Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

Ila dunia imekwisha asee yaan wana bargain kabisa juu ya ngono aanze nani afuate nani🤣🤣🤣
Sio poa, kuna wemgine wana vikundi vyao wadada unakuta wapo 6 na kuendelea. Wao wanaita party unalipia kiingilio then unatia maguu location. Kinachofanyika wanakuwa kwenye mjengo wanaendela na shughuli za kawaida kama kunywa wa pombe wa juice, kuna wanaocheza mziki kuna waliokaa tu wametuli na stori lakini wanakuwa na vichupi tu na wewe unakuwa hapo umechil unachagua ule yupi ukitaka wakuchangie ni wewe na nguvu zako.
 
Watu hawana kinyaa?

 
Umalaya na Bodaboda risks zao katika kazi zao ziko sawa kabisa.

Huwezi jua mteja ana nia gani na mtoa huduma huyo.

ukiendekeza tamaa utakatishwa tamaa na mauti chap kwa haraka kama kama huyo bidada...

wateja wengine wanatarget zao ovu na saa zingine zinachochewa na ushirikina
 
Kwamba ushauri utamkuta kaburini

Dah aisee ufusika pro-max.... Mimi kuliko kutoa pesa ninunue kahaba bora nile Puchu tu, kwanza mimi nikishajua una mabwana buku, mzuka uwa unaishia hapo... Nakata mazoea, siwezi kuhalalisha ukaaba kwa kununua malaya
Mwanangu uko km mm.Mimi na kinyaa ile mbaya maishani mwangu sijawahi na sizani km nitanunua malaya aisee big no kwani nikipiga puchu km na ugwadu simwagi. Mpaka nikale makombo uchafu wa hali ya juu
 
Inasemekana wamekuta mpaka kinyesi ndani sasa jamaa sjui alimzubua mtr

Ova
 
Lakini muuwaji si kakamatwa

Wakati anatoka nduki huku akiwa kavaa boxer

Ova
 
Yote hii inasababishwa na maisha magumu wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…