Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
We mpareKajifanya mjanja kala vya watu halafu hataki kutoa bumunda!
Arusha wana huo upuuzi sana tuu.. Mimi mmoja nilimuonesha mtutu ndio tukaenda sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1544][emoji1550]We mpare
Ukatoa bastola kudai papuchi[emoji849][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila inasikitisha sana..mpaka mwanamke anaamua kufanya haya mambo,nkifikiria hizi shida za dunia naliaShida ya hawa wadada wana tamaa sana. Kuna jamaa alimshushia kipigo dada mmoja guest sitasahau like tukio. Tukiwa tumelala zetu tumetulia bila kujua kumbe baadhi ya vyumba vinatumiwa kama danguro ghafla tukasikia kelele nipige uniue. Hatukutoka tukawa tunasikilizia ndani badae wakatoana koridoni na meneja wa Hotel akawa anawasulisha, ishu ikawa kumbe YULE DADA ALIPATANA DAU NA JAMAA APIGE 2 - 0 , ILE JAMAA KAFUNGA GOLI LA KWANZA MDADA KAPIGIWA NA MTEJA MWINGINE KAMPOKEA KAMWAMBIA YUPO FREE AKIJUA MPAKA AFIKE JAMAA ATAKUWA KATOKA PASIPO KUJUA MTEJA WA PILI ALIKUWA MITAA YA KARIBU SO NDANI YA DAKIKA 2 AKAPIGA TENA AMEFIKA, SASA MDADA NA TAMAA YA PESA AKAMWAMBIA JAMAA ALIEKUWA NAE NDANI ATOKE NJE ASUBIRI JAMAA AINGIE APIGE KAMOJA HALAFU ARUDI WAENDELEE. JAMAA NAE AKAMWAMBIA HUYO ALIEKUJA NDIO MWAMBIE ASUBIRI NJE MAANA TAYARI YUKO NJE AU NIRUDISHIE PESA NUSU TUISHIE HAPA, MDADA HATAKI KURUDISHA PESA NA ANAKOMAA JAMAA ATOKE NJE KIMBEMBE KIKAWA KIMBEMBE SIO POA ALICHEZEA.
First time nafika pale nilitaka kubugi kununua malaya bila kushirikisha mwenyeji , nilipomwambia akanipa stori ya eneo, lisaa mbele tukio linatokeaHatari sana kwa muuzaji na mnunuaji pia
Kama unafahamu chanzo cha hayo mauaji, unaweza kuwasaidia polisi kwenye uchunguzi wao.Kwanza tuanzie hapa je, Umalaya ni Kazi halali na inayompendeza Mwenyezi Mungu na aliibariki katika Vitabu vyake Vitakatifu?
Ukijijua Wewe ni Malaya usipende kuwa na Tamaa kwa Mteja juu ya kile mlichokubaliana, usiwe Mwizi au Mchonga Madili na Wezi ili ukiwa na Mteja wako waje Kumvamia na wamkwapue Hela au Mali za Thamani.
Malipo ya Upumbavu huwa ni hapa hapa duniani na Wahenga walituambia 'you will reap what you sow' Kudadadeki....!!
Unafikirisha!Hii Ina apply kwa blacks tu mkuu?
Sijaona wazungu na waarabu wakivuna walichokifanya kwa waafrika. Imagine watumwa 180M walisafirishwa Ile slave trans antlatic trade ,waarabu wametuua mno,kutuuza utumwani na wazungu wanazidi kutuibia madini,wanachonganisha watu wanapigana wanauza silaha mbona bado wanastawi na wanaibiwa wanazidi kuwa masikini zaidi na hatuoni hayo malipo mpaka Leo hii hapa dp world wanatuibia bandari kwa miktaba ya wizi. Naomba unielezee hii imekaaje ama inaogopesha mwafrika asije akamuibia mzungu Bali yeye anamuibia mwafrika.
Kumbuka Libya saivi mafuta yake yanachotwa kwa namna ya wizi na ulaghai. Vipi na hili USA ,France watavuna lini walichokipanda
Nawapate hawa chiefSio poa, kuna wemgine wana vikundi vyao wadada unakuta wapo 6 na kuendelea. Wao wanaita party unalipia kiingilio then unatia maguu location. Kinachofanyika wanakuwa kwenye mjengo wanaendela na shughuli za kawaida kama kunywa wa pombe wa juice, kuna wanaocheza mziki kuna waliokaa tu wametuli na stori lakini wanakuwa na vichupi tu na wewe unakuwa hapo umechil unachagua ule yupi ukitaka wakuchangie ni wewe na nguvu zako.
Shivaz pori gani hilo!Hii habari nimeiona Millard Ayo, wazee baada ya hili tukio Shivaz, kuna usalama kweli sasa hivi hapo, si patakuwa panawaka moto. Doria za 24 hours za polisi plus malaya wengine kuhama hiyo sehemu
Inakuaje unamnyonga mtu halafu unakimbia, story doesn't add up..
