GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Malaya nawajua Wao Kwao ni Mambo safi kiasi kwamba wanaweza hata Kunilisha na Kunivesha GENTAMYCINE sijui na hapa utasemaje.Yote hii inasababishwa na maisha magumu wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Malaya nawajua Wao Kwao ni Mambo safi kiasi kwamba wanaweza hata Kunilisha na Kunivesha GENTAMYCINE sijui na hapa utasemaje.Yote hii inasababishwa na maisha magumu wallah
Wakome.Kweli kabisa mkuu kapata alichokuwa
Anakitafuta
Ova
Mkuu pesa za kwao nyumbni zisikutishe huenda kwao wanaweza kuwa na hela ila yeye hana hata senti.....Kuna Malaya nawajua Wao Kwao ni Mambo safi kiasi kwamba wanaweza hata Kunilisha na Kunivesha GENTAMYCINE sijui na hapa utasemaje.
Sikumla nilimtema mate kisha nikamtimuaDah, ulitisha. Yaani mbususu kwa mtutu! Ulikuwa na ukame kiasi gani?
Tayari kashfa hiyoAlafu inasemekana dem ni mtoto wa kada maarufu wa chama cha kijani jum4 mjusi
Ova
We umefariki?Unatoa ushauri wakati muhusika alishafariki... 😂
Acheni yawakute ili Wakome na Waache.Mkuu pesa za kwao nyumbni zisikutishe huenda kwao wanaweza kuwa na hela ila yeye hana hata senti.....
na kuna wengine kwao kuna pesa na anachopewa ni kidogo kiasi cha matumizi tu ila hataki kuishi mean life anatka aishi maisha fulani hivi alomuona nayo wema au Hamisa mobetto nakuta wengi wanatumia hiyo pocket money ndogo wanayopewa na wazazi wao ili kutengeneza Wanaita wenyewe brand ili wapate Watu wawaonge pesa ndefu za kutosha....
Ila ukiangalia shida kubwa ni pesa ukiwapa pesa wanayostaili au ukiwafungulia biashara ambayo inastahili wanainuka...
Kuna mwaka Fulani hivi kipindi natumia Tinder kuoata warembo niliwahi kutana na mwanasheria mmoja huko Tinder kasoma sheria na kahitimu na kafanikiwa kumaliza law school ila kila akienda kufanya interview anakosa na hajafanikiwa kuajiriwa serkalinu hana hela ya kuanzisha chamber yake na alipomaliza shule wazazi wake walifariki....
So hana wa kumsaidia niliumia sana yaani hata ile hamu pale hotelini iliisha yote nilumuunganisha na Jamaa yangu ambaye alikuwa na chamber yake....
Na sasa hivi yuko vizuri anapiga kazi na huez amini hana huo umalaya wa kujiuza apate pesa...
NakaziaHuyo ni kati ya waandishi wa habari wanaoitwa Muckrackers, yani ana deal na habari za majalalani zaidi, na ndiyo zinapendwa; si unaona na wewe ume-establish hii thread
Kada mwenyewe si alipigwa mvua kadhaa
CHawa huyoHizo habari mirad ayo anazipenda ila swala la habari sijui ccm wameboronga uwezi kuona kapost
Bro kumbe ww ni mtu mbadiKajifanya mjanja kala vya watu halafu hataki kutoa bumunda!
Arusha wana huo upuuzi sana tuu.. Mimi mmoja nilimuonesha mtutu ndio tukaenda sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma ushahuri wake vizuri ni kama anamlemga marehemu ambaye kashadanjaWe umefariki?
Kama bado ni ushauri kwako pia!
🤣🤣🤣Acheni yawakute ili Wakome na Waache.
Kwahyo unampa ushari Mhaya aache kujiuza au 🤣🤣🤣🤣We umefariki?
Kama bado ni ushauri kwako pia!
Huyu huyu mzee Mjusi duuuhAlafu inasemekana dem ni mtoto wa kada maarufu wa chama cha kijani jum4 mjusi
Ova
🤣🤣🤣🤣Si ndio hapo... Huyu jamaa fala kweli