Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

Ila inasikitisha sana..mpaka mwanamke anaamua kufanya haya mambo,nkifikiria hizi shida za dunia nalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unafahamu chanzo cha hayo mauaji, unaweza kuwasaidia polisi kwenye uchunguzi wao.
 
Unafikirisha!
 
Nawapate hawa chief
 
Shivaz pori gani hilo!
Unaongea unafikiri wote tupo Arusha?
 
180M!!!! Hapana!!! Jaribu kuangalia hii figure tena.
 
180M!!!! Hapana!!! Jaribu kuangalia hii figure tena.
Siongopi kiongozi tungewa blacks wengi mno. Imagine Kama hao 90M waliokufa Kama wangezaa watt 10,watt nao 10,wajukuu nao 10, Mana ilikuwa Ni miaka ya kabla ya 1520 , mpaka sahivi Ni miaka 525 imepita ,so no takribani Karne 5.25 waza kila Karne Ina vizazi vinne, average ya watt 10 kila kichwa unajua tungekuwa wangapi.
90x10^4x5.25=90×10^9 ,ambao Ni almost bilioni 90 nadhani tungekuwa wengi mno,hata wachina wakasome
 
Ngoja tuweke figures sawa kwanza. Mimi nimeelewa kuwa unasema wakati wa slave trade Waafrica 180M walisafirishwa kutoka Africa kwenda utumwani sehemu mbalimbali. Hapo ndipo ninahoji hii figure ya 180M. Mimi nina mashaka. Biashara ya utumwa ilifanyika kwenye miaka ya 1526 hadi 1867 hivi. Mimi naona 180M ni wengi mno!!!!
 
We mpare
Ukatoa bastola kudai papuchi[emoji849][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app

Thamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mteja akurudishiwa chenji au[emoji16]

Thamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio zuri sana hilo linafanya malaya wageni wapunguze usumbufu hakuna malaya anayejua umalaya akawa msuumbufu hata ulewe uzime hata shilingi mia achukui cause ana experience ya matukio so ataki ujanja ujanja anaogopa kuwa chizi, anaogopa kufa so anaogopa vya watu akunywei pombe akutoloke akinnywa pombe zako hata uwe umelewa vipi atahakikisha anaenda kukupa haki yako mliyokubaliana

Tatizo hawa malaya pori ujanja ujanja mwingi usio na maana at the end ndio hivyo
 
Mashuhuda wanasema wamekuta kinysi kikitapaka kitandani,sasa sijui mwamba alimzibua mtr au alivyomnyonga hadi kutoa kinysi

Ova
 
Yani huyu ni lazima alimpiga tukio mtu hasa la kuiba hela nyingi. Na jamaa kuweka mtego ndo akanasa mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…