180M!!!! Hapana!!! Jaribu kuangalia hii figure tena.Hii Ina apply kwa blacks tu mkuu?
Sijaona wazungu na waarabu wakivuna walichokifanya kwa waafrika. Imagine watumwa 180M walisafirishwa Ile slave trans antlatic trade ,waarabu wametuua mno,kutuuza utumwani na wazungu wanazidi kutuibia madini,wanachonganisha watu wanapigana wanauza silaha mbona bado wanastawi na wanaibiwa wanazidi kuwa masikini zaidi na hatuoni hayo malipo mpaka Leo hii hapa dp world wanatuibia bandari kwa miktaba ya wizi. Naomba unielezee hii imekaaje ama inaogopesha mwafrika asije akamuibia mzungu Bali yeye anamuibia mwafrika.
Kumbuka Libya saivi mafuta yake yanachotwa kwa namna ya wizi na ulaghai. Vipi na hili USA ,France watavuna lini walichokipanda
Siongopi kiongozi tungewa blacks wengi mno. Imagine Kama hao 90M waliokufa Kama wangezaa watt 10,watt nao 10,wajukuu nao 10, Mana ilikuwa Ni miaka ya kabla ya 1520 , mpaka sahivi Ni miaka 525 imepita ,so no takribani Karne 5.25 waza kila Karne Ina vizazi vinne, average ya watt 10 kila kichwa unajua tungekuwa wangapi.180M!!!! Hapana!!! Jaribu kuangalia hii figure tena.
Naunga mkono hojaHizo habari mirad ayo anazipenda ila swala la habari sijui ccm wameboronga uwezi kuona kapost
Ngoja tuweke figures sawa kwanza. Mimi nimeelewa kuwa unasema wakati wa slave trade Waafrica 180M walisafirishwa kutoka Africa kwenda utumwani sehemu mbalimbali. Hapo ndipo ninahoji hii figure ya 180M. Mimi nina mashaka. Biashara ya utumwa ilifanyika kwenye miaka ya 1526 hadi 1867 hivi. Mimi naona 180M ni wengi mno!!!!Siongopi kiongozi tungewa blacks wengi mno. Imagine Kama hao 90M waliokufa Kama wangezaa watt 10,watt nao 10,wajukuu nao 10, Mana ilikuwa Ni miaka ya kabla ya 1520 , mpaka sahivi Ni miaka 525 imepita ,so no takribani Karne 5.25 waza kila Karne Ina vizazi vinne, average ya watt 10 kila kichwa unajua tungekuwa wangapi.
90x10^4x5.25=90×10^9 ,ambao Ni almost bilioni 90 nadhani tungekuwa wengi mno,hata wachina wakasome
We mpare
Ukatoa bastola kudai papuchi[emoji849][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mteja akurudishiwa chenji au[emoji16]
Mashuhuda wanasema wamekuta kinysi kikitapaka kitandani,sasa sijui mwamba alimzibua mtr au alivyomnyonga hadi kutoa kinysiThamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo
Ni muda sahihi wa kujongea vitandani mwetu, nyumbani chumbani ama ugenini kwa ndugu jamaa na marafiki ama nyumba za wageni. Usiku huu kama ilivyo siku nyingine zozote ama mchana wake kuna mambo yameendelea, yanaendelea na yataendelea. Ni ndani ya nyumba na vyumba vetu milango ikiwa imetiwa...www.jamiiforums.com
Thamani ya chupi yako. Ilinde chupi, imebeba maagano, imebeba laana, imebeba baraka, imebeba mapepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kanyongwa katika uhalisia wake.. Ukikuta mtu kanyongwa na kubwa haijatoka huyo kanyongewa chini kisha akaning'inizwaMashuhuda wanasema wamekuta kinysi kikitapaka kitandani,sasa sijui mwamba alimzibua mtr au alivyomnyonga hadi kutoa kinysi
Ova
Yani huyu ni lazima alimpiga tukio mtu hasa la kuiba hela nyingi. Na jamaa kuweka mtego ndo akanasa mdadaTukio zuri sana hilo linafanya malaya wageni wapunguze usumbufu hakuna malaya anayejua umalaya akawa msuumbufu hata ulewe uzime hata shilingi mia achukui cause ana experience ya matukio so ataki ujanja ujanja anaogopa kuwa chizi, anaogopa kufa so anaogopa vya watu akunywei pombe akutoloke akinnywa pombe zako hata uwe umelewa vipi atahakikisha anaenda kukupa haki yako mliyokubaliana
Tatizo hawa malaya pori ujanja ujanja mwingi usio na maana at the end ndio hivyo
[emoji16] [emoji16] [emoji16]