MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Hapo ndipo utajua kama masikini ana haki au hana haki, kitendo cha RPC kutokutoa ushirikiano wa kutosha pamoja na msaidizi wake.Hapa sheria imeanza kupinda tayari,haki kwa wanyonge itakuwa ni ngumu sana kuipata haswa unapo pamba na tabaka tawala.Si ajabu chombo kilichoripotiwa tukio hili pamoja na huyo binti aliyeingilia kinyume na maumbile ndiyo watashughulikiwa na mheshimiwa atapanda cheo.
 
Huyo binti alifata nini kwenye gari la mh?
Hivi inawezekana mtu kubakwa ndani ya gari? Mbona haimake sense? Hilo gari lilikua porini hadi ushindwe kujitetea?
Mkuu Wa Mkoa Ni mpumbavu...
Koz alishindwa ng'amua kwamba binti alikuwa set...
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Huwezi kuwa na sifa ya mchapakazi Bora kama una mataabia ya hovyo hovyo. Suala la Vetting liongezewe uzito. Kuna watu kwa kuongea na kujipend keza nibalaa ila inapokija nafasi kubwa kama hii , umaskini uongezeke kuna.mtu akipata.mamlaka.makubwa anafanya vituko vya Siri na vya ajabu. Kwanza mkuu wa Mkoa kuonekana club ni hatari sana
 
How can the classified information like this become the public document???

This is the strongest proof that this event is the results of the planned and targeted Sexpionage Operation against the Regional Commissioner. Ndio maana unaona kuwa mara tu baada ya Operation (mission) hiyo kukamilika 'Masterminders' wa mission husika wameamua kuweka taarifa hii public ili kufanikisha lengo lao la mwisho kabisa la operation hiyo, nalo ni 'incapacitation of the target" in order to eliminate the the threats.
 
How can the classified information like this become the public document???

This is the strongest proof that this event is the results of the planned and targeted Sexpionage Operation against the Regional Commissioner. Ndio maana unaona kuwa mara tu baada ya Operation (mission) hiyo kukamilika 'Masterminders' wa mission husika wameamua kuweka taarifa hii public ili kufanikisha lengo la mwisho kabisa la operation hiyo, 'incapacitation of the target" in order to eliminate the the threat.
Sasa kwanini katenguliwa...
Huyu RC alikula kweli mtaro kmmke zake.. Ila binti kawekwa Kati...
 
Back
Top Bottom