Huyo dada lazima Ana msambwanda....rc kaona hataRC kala ndogo
Tuwe makini uchunguzi ufanyike siasa sio mchezo
Hakuna cha mganga wala masharti, ni tamaa za kibinadamu na kukosa maadili.Masharti ya waganga zao kuelekea 2025
Kwa hali ya maisha ya sasa, ni Wasichana wachache sana wasifanya ngono kinyume cha MaumbileHuko tktk inasemekana kila mwanamke mwenye tKo ana hamasisha aliwe jicho,kutwa kulitingisha kulinesanesa vurugu tupu
Ova
MNASHINDWA HATA KUJIPANGA KUMCHAFUA MTUNimesoma taaria za huyo jamaa mfupi kumlawiti mwanafunzi wa SAUT nimejiuliza sana kwanini hajakamatwa hadi sasa , mbona matukio kama hayo wakifanya watu wa kawaida hata saa moja halifiki anakua mikononi mwa polisi? inamaana huko Tanzania ukiwa mteule wa Rais uko juu ya Sheria? ndiomaana watu wanataka Katiba Mpya , inawezekanaje mkuu wa mkoa anafir...kabinti ambacho ni kama mwanaye wa kumzaa na bado anakalia ofisi za umma, nimekasirishwa sana na ukitaka kujua hamna nia ya kumchukulia hatua taarifa ya Polisi inayoelezea waziwazi jinsi alivyomla 0713 mtoto wa watu imeanikwa hadharani japo ni classified document , inasambaa kama moto huko mitandaoni lakini sioni press release ya Ikulu ya utenguzi hadi sasahivi. Polisi waache kuogopa wateule wamkamate na kumweka ndani mara moja ili iwe fundisho kwa wakware wengine kama yeye,SHENZY Kabisa.
Itaishia kama Ile ya Naibu Waziri aliyemsababishia kifo Mwanachuo wakati akikimbia asifumwe na Mke wake.Nimesoma taaria za huyo jamaa mfupi kumlawiti mwanafunzi wa SAUT nimejiuliza sana kwanini hajakamatwa hadi sasa , mbona matukio kama hayo wakifanya watu wa kawaida hata saa moja halifiki anakua mikononi mwa polisi? inamaana huko Tanzania ukiwa mteule wa Rais uko juu ya Sheria? ndiomaana watu wanataka Katiba Mpya , inawezekanaje mkuu wa mkoa anafir...kabinti ambacho ni kama mwanaye wa kumzaa na bado anakalia ofisi za umma, nimekasirishwa sana na ukitaka kujua hamna nia ya kumchukulia hatua taarifa ya Polisi inayoelezea waziwazi jinsi alivyomla 0713 mtoto wa watu imeanikwa hadharani japo ni classified document , inasambaa kama moto huko mitandaoni lakini sioni press release ya Ikulu ya utenguzi hadi sasahivi. Polisi waache kuogopa wateule wamkamate na kumweka ndani mara moja ili iwe fundisho kwa wakware wengine kama yeye,SHENZY Kabisa.
Kwamba alitamani kinyeo..!!?Hakuna cha mganga wala masharti, ni tamaa za kibinadamu na kukosa maadili.
Ukiona hivi ujue kuna namna. Ndio maana wengine wanakulana na inaisha huko huko vyumbani.Huyo binti alikuwa ni Mpenzi wake ama ilikuwa one night stand?
Je ni wapenzi wa ngapi wanafanya ngono kinyume na Maumbile na haiwi big issue?
Iweje mambo ya faragha yavuje, ina maana Kuna mtu alikuwa anawarekodi?
Inawezekana wanatafuta ukweli wa taarifa yenyewe ili kujiridhisha.Mkuu hii Habari mpaka Polisi na kwenye magazeti sasa Kwann wanafuta?
Wanachafuana hawa aunt subiri uonee...m siamin tena toka dpp aondoe kesi ya mb wa babati fyuuuuuMkuu wa mkoa ?
Hakunakituhapo subiri uoneUkiona hivi ujue kuna namna. Ndio maana wengine wanakulana na inaisha huko huko vyumbani.
sasa hapa kuna uwezekano katengenezewa mfumo na yeye akajaa, yaani kuna namna hapa kisiasa lakini Kwann binti aseme hataki kuendelea na kesi?Inawezekana wanatafuta ukweli wa taarifa yenyewe ili kujiridhisha.
Ila kusema kweli, ni mabinti wengi wanafanya aina hiyo ya ngono, labda jumba bovu limuangukie RC