyake kadai ahatakj kutumika kisiasa soma acc ya Facebook ya maulid wa kitenge...mshenziyule

Nakadai hajashurutishwa na mtuyoyote na hana mpango wa kuendelea na shauri
Good, watachunguza accounts za bank na miamala mingineyo kama huyu victim kupata mali ghafla ghafla, RC achomoki hapa, takukuru wako naye
 
Jamanii tuwe makini,kimejaaa wazee wa hovyoo balaaa.Mzee ana umri wa uhuru Tz lakini stori zake popo kanyea mbingu,mara katoto nimekakunjaaa mamaee🤣🤣,na njaaaa za watoto wa 2000 yaani mzee akitoa buku mbili tu anakaliwa.
 
Kwani parking za Mlimanin City usiku hakuna ushuru!
 
Wewe ni kenge unauliza maswali ya kiduwanzi!
 
Kwani yeye RC kajitetea vipi kuhusu mahusiano yake na huyo Binti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…