Mdada unakwenda club huna pesa ya drink ?

Mdada unakwenda club huna pesa ya drink ?

Humu hamna mwenye tabia hio kila mmoja humu mume/bf wake tsjiri anamhonga hela nyingi kwahio thread yako si mahali pake haoa jf
 
Nimeona hii kitu Mara nyingi Sana, wadada wa hivyo wapo Sana kwenye night club za bure ama za kuingia na kinywaji
Kuingia ataomba watu nje, ndani nako atacheza mziki mpk atapewa bia kuondoka kwenyewe ataondoka kumekucha ili akapande daladala[emoji23][emoji23][emoji23]
Mweh kama Cna hela naangaliaga movie tu
Tena wacha nikazifuate mapemaaaa kabla cjashawishika kutoka
Kwani kwenda out na kurudi kwa daladala kuna shida gani?
 
Kawaida nimesha waona sana anakukazia macho halafu anakuonyesha chupa yako mezani unamuuliza nn anakuonyesha tena chupa badae unamuuliza unataka kinywaji anasema ndio unamwambia waiter amsikilize.
 
Kawaida nimesha waona sana anakukazia macho halafu anakuonyesha chupa yako mezani unamuuliza nn anakuonyesha tena chupa badae unamuuliza unataka kinywaji anasema ndio unamwambia waiter amsikilize.
Aisee.....
 
Mi wananinunuliaga wenyewe nawarudishia maana sinywi pombe mie.sio kila mwanamke unaemuona anakunywa maji hana hela ya pombe.wengine hatunywi pombe
 
ukimwambie waiter amsikilize anaagiza bia 3 na chakula kabisa anahisi nina hela nyingi. ila nimeshajifunza akinikazia macho nakwepesha yakwangu najua hapa tayari bili inataka kuongezeka.
 
Mi wananinunuliaga wenyewe nawarudishia maana sinywi pombe mie.sio kila mwanamke unaemuona anakunywa maji hana hela ya pombe.wengine hatunywi pombe
Hao mkuu hata maji hawana wanatafuna BigG
 
Back
Top Bottom