mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hilo ni tukio la aibu.Ukitaka kujua wanawake ni wanafiki ni kupitia hili tukio, mpaka muda huu sijawasikia wale sijui LHRC Wala wale wanaojiita jumuiya ya wanawake wa CCM nchi ina watu wajinga sana hii
Kuhusu la RC wa Simiyu sioni Cha ajabu maana CCM ndio michezo Yao Kuna matukio ya ajabu mengi tu wameshafanya na wataendelea kuyafanya
Ndivyo ilivyo, ila anapenda sana huko.Si wanasema mkuu alitoa million 50 kumziba mdomo bint!!!Hii ishu kuna mtu yupo nyuma na Bint alitengenezwa kama chambo
Alikuwa Mwl wa chuo gani?Itakuwa ameharibu mabinti wengi sana huyu fala
Siyo Institute of Development Studies pale UDSM ?Alikuwa Mwl wa chuo gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas ana hatarii huyu baba LolHuo mchezo ukishafanya kwa mmoja utaendelea kufanya Kwa kila unayekutana nae
Ndio maana wengi wanaona kama hili suala la RC na mwanafunzi ni tukio lililopangwa kwa manufaa ya kisiasa. Mwisho wa siku kuna anayenufaika na hili tukioAmeshaanza kuwadanganya kuwa ni vita za kisiasa sababu anataka kugombea Ubunge huko kwao Newala Vijijini.
Kingine ni kuwa, bahati yake mbaya amefanyia huo ujinga Mwanza ambako Mkuu wake wa Mkoa ni mume wa Mbunge wa sasa wa Newala Vijijini ambaye Nawanda ni hasimu wake. Hiyo inaitwa mbwa kala mbwa..
Mkuu wa mkoa ametumia cheo chake na ametumia nguvu ya pesa kumdhalilisha huyo binti.Hilo ni tukio la aibu.
Maana hata binti naye ameshiriki kwa 50% kwa sababu ya tamaa zake japo mkuu wa mkoa naye amekosea.
Muda huo angekuwa yuko chuo au hostel anajisomea hilo lisingetokea.
Hilo ni kweli sijakataa lakini kuna maswali mengi pia ya kujiuliza bila kushabikia upande wowote.Mkuu wa mkoa ametumia cheo chake na ametumia nguvu ya pesa kumdhalilisha huyo binti.
Hizi video za cctv ziko wapi??? Kama ni kwelii mkuu wa mkoa kamlawiti why afute kesiii..?? Huyu binti aburuzweee mahakamani kama alitumika kisiasaaa ajuteeee iwe funzo kwa malayaa wengine kama huyuuu.Hilo ni kweli sijakataa lakini kuna maswali mengi pia ya kujiuliza bila kushabikia upande wowote.
Huyo binti mwanafunzi alifuata nini kwenye bar?
Kwa nini alikuwa na mawasiliano na huyo mkuu wa mkoa kwa miezi kadhaa?
Aliitikia wito wa mkuu wa mkoa yeye akiwa kama nani wake?
Sana,Mwamba anasema anaipigia zile mbinje za Athumaniiiii....!!! π€£ π€£Mwanangu big show umechekaaa π
Ova
πππππππHizi video za cctv ziko wapi??? Kama ni kwelii mkuu wa mkoa kamlawiti why afute kesiii..?? Huyu binti aburuzweee mahakamani kama alitumika kisiasaaa ajuteeee iwe funzo kwa malayaa wengine kama huyuuu.
πSana,Mwamba anasema anaipigia zile mbinje za Athumaniiiii....!!! π€£ π€£
OVA
Yes, absolutely!Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni ajali za kisiasa za kutengenezwa huenda katika kuchapa kazi kuna mahala aligusa hasa kwa wale ambao Makonda alidai wana umoja kweli kweli ukimgusa mmoja wao umewagusa wote.
Lakini endapo kama ungekuwa unafahamu taarifa za Siri za maisha binafsi ya watu hao viongozi wa Serikali, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba usingeweza kutoa comment kama hii.Yeah amedhalilisha taasisi.
Hayo ni mambo ya kufanya vijana wacheza singeli anakuja kufanya msaidizi wa Rais ni kuitukanisha serikali kwamba katika watanzania milioni 60 wameshindwa kupata wateule wanaojielewa
Nakubaliana na wewe.Lakini endapo kama ungekuwa unafahamu taarifa za Siri za maisha binafsi ya watu hao viongozi wa Serikali, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba usingeweza kutoka comment kama hii.
Je, unajua ni kwa Nini 'Vetting Certificates' za hao viongozi huwa haziwekwi hadharani??Unazijua sababu?
Kwanza ukichunguza kwa umakini utagundua kwamba wateule wengi sana hawana 'Clean Vetting Certificate,' wengi wao ni wachafu kuliko hata mashetani. Wanabebwa tu na suala la itikadi za chama na uchawa, ndio maana unaona wengi wao kazi yao ni wanafiki wa kumsifia Rais na kujipendekeza kwa Rais ili wasitenguliwe.
Ukiwa dodoma kuna vibinti vya chuo utawakuta wanawavizia viongozi,wanakwenda na kujilengesha kwao πHivi vitoto vidogo havifai kuwa na mahusiano navyo, vinatamaa sana na huwa vinatumika sana kuseti watu waingie kwenye kumi na nane za matukio ya kishenzi. Ni vyakuogopa kama ukoma!
Yawezekana maana naona IDS yaweza kuwa chuo kingine.Siyo Institute of Development Studies pale UDSM ?